Kama Wakenya wameweza, sisi tunashindwa kwenda kujifunza kwao?

"Somo" muhimu sana kulifuatilia🙏🙏🙏
 
CCM imewekeza kwenye ujinga ili kila siku ipate kura za Watanzania na sio kuwaza mambo ya msingi.
 
Lugha ni kisingizio.
Mbona wachina wanasoma kwa kichina na wanaongea kwa kichina, ila wanazalisha bidhaa wanauza dunia nzima? Vipi kuhusu, Japan, Korea, Uturuki?



Lugha sio sababu
Duh..
Mkuu akilindogo,
Hata Nyerere alisema English ndo Kiswahili cha dunia.
Huko mitandaoni tunakutana na pop ups nyingi za wachina wakiuza bidhaa zao, na ni Kiingereza wanatumia tena kwa ufasaha.

Pili, usilinganishe Mandarin na Kiswahili, ile ni lugha kubwa inazungumzwa na watu zaidi ya 1 billion, wa nchi yenye uchumi mkubwa
 
Okay
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana nipo huku ujerumani nakutana na watanzania wenzangu na wakenya lakini watanzania wenzangu wananiangusha sana we acha tu. Yaani mtanzania ananuka shida lakini bado anaishi kama mtoto wa billgate.
 
Ikitokea Kenya wakaacha kununua machungwa Tanzania,yataozea shambani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…