Kama Vera Sidika kawa hivi, mpango ushafeli

Aisee!
 
Wanawake wa kiAfrika hawaambiliki kamwe.Sioni haha ya kuwashauri kuhusu madhara ya plastic suggeries.
 
Tulisemaje...ilikua kiki ile. Mambo hayo apo. She has a new song
 
Naye yasije kumpata yaliyompata Vera[emoji28]

Ila Vera anasema ni moja ya complications alizopata baaday ya kujifungua...

Sijui kwanini nimekuwa mgumu sana kuamini kama hii kitu ni kweli.
Mwanamke akizaa kunatokea maajabu mengi sana mfano mweupe wa kujichubua huwa anarudi kwenye black colour yake 🤣🤣🤣
 
Kweli...And mimi nimependa their new looks.They look natural.

Unakumbuka Khloe na lile tako jamani? Ila now naona kalitoa now and she looks slender and beautiful
Usiniambie, khloe kumbe lile sio tako lake 😭😭😭 dah mie nilikuwa nampenda sana yule mrembo...lamah alikuwa anakojolea pazuri sana
 
Ilikua kiki ya kutoa wimbo na wimbo kauachia jana rakini mpaka sasa view zimemgomea kabisa

Kuhusu msabwanda uko palepale haujatolewa


Yudaexalioth
jamiiforums
Geita
 
Tupe IG handler yake Tukaone kama yaliyomo yamo
 
Aaaaa wapi hajayapatia.
Ana kazi ya kuyarekodi makalio whatsapp na instagram.
Nipe namba yake nina shida na ilo tako lake[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…