Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 906
Ndo dawamwezi mmoja uliopita nikiwa supermarket natafuta vizawadi kwa ajili ya birthday yake ikaingia sms ifuatayo " mambo vipi..nimekua nawaza siju zote nianze vipi lakini ngoja tu niseme. nahitaji sana ku move on na maisha yangu bila kuwa na wewe. japo nakupenda sana lakini naona kama hatuendani. hivyo ulivyo kuwa na msichana kama mimi nahisi kama unani injoi tu instead kuna mwanamke mwingine una future nae ila kwangu una ji tuit heading to Necta.
kwa bahati njema nilianza kununua tu cake kwanza. nikaenda kuiweka kwenye friji nikawa nakula polepole. but baada ya kama one week later after my long silence following her bullying text akanitumia sms 6 mfululizo but nyingi ni za ki apologize eti kuna marafiki zake walimjaza kuhusu mimi..mara alipitiwa tu..
ninachokifanya sasa ni ku prove her wrong insights about me. nilipanga kufanya nae future but due to her inferiority complex then i turned her to my sex toy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app