Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Hii point namba 4 nayo napingana nayo vikali,

4. Usifike na kuchagua papohapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa Mbali.
Zingatia kanuni hii.

Huwez ukawa mnunuaji mzoefu eti sokoni ukachagulie kwa mbali kisha ukafike unambeba uondoke nae.

Utakuja kubeba majini, au wale wenye vigodoro vya sponji.

Malegendary,
Husogea kabisa eneo la tukio,
unaacha wote wasogee Kisha kwa utulivu kabisa bila kuongea chochote unachagua mmoja baada ya mwingine.

Utakayemuelewa zaidi unamvuta pembeni Kisha unamuomba kwenda nae kupata boosta (kilaji).
Akikubali atakupa Bei YAKE nje ya boosta. Mnakubaliana kabisa pale pale.

Mkishindwana unamuacha pale pale, ila akikubali unaenda kumshughulikia kwa Bei na huduma mlizokubaliana.
 

Kwa jamii za Kiswahili sio tuu Kwa Malaya haya Kwa watu wengine usipendelee kushikana mikono Kwa kuachia kiganja chako.
 


Mimi kazi yangu ni kuandika tuu bureee
 
Mkuu unaonekana ni bonge la legendary kwenye hii tasnia yetu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji113][emoji113][emoji113][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Nazungumzia watu wenye familia Mkuu. Sio ninyi mabachela ambao mkifika mnachagua makahaba Kama Maembe.

Hivi mtu anamke na watoto asogee karibu achague wamzonge zonge kila mmoja anataka achaguliwe yeye huoni hiyo kadhia yote angeiepuka Kwa kukaa umbali Fulani unaomuwezesha kuwaona vizuri ajichagulie akiwa mbali akifika ni kubeba tuu.

Kuepusha macho ya watu na usumbufu wa Masada poa, pia kuepuka hila za kuibiwa wakati wakimzonga.
 
Kwa jamii za Kiswahili sio tuu Kwa Malaya haya Kwa watu wengine usipendelee kushikana mikono Kwa kuachia kiganja chako.
Ndo Maana nikasema Hii mada yako inafaa kuwaasa wanafunzi na watoto wadg wa Sunday school wasijiingize ktk huu uraibu.

Atheist na Walioshakubuhu ktk uraibu huu haiwafai kabisa na watakuona hufai,mshirikina na mpotoshaji mkubwa

Unapaswa kubadili heading yako na Baadhi ya point zako za kuskia uko vijiweni,majumbani na makanisani uzifute sasa.

Yaani uliyoyachambua,
Inaonyesha kabisa Bado wewe Hujui mengi yanayoendelea ktk hii tasnia[emoji4]
(No offense intended [emoji120])
 


15. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Kahaba isipokuwa ogopa Dhambi ya uzinzi unayoifany
 

Mkuu nimeandika Kwa watu wote, Kwa wanaoamini na wasioamini miungu.

Nikizitoa pwenti hizo nitawanyima haki wanaoamini katika mambo dhahania
 
Mkuu unaonekana ni bonge la legendary kwenye hii tasnia yetu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji113][emoji113][emoji113][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Humu mitandaoni Kuna upotoshaji mkubwa Sana kutoka kwa watu ambao hata huwajawai kununua hizo bidhaa.

Na kwa bahati mbaya,
Wanunuaui wengi sio wawazi kufunguka yanayojiri kule gizani kuepuka bullying.

Kwaiyo hii tasnia imekua Kama vile imetengwa, kila mtu Ni msemaji hata kwa Yale ya uwongo[emoji26]
 
30.Usifanye ngono na kahaba ndani ya gari ya familia.
31.Usinyonye chuchu za kahaba usijepitiwa usingizi ukitaka kunyonya hakikisha umesafisha vizuri na maji. Lakini ni salama zaidi kutonyonya.
Ebu hapa nielekeze vizuri halooo maana ilishawahi nikuta hiyo nikaibiwa simu pesa mpaka begi langu.
 
Mkuu nimeandika Kwa watu wote, Kwa wanaoamini na wasioamini miungu.

Nikizitoa pwenti hizo nitawanyima haki wanaoamini katika mambo dhahania
tatizo lako Umechanganya mungu na Shetani kwny kapu Moja, apo ndipo unapotuvuruga.

Huwez ukawa unataka kukemea uzinzi afu ukawapa watu mbinu za kwenda kununua makahaba.

Au wewe unaaamnini mungu yupi anayeruhusu kununua makahaba?

Kama umeamua kua upande wa mungu, Basi Baki huko huko kuliko kutafuta kua vuguvugu Kama unavyofanya kwa malelezo yako.
 
Ndo Maana nikasema Hii mada yako inafaa kuwaasa wanafunzi na watoto wadg wa Sunday school wasijiingize ktk huu uraibu.

Atheist na Walioshakubuhu ktk uraibu huu haiwafai kabisa na watakuona hufai,mshirikina na mpotoshaji mkubwa...
Papi, nakuelewa sana Papi huyu ni amateur ila mimi nafsi huwa inanituma kama anavyofikiri yaan navaa nguo toka kwenye washbin then narudia nikishazitakasa.

Nina limit sana kiasi cha pesa nachobeba, nachagua pisi ambayo haiwez to think getting fun with me. But you also have points way better points.

Credit is you are the Guru and seem to know mambo mengi... now kindly sharing is caring be that decentπŸ€©πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…