Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Ni kisa cha kuogofya.
Bora kutia na mke wako
 
Duu,we jamaa mgumu kweli
Mm nimewasemea watumiaji, mm siwez kununua hao watu maana mm nina michezo yangu ambayo ni lazma kabla sex niifanye(ata nikisema leo sitoifanya nitajikuta tu nimeisha ifanya) mbali na hapo najiona kama sijamfurahisha bby wangu. Na hio michezo uwez fanya kwa mkodishaji huduma
 
Naona ni udhaifu tu wa mtu na wengine ni waoga wa kutongoza
 
Kutiana hofu tu..hivi hakuna roho nzuri inayoachwa ni mbaya tu inaachwa..tunadanganyana sana..

#MaendeleoHayanaChama
 
Naona ni udhaifu tu wa mtu na wengine ni waoga wa kutongoza


Unazungumzia vipi Wale wenye wake na bado wananunua hao Dadapoa?

Mnamjua Yuda mtoto wa Yakobo, ambaye Naye licha ya kuwa na Familia lakini alienda kununua kahaba akiwa safarini. Bahati mbaya hiyo kahaba alikuwa ni Mkwe wake, hivyo ulikuwa mtego.

Unamzungumziaje Mtu huyo Mkubwa mwenye jina katika Biblia na ndiye Muanzilishi wa kabila la Yuda?
 
Wazee wa kimboka, corner bar, sewa, davis corner, chako ni chako, liberty, mafiati, sokota, sudani, makaburini huu uzi unawahusu kabisa.
Umesahau, tandika, masakuu, buza, uhasibu,. Sinza, tegeta(kibo), corner bar, kinondoni studio njia yote hadi koma koma, ubungo riverside pote pale,. Kigamboni kwa wahaya.
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…