Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

mwezi mmoja uliopita nikiwa supermarket natafuta vizawadi kwa ajili ya birthday yake ikaingia sms ifuatayo " mambo vipi..nimekua nawaza siju zote nianze vipi lakini ngoja tu niseme. nahitaji sana ku move on na maisha yangu bila kuwa na wewe. japo nakupenda sana lakini naona kama hatuendani. hivyo ulivyo kuwa na msichana kama mimi nahisi kama unani injoi tu instead kuna mwanamke mwingine una future nae ila kwangu una ji tuit heading to Necta.
kwa bahati njema nilianza kununua tu cake kwanza. nikaenda kuiweka kwenye friji nikawa nakula polepole. but baada ya kama one week later after my long silence following her bullying text akanitumia sms 6 mfululizo but nyingi ni za ki apologize eti kuna marafiki zake walimjaza kuhusu mimi..mara alipitiwa tu..
ninachokifanya sasa ni ku prove her wrong insights about me. nilipanga kufanya nae future but due to her inferiority complex then i turned her to my sex toy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka Ilikuwa Mwaka Jana Mwezi Wa 6 Hivi...Nilikuwa Nimelala Zangu Mida Ya Mchana Mara Text Ikaingia...

"Samahani Sana Kwa Message Hii,Ila Itabidi Kulizika Hili Penzi,Najua Napoteza MTU Muhimu Sana But Ndo Hivyo Inabidi Tuachane Tu Kwani Siitaji Kuwa Na Mpenzi Tena Mpaka Hapo Baadae....!!

Kidume Nilivyomaliza Kuisoma Usingizi Ukaja Tena Nikalala....sikukumbuka Tena kama Nimeachwa!!!

JE, Ushawahi Kuachwa Kwa Message Wewe....???[emoji23]
Mimi niliwahi kuachwa kwa sms kama wewe. Lakini mimi huwa naacha kimya kimya
no sms
No calls
 
Mi niliacha kimasihara na beby wangu mpk leo bado nampenda ,

Ujinga ulikuwa wangu kuna maneno ya chumban niliyatoa nikasimulia mashoga zangu mtaaani

Basi alivyoyasikia wala hakuniuliza alichofanya ....akasubirj nimemaliza kula , tukaenda kuoga , akanigonga na kimoja tukarudi citing room

Akaniambia beby kuanzia leo mm na ww bac its over tabia yako nimekuonya lakini hutaki kuziacha kweli kwa kipindi kile nilikuwa na tabia za uwongo uwongo

Yaani sikuamini alinifukuza nikagoma kutoka akaniwasha vibao ndio nikajua kuwa yupo serious , nilichezea vitasa nikajikuta nimetoka ndani akanionea huruma

Akwasha gari yake mpk gheton kwangu sikuamini yaani akanisindikiza mpk ndani na maji ya kunywa akaniomba nikampa akanywa akasema maisha mema nilioma kama ndoto

Nililiiia nakumbuka ndio naujauzito wake mchanga , jamaa alikuwa haaamini kbs km nina ujauzito kutoka na tabia za kumdanganya mambo mengi

Mpk niliugua haipertension , ujauzito ukatoka !! Nikabaki kuwa naonana naye kazini

Mpk sasa nampenda japo yupo relation nyingine ila natamani sana abadili msimamo na mawazo yake , sikuwah kupata mwaume kama D wangu

Sio hekima ,busara,kutunza anajali kwenye game ndio usiseme mpk kiu ya maji inakukamata

Najilaumu sana ila ndiyo imetokea japo huwa na mmmisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kwanza kuisoma namba
 
Kidume nlitumiwa zawadi ikaambatanishwa na barua mbili moja ya kuachwa nyingine ya kushukuliwa kwa penz kidume nlianza na zwadi nkatafuna nkachukua barua ya kupongezwa kwa penz asee hadi mzee alisimama kuja kufungua barua ya pili nakumbana na neno sina namna inabid nkuache na nimeamua hvyo usiniulize zaid maisha mema. Asubuh nlijukuta hospital naambiwa nilidondoka ghafla sabab ya presha na vidonda vya tumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Aliniacha kweli, na tangu aniache sina Bahati na watoto wazuri, nikaamua kua busy n maisha yangu.
Well; It was like " Magoe am sorry but we need to break" nikamuuliza "break or breakup" akanambia "breakup" dah! Sikuamini, msosi ukaw haupandi maana I loved her much, ila Nd hivo tukaachana.
Sijui alini-block kabisa whatsApp hahaan, Ila maisha lazima yaendelee.
 
Mimi imenitokea jana usiku, huyu dem ananipenda sana, tatizo ana maisha flan classic halafu yuko mjini, anachotaka nimgharamikie mimi maisha hake, mfano kodi ya nyumba nilipe mimi, akiugua nimtibishe, chakula nimnunulie mimi pamoja na ndugu zake anaoishi nao, nami kimaisha sijakaa fresh bado, ndo najipanga, hata huo uwezo wa kumtunza ningeweza kukomaa mno kumtunza but sitakuwa na personal development, sasa jana nikamwambia mbinu anazotumia kuniomba hela ni za kisanii, akamind kaniblock namba zote, ofcourse nampenda zaidi sana kwakuwa ananipenda, ila vizinga vyake sio vya nchi hii, sasa hivi naumia nikikumbuka nice moments we shared, ila nina unafuu kukwepa gharama zingezokuwa mbele yangu,, Ushauri wenu naomba, juu ya hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee huyo hakupendi sana kama unavyodai ila anapenda pesa zako ndiyo maana ulipomwambia akakublock
 
dah mimi wangu,alitokea tu akanambia jerry mimi na wewe basi,kuna business nlikuwa nafanya nkamwambia sababu?hakujibu nkazama tu tgo pesa nkampa kama laki 8,maana alikuwa anauza tuviatu na mikoba baada ya hapo sikumtafuta mpka leo,baada ya miaka 5 majuzi ndo anantext whatsapp akachezea tu block,amepiga nkaongea nae then akala block ya 2, inshort mwanamke akishanambia tu mimi na ww basi huwaga sibadili maamuzi na nimiachaga mtu kurudia siwezagi kabisaa
anacheza na muuza magari
akikohoa block 2
akigeuka analo block lingine utafikiri hamjaachana
 
Kwakweli Mimi hata nikiachwa huwa sijui sababu sidhani kama kuna lady amewahi kuingia akilini mwangu. Kuna vitu huwa navipa nafasi zaidi ya mahusiano na yeyote aliyewawahi kupita hapa lazima ana cha kusimulia.
 
Mimi imenitokea jana usiku, huyu dem ananipenda sana, tatizo ana maisha flan classic halafu yuko mjini, anachotaka nimgharamikie mimi maisha hake, mfano kodi ya nyumba nilipe mimi, akiugua nimtibishe, chakula nimnunulie mimi pamoja na ndugu zake anaoishi nao, nami kimaisha sijakaa fresh bado, ndo najipanga, hata huo uwezo wa kumtunza ningeweza kukomaa mno kumtunza but sitakuwa na personal development, sasa jana nikamwambia mbinu anazotumia kuniomba hela ni za kisanii, akamind kaniblock namba zote, ofcourse nampenda zaidi sana kwakuwa ananipenda, ila vizinga vyake sio vya nchi hii, sasa hivi naumia nikikumbuka nice moments we shared, ila nina unafuu kukwepa gharama zingezokuwa mbele yangu,, Ushauri wenu naomba, juu ya hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona demu anakuomba Sana hela ujue hakupendi anakutumia kimaslahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa ni jinsi unavyoi-tune akili yako kuchukulia mambo, ie stress management skills
Umeongea kitu kidogo ila cha msingi sana.Ingawa sio rahis kuki implement ila ukiweza aisee utaepuka mengi sanaa.
Kui tune mind yako ni kitu muhim sana unapokutana na situations tofauti tofauti.

Hii kitu inanisaidia sana kupambana na scenario nying sana za sintofaham nazokutana nazo kibaruan mara kwa mara dhib ya mabos zangu.Inanibeba sanaaa
 
Back
Top Bottom