I know you got me, you heard me correctly! Ndio ukweli hata kama utakataa, chunguza magonjwa ya kurithisha kama kifafa, ukichaa katika familia ya mrembo, chunguza uwepo wa historia ya uchawi na ulonzi ndani ya familia ya mrembo, Angalia kwa makini vitu vibaya vingine vya kurithisha.
Kibaya zaidi vijana wengi hatuangalia historia ya IQ ndogo au akili ndogo toka kwenye familia ya binti au binti mwenyewe hata kama binti ana figure namba nane, sura ya cleopatra, weupe damu ya mtume , mguu wa chupa etc utajikuta unazalishiwa mitoto borgus , hata kama utawapeleka shule zipi, utaipa malezi mazuri kiasi gani utaishia kusikitishwa na umbumbu wa mitoto. Kwa taarifa za kisayansi mama anacontribute more than 60-70 % of IQ ya mtoto. chunguza familia zinazokuzunguka utakubaliana na mimi
Nakwambia ukizaa mbumbu ni trauma kwenye familia, itaendelea kuku-hunt kila siku, wazazi wengi huwa na furaha pale watoto wao wanapoonyesha uwezo mzuri wa akili na kufikiri, hicho ni kiashiria muhimu kwenye furaha ya familia. Unaweza ukafikiri kuzaa watoto weupe ndio chanzo cha furaha, mabinti wenye figure nambanane ni furaha , uko sawa ila wakiwa punguani wataishia kuwa mabaa -medi au warembo tunaokutana nao clubs na vilabu mbali days and night mbali ya wewe kutumia mamilioni ya pesa kuwapeleka shule na kuwaelimisha. Nakwambia ni majuto mabaya sana.
Najua umesikia na umeona kwenye familia zinazokuzunguka, au ndugu zako. Je wewe unawashauri vipi vijana wetu. Kumbuka baadhi ya vigezo hivi vinawahusu pia akina dada wakitafuta wenza, kama ni dada husiangalie uhandosome, six- packs, nenda mbali utanishukuru sana kesho
Kibaya zaidi vijana wengi hatuangalia historia ya IQ ndogo au akili ndogo toka kwenye familia ya binti au binti mwenyewe hata kama binti ana figure namba nane, sura ya cleopatra, weupe damu ya mtume , mguu wa chupa etc utajikuta unazalishiwa mitoto borgus , hata kama utawapeleka shule zipi, utaipa malezi mazuri kiasi gani utaishia kusikitishwa na umbumbu wa mitoto. Kwa taarifa za kisayansi mama anacontribute more than 60-70 % of IQ ya mtoto. chunguza familia zinazokuzunguka utakubaliana na mimi
Nakwambia ukizaa mbumbu ni trauma kwenye familia, itaendelea kuku-hunt kila siku, wazazi wengi huwa na furaha pale watoto wao wanapoonyesha uwezo mzuri wa akili na kufikiri, hicho ni kiashiria muhimu kwenye furaha ya familia. Unaweza ukafikiri kuzaa watoto weupe ndio chanzo cha furaha, mabinti wenye figure nambanane ni furaha , uko sawa ila wakiwa punguani wataishia kuwa mabaa -medi au warembo tunaokutana nao clubs na vilabu mbali days and night mbali ya wewe kutumia mamilioni ya pesa kuwapeleka shule na kuwaelimisha. Nakwambia ni majuto mabaya sana.
Najua umesikia na umeona kwenye familia zinazokuzunguka, au ndugu zako. Je wewe unawashauri vipi vijana wetu. Kumbuka baadhi ya vigezo hivi vinawahusu pia akina dada wakitafuta wenza, kama ni dada husiangalie uhandosome, six- packs, nenda mbali utanishukuru sana kesho