Uchaguzi 2020 Kama Vyombo vya Habari vitaendelea kufanya hivi, CHADEMA Ikulu itakuwa ni ndoto

Uchaguzi 2020 Kama Vyombo vya Habari vitaendelea kufanya hivi, CHADEMA Ikulu itakuwa ni ndoto

Hao wananchi watz watadanganywa na propaganda za vyombo vya habari kuwa mambo Safi wakati wanakula mlo mmoja

Nikupe historia kidogo
Mwaka 1958 wakati wa mkoloni Tanu ilijitanua nchi nzima hakukuwa na radio, tv Wala wasap, ilikuwa Ni Kama uhaini kujiunga na Tanu kwa harakati za kudai uhuru, Kama ilivyo Sasa awamu hii

Tanu ilishindwa viti vingi, ikapelekea mwaka 1961 mkoloni akakubali kuachia nchi bila kupenda

Dogo historia itajirudia mwaka huu

Tuombe uhai tu
 
Wanasema wanazuia taharuki dhidi ya maneno makali ya wapinzani
Wanaogopa sindano za moto. Je unampo mskiliza kiongozi toka kwenye serikali ya CCM akisema wapinza wanaotaka kugombea kiti cha Urais na ubunge wanataka kuiuza nchi kwa mabeberu, wakati vyombo vyote vya usalama vinawsikiliza wao
 
Siyo ndogo ni kubwa sana mkuu sasa hivi vyombo vya habari vimelazimika kupiga bongo fleva tu vikibadili sana ni kumsifu mkuu.

Tuliwaambia chadema wahakikishe wanarecord mikutano yao ya kampeni wawe wanasambaza audios mbali mbali kwa watu maana vyombo vya habari vimelazimishwa kutokuwatangaza.

Ningepata ushahidi wa hili ningefurahi sana
 
Hata mimi nashangaa habari za Chadema hazipo kabisa hata mitandaaoni tu hakuna.
 
Ningepata ushahidi wa hili ningefurahi sana
Kwa sheria ya vyombo vya habari iliyopo na kanuni zake hatuna tena vyombo vya habari badala yake vimelazimika kuwa mouthpiece ya serikali.

Fuatilia vipindi vya habari vingi muda wote vinapiga bongo fleva tu hata vipindi vya kijamii havina nafasi tena.
 
Haihitaji kuona kwenye TV kuwa maisha yako yameshuka kiwango hivyo chama tawala kimeshindwa.

Haihitaji kuona kwenye TV kuwa wewe kijana serikali imeshindwa kukupa ajira au kuwezesha sekta binafsi kuajiri.

Haihitaji TV au Radio kujua kuwa serikali imekuonea wewe au ndugu yako kwa kumfukuza kazi na kunyimwa mafao eti vyeti bandia (wakati sio cheti bandia ila majina tifauti).

Yako mengi, na hakuna asiyejua hadi kijijini jinsi serikali ya ccm inavyobinya Uhuru wa habari ili watu wasijue ukweli
 
Kwa sheria ya vyombo vya habari iliyopo na kanuni zake hatuna tena vyombo vya habari badala yake vimelazimika kuwa mouthpiece ya serikali.

Fuatilia vipindi vya habari vingi muda wote vinapiga bongo fleva tu hata vipindi vya kijamii havina nafasi tena.

Kuna haja ya kuvinusuru vyombo vya habari kutoka kwenye adha hii ili visipoteze hadhi zake.
 
Haihitaji kuona kwenye TV kuwa maisha yako yameshuka kiwango hivyo chama tawala kimeshindwa.
Haihitaji kuona kwenye TV kuwa wewe kijana serikali imeshindwa kukupa ajira au kuwezesha sekta binafsi kuajiri.
Haihitaji TV au Radio kujua kuwa serikali imekuonea wewe au ndugu yako kwa kumfukuza kazi na kunyimwa mafao eti vyeti bandia (wakati sio cheti bandia ila majina tifauti).
Yako mengi, na hakuna asiyejua hadi kijijini jinsi serikali ya ccm inavyobinya Uhuru wa habari ili watu wasijue ukweli

So sad
 
Itakuwa rahisi sana kwa Tundu kuuza 0713,0656 kuliko kuwa Rais wa JMP.
Hilo jambo halipo leo halipo kesho wala halipo keshokutwa.
 
Chadema haita pigiwa kura na vyombo vya habari bali itapigiwa kurs na Watanzania.
Watanzania walio at the grassroot level watajuaje sera za wengine kama vyombo vyote vya habari vimeunga mkono juhudi za mgombea wa chama kimoja?
 
Haihitaji kuona kwenye TV kuwa maisha yako yameshuka kiwango hivyo chama tawala kimeshindwa.
Haihitaji kuona kwenye TV kuwa wewe kijana serikali imeshindwa kukupa ajira au kuwezesha sekta binafsi kuajiri.
Haihitaji TV au Radio kujua kuwa serikali imekuonea wewe au ndugu yako kwa kumfukuza kazi na kunyimwa mafao eti vyeti bandia (wakati sio cheti bandia ila majina tifauti).
Yako mengi, na hakuna asiyejua hadi kijijini jinsi serikali ya ccm inavyobinya Uhuru wa habari ili watu wasijue ukweli
Hizi ni akili za kipimbi. Nafikiri wewe endelea kutangaza vifo vya corona tu!
 
Kama kushinda ni vyombo vya habari basi upande wa pili walikuwa hawana haja ya campaign,kwa miaka mi nne na kidogo naona walikuwa barabarani kama campaign,yetu macho,naona meli imebadili mwelekeo baada ya kukatika kwa usukani
 
Cdm haitaki waandishi wa habari. Wakienda wanafukuzwa kama mbwa. Sasa hata wewe utaenda kweli kwenye mikutano ya cdm?.
 
Kuna haja ya kuvinusuru vyombo vya habari kutoka kwenye adha hii ili visipoteze hadhi zake.
Vyombo vya habari viliamaua kujiua vyenyewe baada ya kukubali kuletewa sheria mbovu.

Kukubali vitisho vya wanasiasa bila kupinga manyanyaso hayo.

Sasa hivi vinapigwa fine kila siku lakini hakuna chombo cha habari kinacholalamikia uhuni huu.

Kuna vyombo vya habari vinafingiwa lakini vyombo vingine viko kimya tu.

Kama vyombo vya habari haviwezi kujipigania vyenyewe vitaweza kupigania wananchi?

Watu walikuwa wakitekwa lakini vyombo vya habari viko kimya.

Wananchi watanusuru vipi vyombo vya habari vioga na vya kinafiki ?


HATUNA VYOMBO VYA HABARI BALI TUNA MAGENGE YA WAHUNI TU.
 
Back
Top Bottom