Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada,
Hivi Unaweza kutupa sababu ya hii point yako namba 3?
3. Utakapofika eneo la tukio, usiruhusu wakushike mikono kwenye kiganja chako wanapokung'ang'ania waowao Kwa wao.
Hapa kama labda unalenga kuwaasa vijana na wasabato wale ambao wanaibukia Hii tasnia.
Legendari wa hizi biashara
ilikuaga Ni Lazima tumshike shike kwanza manyonyo yake na makalio yake.
Hajakaa sawa,
tunamgeuza geuza kiuno uku na kule unaminyaminya kumkagua Yale yanayoonekana kweny nguo yamo au tumepigwa.
Na makahaba wenyewe hali Hii wanaikubali bila kipingamizi chochote.
Ndo Maana ukifika TU,
Breki ya kwanza kahaba atakupa mkono wake, Lengo sio ww na yeye msalimiane.
Akishakupa mkono,
Lengo Ni ww uuinue juu ili upate kuona vizur nyonga, kiuno, shanga na maumbile yake nyuma jins gan alivyojaaliwa.
Sasa Tatizo lenu wasabato,
mkifika pale mkapewa mkono na kahaba mshikane,
Breki ya kwanza akilini mwenu mnadhan mmepewa mkono ili kusalimiana.
Hofu yenu inawapeleka kwny kuwaza kwamba pale mnapewa limbwata[emoji2]
KITU AMBACHO SIO SAHII KABISA[emoji4]
Bro Robert nakushukuru mnoo kwa Somo lako.
Maana si wengine Makahaba ndo wana tufikisha.
Na wapo tayari kukupa kile ukitakacho kwa pesa yako.
Ila kwa somo hili basi ntakuwa nimeinuka sanaa kimawazoo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu unaonekana ni bonge la legendary kwenye hii tasnia yetu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji113][emoji113][emoji113][emoji23][emoji23]Mtoa mada,
Hivi Unaweza kutupa sababu ya hii point yako namba 3?
3. Utakapofika eneo la tukio, usiruhusu wakushike mikono kwenye kiganja chako wanapokung'ang'ania waowao Kwa wao.
Hapa kama labda unalenga kuwaasa vijana na wasabato wale ambao wanaibukia Hii tasnia.
Legendari wa hizi biashara
ilikuaga Ni Lazima tumshike shike kwanza manyonyo yake na makalio yake.
Hajakaa sawa,
tunamgeuza geuza kiuno uku na kule unaminyaminya kumkagua Yale yanayoonekana kweny nguo yamo au tumepigwa.
Na makahaba wenyewe hali Hii wanaikubali bila kipingamizi chochote.
Ndo Maana ukifika TU,
Breki ya kwanza kahaba atakupa mkono wake, Lengo sio ww na yeye msalimiane.
Akishakupa mkono,
Lengo Ni ww uuinue juu ili upate kuona vizur nyonga, kiuno, shanga na maumbile yake nyuma jins gan alivyojaaliwa.
Sasa Tatizo lenu wasabato,
mkifika pale mkapewa mkono na kahaba mshikane,
Breki ya kwanza akilini mwenu mnadhan mmepewa mkono ili kusalimiana.
Hofu yenu inawapeleka kwny kuwaza kwamba pale mnapewa limbwata[emoji2]
KITU AMBACHO SIO SAHII KABISA[emoji4]
Mtoa mada anataka kutisha watu uyu[emoji4]hakuna raha tena kwa wingi wa masharti haya....bora kuacha tu....
Mwizukulu Mgikuru[emoji23][emoji23][emoji23]hakuna raha tena kwa wingi wa masharti haya....bora kuacha tu....
Eti Numbisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh aiseeee
Hii point namba 4 nayo napingana nayo vikali,
4. Usifike na kuchagua papohapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa Mbali.
Zingatia kanuni hii.
Huwez ukawa mnunuaji mzoefu eti sokoni ukachagulie kwa mbali kisha ukafike unambeba uondoke nae.
Utakuja kubeba majini, au wale wenye vigodoro vya sponji.
Malegendary,
Husogea kabisa eneo la tukio,
unaacha wote wasogee Kisha kwa utulivu kabisa bila kuongea chochote unachagua mmoja baada ya mwingine.
Utakayemuelewa zaidi unamvuta pembeni Kisha unamuomba kwenda nae kupata boosta (kilaji).
Akikubali atakupa Bei YAKE nje ya boosta. Mnakubaliana kabisa pale pale.
Mkishindwana unamuacha pale pale, ila akikubali unaenda kumshughulikia kwa Bei na huduma mlizokubaliana.
Ndo Maana nikasema Hii mada yako inafaa kuwaasa wanafunzi na watoto wadg wa Sunday school wasijiingize ktk huu uraibu.Kwa jamii za Kiswahili sio tuu Kwa Malaya haya Kwa watu wengine usipendelee kushikana mikono Kwa kuachia kiganja chako.
😀😀Sasa namba 7 bila denda wafanyaje
KAMA UTAENDA KUNUNUA DADA POA, ZINGATIA HAYA.
Anaandika Robert HERIEL
Yule Mtibeli, Kuhani katika Hekalu Jeusi.
Mambo haya pengine niya aibu, pengine hayasemeki kwa urahisi, tena hayafurahishi kuonekana hadharani.
Lakini Mimi Taikon nitayasema Kwa uchache Kwa Nia ya kujenga. Na wala sikusudii kuhamasisha Uzinzi. Tena sikusudii kuwaambia mumwasi Mwenye Enzi, huyo aishiye sirini.
Basi ikiwa tamaa yako itafurika mpaka ukashindwa kuizuia kumwagika mwilini mwako. Nawe ukashindwa kudhibiti hisia zako. Ukaamua kumuasi Mungu wako, Kwa kufuata matamanio yako. Basi ikiwa matamanio Mema na mabaya yaliumbwa na Mungu, Ila ukaambiwa uchague matamanio yaliyo Mema. Lakini wewe ukachagua tamaa mbaya basi Taikon atakushauri ufanye Kwa akili huo ubaya wako ili usije ukaangamia Kwa baraka kabla haujatubu, tena usije iingiza familia na kizazi chako katika hasara kubwa.
Basi utakapopata tamaa ya Mwili. Ukavutiwa na kahaba, Kwa mvuto wake, au mikogo yake, au pengine umbile lake likakupagawisha.
Basi haya ndio utakayoyazingatia utakapoenda kununua Kahaba Kwa Aina zake.
1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na Kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie katika shughuli zako tena.
2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi Yao. Kama BEI ya kumnunua ni Tsh 10,000 basi enenda na Walau Tsh 30,000/=
3. Utakapofika eneo la tukio, usiruhusu wakushike mikono kwenye kiganja chako wanapokung'ang'ania waowao Kwa wao.
4. Usifike na kuchagua papohapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa Mbali.
Zingatia kanuni hii.
5. Chagua kahaba ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo Sana wala usiwe Mkubwa Sana.
6. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe Namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya Kwanza au yapili kununua Huduma yake.
7. Bila Shaka hatakuruhusu kumnyonya Romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye Kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake.
8. Usiwe na vitu vingi. Wala usivue suruali yote wakati wa tendo. (Kwa part-time)
Na Kama umechukua Hoteli (Kwa full-time) ili umtumie usiku mzima. Basi Asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa Asubuhi hajawika, au aondoke kabla ya jogoo wa Alfajiri hajawika
9. Usimpeleke kahaba katika Nyumba yako. Unayoitumia wewe na Mkeo, na wanao wakuwazaa, na wajukuu zako.
10. Usimdhulumu kahaba malipo yake. MPE kadiri ya mapatano Yenu.
12. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote kahaba.
13. Usionyeshe Ubora wa nguvu zako Kwa kahaba pindi ufanyapo mapenzi naye.
Kwa maana huwezi shindana na kahaba, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake.
14. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Kahaba.
Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo WA ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.
15. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Kahaba isipokuwa ogopa Dhambi ya uzinzi unayoifanya.
16. Usikae chini. Alafu kahaba aje juu yako. Bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia.
Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha NYUMBANI.
17. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele.
18. Usiwekeane ahadi na nadhiri na kahaba. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za Giza.
19. Usiguse Jambo lolote NYUMBANI kwako utakaporudi kabla haujajitakasa.
Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba.
20. Linda simu yako uwapo na kahaba, hata Kama hataiiba lakini iwe imedhibitiwa na namba za Siri
21. Usije ukajisahau ukazaa na Kahaba ilhali unajua unamke.
22. Usifanye mapenzi na kahaba taa zikiwa zimezimwa.
23. Usifanye mapenzi na kahaba ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo.
24. Kama vile usivyomjua vizuri huyo kahaba nawe asikujue vizuri.
Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako.
25. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa Bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha.
26. Usiende kununua kahaba Kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni Kwa kukuuza Kwa ving'asti Kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana. Hivyo kujua mapigano na kujihami kutakuzuia usidhurike Sana.
27. Usinunue Kahaba eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga Sana usiende kuchukua kahaba.
28. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo kahaba basi suluhisha uwezavyo ishu isifike Kwa familia yako.
29. Ikiwa umenunua kahaba Kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo.
Baada ya kusema hayo Taikon anaomba apumzike.
Andiko hili sio Kwa watakatifu, Bali Wale wote waovu walioshindwa kuzizuia hisia zako.
Hata hivyo, mambo hayo Kama mlivyoyaona ni mambo mengi Sana. Hivyo ni Bora mtu aache kujihangaisha na kununua Dadapoa.
Ulikuwa nami;
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ndo Maana nikasema Hii mada yako inafaa kuwaasa wanafunzi na watoto wadg wa Sunday school wasijiingize ktk huu uraibu.
Atheist na Walioshakubuhu ktk uraibu huu haiwafai kabisa na watakuona hufai,mshirikina na mpotoshaji mkubwa
Unapaswa kubadili heading yako na Baadhi ya point zako za kuskia vijiweni na makanisani uzifute sasa.
Yaani uliyoyachambua,
Inaonyesha kabisa Bado wewe Hujui mengi yanayoendelea ktk hii tasnia[emoji4]
(No offense intended [emoji120])
Humu mitandaoni Kuna upotoshaji mkubwa Sana kutoka kwa watu ambao hata huwajawai kununua hizo bidhaa.Mkuu unaonekana ni bonge la legendary kwenye hii tasnia yetu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji113][emoji113][emoji113][emoji23][emoji23]
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Ebu hapa nielekeze vizuri halooo maana ilishawahi nikuta hiyo nikaibiwa simu pesa mpaka begi langu.30.Usifanye ngono na kahaba ndani ya gari ya familia.
31.Usinyonye chuchu za kahaba usijepitiwa usingizi ukitaka kunyonya hakikisha umesafisha vizuri na maji. Lakini ni salama zaidi kutonyonya.
Tulia wewe mashetani huwa hatufundishwi dhambi..😂Usiseme hivyo Mkuu
tatizo lako Umechanganya mungu na Shetani kwny kapu Moja, apo ndipo unapotuvuruga.Mkuu nimeandika Kwa watu wote, Kwa wanaoamini na wasioamini miungu.
Nikizitoa pwenti hizo nitawanyima haki wanaoamini katika mambo dhahania
Papi, nakuelewa sana Papi huyu ni amateur ila mimi nafsi huwa inanituma kama anavyofikiri yaan navaa nguo toka kwenye washbin then narudia nikishazitakasa.Ndo Maana nikasema Hii mada yako inafaa kuwaasa wanafunzi na watoto wadg wa Sunday school wasijiingize ktk huu uraibu.
Atheist na Walioshakubuhu ktk uraibu huu haiwafai kabisa na watakuona hufai,mshirikina na mpotoshaji mkubwa...