Kama Vera Sidika kawa hivi, mpango ushafeli

Hii kitu inawezekana ni Photoshoot,Clout Chasing au Bwana ake anatoa wimbo maana Wasanii wanatabia za kuchocha sana[emoji2]

Na kama ni kweli basi nimpe pole na nimpongeze kwa kuwa mkweli..

Wamama/wadada tuna la kujifunza kwenye hili...
 
Inategemeana na Dr aliye kufanyia, kumpata Professional ni gharama na wenyewe wana standard zao za ujazo kwa kila kalio. Ila MDr wa Black Market wao hawana hizo standard,wana ongeza tu as long umewapa hela.

Umeona kina Kim kardashian wameamua kujipunguza na kutoa hizo butt kuwa wale tofauti maana kila mtu anafanya umeona sasa hivi walivyokonda
 
Huyo dada hata rangi alibadili, alikuwa mweusi tii kama kikaangio cha chips
 
Duh[emoji848]acha tuone watakavyokua yetu macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…