Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa


Mhmm kwa uachwaji huu nahisi una shoo mbovu sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sàsa vijana tunajifunza kwamba ndoa weka mbali na maisha kabisa...eh unatuambia nn vijana bosi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mkuu pole saana,huo ni uzoefu mgumu saaana ktk maisha ya ndoa! Mungu tu akusaidie
 
Noma sana.
Mimi nimeachwa last week siku ya Valentine's. Binti yupo mkoani mimi nipo Dar, katuma picha ya gauni jekundu nimnunulie anataka kuvaa hyo siku ya Valentine anadai ni birthday ya rafiki yake. Nkagoma.
Nusu saa si nyingi zikaingia texts za kibuti. Ndo ntolee hadi leo.

Ng'ombe nyingine tumeachana jana asubuhi, huyu alikua ni just for sex na yeye alikua analijua hilo. Juzi usiku anasema anahisi ana mimba tumeenda kupima jana asubuhi kweli anayo, lakini kwa wiki za hyo mimba kipindi inatungwa mimi sikuonana nae kabisa, manake sio yangu. Nkambana kasema alimpelekea uchi ex wake eti ilikua birthday yake. Imebidi nijisogeze pembeni wapambane
 
Hahahahhhhhahaha wanaume ni haki tuwah kufa tunapitia magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm nimewahi lakn nilipigiwa simu sema,niliuliza sababu nikapewa nikaelewa ckuwahi mtafuta tena bali yy alikuwa akinitafuta nikapata jibu always woman want result not performance in life,they think of good people who can accomplish their dream,not accomplish together to achieve the dream so to be honest tuaendelea umizana kama atutoweka lengo kwa pamoja kama wapenzi pia nafikili na technologia naye inatukimbiza sana na change of life in any circumstances..
 
Hata muda wa kujibu huwa sina kabisa.....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana, tunafanana kimtindo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya chuo mtu mwingine anayaonaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana mimi napenda single mothers. Hakuna kuachwa, ni kuacha tu. Zaidi ya hapo ni wake za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…