Hii point yako haina mashiko kabisa,
8. Usiwe na vitu vingi. Wala usivue suruali yote wakati wa tendo. (Kwa part-time)
Na Kama umechukua Hoteli (Kwa full-time) ili umtumie usiku mzima. Basi Asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa Asubuhi hajawika, au aondoke kabla ya jogoo wa Alfajiri hajawika
Kwanini usivue suruali Sasa?
Unahofia atakuibia suruali?
Raha ya kulipia huduma ikowapi sasa?
Au unaongelea wale malaya wa quickie kule kimboka uchochoroni kwa muhindi au msamvu kwenye flatbed za semi?
Kama unaongelea makahaba na sio Malaya Basi suala lako la kutokuvua suruali halina mashiko kabisa