Uchaguzi 2020 Kama Vyombo vya Habari vitaendelea kufanya hivi, CHADEMA Ikulu itakuwa ni ndoto

Uchaguzi 2020 Kama Vyombo vya Habari vitaendelea kufanya hivi, CHADEMA Ikulu itakuwa ni ndoto

Hizi ni akili za kipimbi. Nafikiri wewe endelea kutangaza vifo vya corona tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, mlifikiri kuzuia TV na redio ndio habari hazitafika kwa wananchi? Mmeula wa chuya mavuvuzela.
IMG-20200901-WA0040.jpg
 
D
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Delete ccm Oct 28
 
Kwa dakika 45 tu alizozipata Lisu Jana pale ITV kwangu mimi tayari nishajua kura yangu nitampa nani. Ova
 
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Mura, swali lako la mwisho kabla hujaanza maelezo ndiyo hoja hapo.

U communist hautaisaidia nchi hii labda Ccm yenyewe. U communist haujawahi kuitoa nchi yoyote mrisi zaidi ya uzalendo uchwara. Nchi inaenda kwenye uchaguzi mkuu , huku maelekezo ya nini kifanyike kikiwa kikwazo kwa washindani wa Ccm.

Huku NEC nayo ikiwa haina meno.
 
Tunafukuza mbwa hatufukuzi waandishi wa habari ...upo??
Duh, huu ni ukweli ambao nilikuwa sijaubaini. Ni kweli, mbwa hata kama unamfuga nyumbani huwezi kukubaki akufuate msikitini.
Tabia za TBC ni za mbwa, tena yule koko
 
Ungewashauri hao nyumbu, samahani nisiwaite nyumbu leo nisema wanacdm nk waungeUNGA juhudi za JPM mapema ili wasipoteza rasilimali fedha Na muda.

Hata wewe nafasi unayo
 
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Waliwafukuza waandishi wa habari,waacheni wale jeuri zao na hizo bangi zao
 
Cdm haitaki waandishi wa habari. Wakienda wanafukuzwa kama mbwa. Sasa hata wewe utaenda kweli kwenye mikutano ya cdm?.

Kwa mujibu wao wanadai hao waliofukuzwa hawaweki content zote
 
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Maoni murua. Mimi naona sababu kubwa ya vyombo vya habari kutorusha habari za upinzani ni hofu na mashinikizo kutoka upande wa CCM na serikali yake. Walishatamka wazi kuwa hawawezi kutoka madarakani wakiwa wanamilki vyombo vya dola. Ina maana kuwa watatumia vyombo vya dola kubaki madarakani milele. Vyombo vya habari huru siku hizi siyo huru tena. Vinaogopa kufungiwa au kupigwa faini kubwa. Liko wapi Tanzania Daima, liko wapi Mwanahalisi, n.k.?
 
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Nyie maccm chukueni vyombo vyote vya habari,
Chukueni kila kitu
Hela zenu tutakula
Kofia zenu tutazivaa lakini kura zetu mtazisikia kwenu bomba , shenz zenu.
 
Wakubwa kwa wadogo, itifaki imezingatiwa....

Nianze kwa kurudia kusema kuwa, mimi ni non aligned kwa maana ya kwamba "sifungamani na chama chochote cha kisiasa nchini. Hata kama sifungamani na upande wowote lakini bado katiba inaniruhusu kufanya yangu pale kwenye sanduku la kura mnamo tarehe 28 mwezi Oktoba 2020.

Ni takribani siku 11 sasa tangu kampeni za uchaguzi mkuu ziruhisiwe rasmi na Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC). Tathmini yangu kwa ufupi, naona mpambano mkali bado upo kama ule wa mwaka 2015 yaani ni vyama viwili vya CHADEMA na CCM ndivyo vinachuana vikali. ACT Wazalendo nao wapo kidogo japo sio kwa kiwango cha CCM na CHADEMA. Bado ni mapema sana kusema nani anaweza kutwaa mikoba ya nchi kwani siku za kampeni kuwashawishi wananchi zipo za kutosha. Baada ya hayo turudi kwenye mada kama heading inavyojitanabaisha.

Kama watu wengine, nami ni mazoea yangu kufuatilia matukio mbalimbali yanayojiri ndani na nje ya nchi kupitia vyombo vya habari hasa vya hapa nchini kwetu. Moja kati ya habari ambazo kwa sasa raia tunazifuatilia kwa ukaribu sana ni habari za uchaguzi mkuu wa bara na visiwani.

Hadi kufikia leo bado naona kasi ya kuoneshwa kwa matangazo ya mikutano ya upinzani kwenye vyombo vya habari vya nchi hii inazidi kupungua sana. Kwa Chama cha Mapinduzi kwao naona hali ipo vizuri maana vyombo vya habari vingi kila kukicha utaona ni wao tu japo vyama vingine pia vinahitaji kuuza sera zao kwa wananchi. Hii imenijengea maswali kadhaa ambayo majibu yake yanaweza kuwa wazi au yasiwe wazi.

Nimekuwa nikiwaza, labda media zinahitaji pesa kubwa ili kurusha matangazo hivyo kusababisha cost kubwa ambazo vyama vya upinzani vimeshindwa kumudu?

Nimekuwa nikiwaza, labda vyombo vya habari vinaona kampeni za CCM ndizo zina mvuto sana kwa watazamaji wao kuliko zile za upinzani?

Nimekwenda mbali zaidi nikawaza labda kuna shinikizo kutoka mamlaka fulani kuzuia kuonesha matangazo ya vyama vya upinzani?

Maswali yote hayo yamenijia baada kufuatilia tangu kampeni zianze na niliwaona TBC1 pekee ambao walirusha ufunguzi wa kampeni za CHADEMA japo kwa kukatakata matangazo. Leo nimefuatilia UTV, TBC1, Star Tv na Channel 10 wote wanarusha matangazo ya kampeni za mgombea wa CCM Dr. JPM akiwa Simiyu. Clouds wao hawana muda kabisa naona ni muziki tu labda bado wamejawa woga baada ya ban ya wiki moja.

Hii imenipa kitu kwenye fikra zangu na kuja na huu uzi kwenu CHADEMA kama mambo yataendelea kuwa hivi, hakika kushinda uchaguzi huu litakuwa ni jambo gumu sana kwenu. Nadiriki kusema hivi kwa sababu vyombo vya habari vina nguvu sana ya kueneza sera iwe mjini na vijijini. Kutembelea mikoa na wilaya pekee bado haitoshi kwa sababu zifuatazo;

i. Sio wakazi wa eneo husika wote hupata nafasi ya kuhudhuria mikutano ya kampeni.
ii. Mara nyingi mnatembelea sehemu za mijini tu na sio vijijini ambako ili sera zenu zienee vema yapaswa media ziwabebe.
iii. Media zinaheshimika sana kwa jamii yaani mtu anaamini sana kitu anachokisikia kwenye radio/TV kuliko source nyingine.

Kwa kusema hayo, naomba CHADEMA mtafute njia mbadala ili muweze kujinusuru na hili. Ogopa sana mtu anatembea kila mtaa akinadi sera zake huku wewe media zikikukaushia tu. Nasikia hadi matamko ya vyama vya waandishi wa habari vikiwataka muombe radhi, tafadhali fanyeni kila muwezalo habari zenu zipate airtime ila tofauti na hapo bado nafasi ya kushinda kwenu ni 20%.

Nafasi mliyobakiza ya kuwabeba kidogo ni huku online ambako nako sio wote wanaowapa support ipasavyo. Wapo wanaowaunga mkono wengi na wachache wanaowapinga lakini kumbuka kuwa idadi ya watumiaji wa hii mitandao ni ndogo sana kuliko wasiotumia.

Yangu ni hayo na ninawatakia kila la kheri, naomba kuwasilisha....
Kaka kama wanakuja tena kwa gharama zao tena kwa makubaliano chini ya kamati ya mawasiliano ya kitaifa anawapa dakika 15 waondoke, chombo gani kitacover mikutano na sera zako? Mchaw wa haya wanamjua . Umoja wa vyombo hvyo umeita chadema kuomba radhi lakini hadi leo bado hawajafanya hivyo. Kwa mazingira hayo hayo vyombo vingine Havana uhakika na usalama wa waandish wao na vyombo vyao huko chadema ndyo maana wanakwenda Kule wanakokuona kuko salama. Tena kumbuka maslahi ya kwanza ya vyombo vya habar ni usalama wa waandishi na vyombo vyao
 
Vyombo vya habari viliamaua kujiua vyenyewe baada ya kukubali kuletewa sheria mbovu.

Kukubali vitisho vya wanasiasa bila kupinga manyanyaso hayo.

Sasa hivi vinapigwa fine kila siku lakini hakuna chombo cha habari kinacholalamikia uhuni huu.

Kuna vyombo vya habari vinafingiwa lakini vyombo vingine viko kimya tu.

Kama vyombo vya habari haviwezi kujipigania vyenyewe vitaweza kupigania wananchi?

Watu walikuwa wakitekwa lakini vyombo vya habari viko kimya.

Wananchi watanusuru vipi vyombo vya habari vioga na vya kinafiki ?


HATUNA VYOMBO VYA HABARI BALI TUNA MAGENGE YA WAHUNI TU.

Unadhani hizo hatua watazichukua wapi na katika mazingira gani kama serikali ndiyo anaviminya?
 
Hali ya kiuchumi na ugumu wa maisha kwa sasa pamoja na kutopandisha mishahala na pesa Yetu kutokuwa na thamani,inahitaji kuonyeshwa na kutangazwa kwenye vyombo vya habari kweli?

Kumbuka upinzani ni watu,ili upinzani usiwepo inatakiwa watu wote wafe,

Marekani pamoja na kuwa na maendeleo makubwa ,lakini sijawahi kusikia walevi wakisema chama kimoja kinatosha kuwaongoza.
Upinzani ni muhimu uwepo ila sasa nao wajipange ili tuwe na upinzani wenye nguvu na hoja na kusimamisha viongozi wanaoaminika ili siku za usoni wachike dollar
 
Back
Top Bottom