Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Papi, nakuelewa sana Papi huyu ni amateur ila mimi nafsi huwa inanituma kama anavyofikiri yaan navaa nguo toka kwenye washbin then narudia nikishazitakasa

Nina limit sana kiasi cha pesa nachobeba, nachagua pisi ambayo haiwez to think getting fun with me...
But you also have points way better points...

Credit is you are the Guru and seem to know mambo mengi... now kindly sharing is caring be that decent[emoji2956][emoji3]
Uko Sahii kabisa,
Mtoa mada alichoandika Ni Rai kwa vijana wanaotamani ila hawajaanza

na sio kwa wanunuaji waliopo sokoni tayar.

(Maana naona kaweka Hadi fiksi zake anazojua yeye ili tu kutisha Tisha watu)
 
Uko Sahii kabisa,
Mtoa mada alichoandika Ni Rai kwa vijana wanaotamani ila hawajaanza

na sio kwa wanunuaji waliopo sokoni tayar.

(Maana naona kaweka Hadi fiksi zake anazojua yeye ili tu kutisha Tisha watu)
Kwani what difference it make? Mi nachaguaga kama ww kutest sana kwanza ila nakuaga na precaution za kutosha nawaangalia kwanza from distance bofore approaching testing and deciding to buy
 
Hii point yako haina mashiko kabisa,

8. Usiwe na vitu vingi. Wala usivue suruali yote wakati wa tendo. (Kwa part-time)
Na Kama umechukua Hoteli (Kwa full-time) ili umtumie usiku mzima. Basi Asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa Asubuhi hajawika, au aondoke kabla ya jogoo wa Alfajiri hajawika

Kwanini usivue suruali Sasa?
Unahofia atakuibia suruali?
Raha ya kulipia huduma ikowapi sasa?

Au unaongelea wale malaya wa quickie kule kimboka uchochoroni kwa muhindi au msamvu kwenye flatbed za semi?

Kama unaongelea makahaba na sio Malaya Basi suala lako la kutokuvua suruali halina mashiko kabisa
 
Wee nae mpotoshaji sana,

13. Usionyeshe Ubora wa nguvu zako Kwa kahaba pindi ufanyapo mapenzi naye.
Kwa maana huwezi shindana na kahaba, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake.

Kama ulikua hujui,
Kahaba huwa Ni uwanja wa mazoezi kutest their limits,
ndo maana unaambiwa waliooa wengi Ndo wateja wakubwa wa makahaba kulio mabachelor.

Yote huwa Ni kwenda kule kufanya mazoezi na kujifunza kumaintain mikao mipya mbalimbali ili kwenda kudumisha ndoa zao.

Fuatilia vizur wale madreva wa masafa marefu,
Akitoka Safar Lazima atafute kahaba mmoja astue kimoja akae sawa neo ataenda nyumban kwa mama watoto akili iko sawa sawa.

Msiwe mnaongea msivyovijua wakuu[emoji4]
 
Hii mada inaupotoshaji mwingi Sana aisee,

14. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Kahaba.
Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo WA ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.

Sasa Unatumia booster kwa mkeo Ili ugundue Nini Sasa wkt anakujua performance yako A to Z.
Si utaishia kuumbuka na kujivunjia heshima TU

Unaoona wanatumia booster kwa makahaba wengi wao huwa Lengo lao Ni kupasha misuli joto na kupunguza kiwango Cha mbegu kwa ajili ya mechi nzito ya baadae kwa mpenz wake.

KUMPAKIA MKONGO MKEO NI UFALA ULIOTUKUKA, afu tunaita mbio za sakafuni. Kesho TU unaumbuka.
 
Humu mitandaoni Kuna upotoshaji mkubwa Sana kutoka kwa watu ambao hata huwajawai kununua hizo bidhaa...
Wewe ndio legendary bwana. Hakuna kama wewe kwenye hii tasnia. Wewe unajua kuwafikisha bwana. Wewe huogopi kitu, wewe ni professional kwenye hii sekta.

Hawakujui wewe, ukiwa dukani kwako na jamaa wako wa kirikuu anayekubebeaga mizigo ya wateja shop kwako una wapiga sana Hongera sana mkuu. Ngoja tukupongeze sasa legendary kabla hatujaja kukumbeleza ule machungwa hospitalini.
 
Wewe ndio legendary bwana. Hakuna kama wewe kwenye hii tasnia. Wewe unajua kuwafikisha bwana. Wewe huogopi kitu, wewe ni professional kwenye hii sekta. Hawakujui wewe, ukiwa dukani kwako na jamaa wako wa kirikuu anayekubebeaga mizigo ya wateja shop kwako una wapiga sana Hongera sana mkuu. Ngoja tukupongeze sasa legendary kabla hatujaja kukumbeleza ule machungwa hospitalini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenifurahisha ulivyomalizia
 
Back
Top Bottom