Kama wanajadili waziwazi namna ya kukwapua Mali ya Umma, ni dhahiri walimchukia na hawakupenda hayati Magufuli awepo. Inaonekana aliwabana sana!

Kama wanajadili waziwazi namna ya kukwapua Mali ya Umma, ni dhahiri walimchukia na hawakupenda hayati Magufuli awepo. Inaonekana aliwabana sana!

Kuna literature jana nilikuwa nasoma, wanasema hao wazungu IQ ya African on average ni ,,65" which is below normal, na sio literature moja, multiple studies, wanasema IQ ya aina hiyo deserves to be classified as "retarded"

..., Asians (Japanese, Chinese, etc, not all Asians) have the highest IQ scores bcz they have bigger brains unlike us, they have evolved bigger brains sababu ya nutrition, they eat a lot of fatty fish, unlike our nutrition "ugali" which the literature says it makes people "stupid"

60 years of independence, let's reflect comparatively with what other races in the world have achieved. My prediction in the next 50 years with the same trajectory politically and economically tutakuwa na matatizo beyond comprehension. Kutakuwa na crimes and social dysfunction ya kutisha.

Tunazaliana kwa Kasi, mfumo wa elimu duni usiozalisha wanasayansi with obvious reasons, mtu kapata div 3 ndio anaenda kuwa mwalimu, garbage in, garbage out, mazingira kila siku tunaharibu, miji yetu inajengwa holela, what do you expect in the next 50 years? Miracles?

"Now 77 percent of Japanese children have a higher IQ than the average American or European, Lynn said. The increase shows up in 6-year-olds, so it may not be a result of superior schooling, Lynn said. "The explanation probably lies largely in environmental improvements" such as health and nutrition"

"The scientists point out that the average African IQ is currently comparable to the average level in the Netherlands around 1950. However, IQ scores in Western countries have risen sharply over the course of the 20th century".

"In an oft-quoted literature study conducted in 2006, Lynn concluded that black Africans have an average IQ of less than 70 (compared to an average western IQ of 100). Lynn suggested that these low IQs are indicative of a low intelligence level, claiming this offered an explanation for the low level of economic development in sub-Saharan countries".

Mtasoma zaidi ambao mko interested, literature zipo kibao na yanayoongelewa huko kwa ufupi sisi watu weusi ni kama sio binadamu wa kawaida. Reflecting on what is going on in Sub-Saharan, who would argue differently? Mmepata resource flani wanachukua mjinga mmoja ana sign mkataba resources inahama kwenda kufaidisha vizazi vyao. Huyo mjinga mmoja anakenua familia yake kula damu za mamillioni ya watz watakao kufa kwa umasikini, tuna shida kubwa vichwani.

"This is why the Japanese and Asians are famous for being intelligent. They lead a totally different lifestyle, practicing omotenashi, being humble, polite and thinking about others instead of yourself"
Exactly this is how you are. Great!!
 
Sasa mama anamwaambia kabisa .... " Tatizo lenu mnakula Hadi mnavimbiwa..... Kuleni kidogo kidogo mtosheke...." Kwenye semina ya mawaziri.....

Hii nchi hii........ Dah
 
Unachoongoe sikuelewi, bado unakubali kuwa si waafrica wote wanakula ugali. Kama si wote kwanini ujumuishe. Nenda nchi nyingi Africa hawali ugali. Nawe unadai tuna LOW IQ. Ueleweki. Kupenda ugali si hoja. Ni chakula. Japo nimezaliwa sehemu ambayo kwao ugali si chakula asilia na ninaishi nchi ambayo uwezi pata ugali. Lakini bado nasema Ugali ni chakula kizuri. Kwani ugali unaweza pikwa kwa nafaka tofauti si mahindi tu. Na hizo nafaka ndo wengine wanatengeneza mikate na vyakula vingine. Hujaja na hoja ya kisayansi inayo onesha kula ugali ni kuwa na IQ ndogo.

Swala la wajawazito kula ugali tu nakukatalia, nimekulia maeneo yote kijijini na mjini. Najua maisha ya watanzania. Hasa vijijini. Vijijini wanakula vizuri sana zaidi ya mjini wanakokula chips. Ukienda usukumani, wanakula, viazi, ugali, samaki, maziwa, karanga,mahindi, wali, maharagwe, nyama na mboga mboga, ukienda, Kilimanjaro, wanakula ndizi, maharagwe, nyama, viazi mviringo,maziwa, na mboga mboga. na sehemu nyingi zinginezo. Sasa huo ugali unao sema kuwa ni ugali pekee ni wapi huko? Na mahindi ni moja ya virutubisho? Ukienda Musoma hasa Ukuryani na uzanaki wanakula sana ugali wa mtama! Unajua virutubisho vilivyo katika mtama?
Unajua kuwa bia inatengenezwa kwa mtama? Ukijua virutubisho hivyo hutoongea hayo unayo ongea.

Unajua wagogo wanakula ugali wa uwele? Ukienda Musoma kwa wajita, wanalima mpunga, mbali ya kula wali, uwa wanapika ugali ulioandaliwa kwa unga wa mchele? Unajua Japan, na China chakula chao kikubwa ni wali unaotokana na mchele? Kuna tofauti ipi ya wali na ugali wa unga wa mchele? Virutubisho ni vile vile! Hiyo Low IQ unayoisema ipo tu kwenye ugali wa unga wa mchele si wali?

Maeneo ya Pwani chakula asilia ni wali, na maharagwe, amabcho hiki chakula ni sawa na Japan na china. Tatizo liko wapi. Watu wanakula ugali uliopikwa kwa unga wa ngano, je inatofauti ipi na mikate wanaokula wazungu?

Mikoa ya njombe, Mbeya na mingineyo wanakula sana viazi mviringo ndo asili yao, na vinalimwa sana huko. Je wanatofauti ipi na wazungu wala viazi vya mviringo? Au unadhani cha mzungu ni bora zaidi kuliko cha Mwafrica, wakati ni yaleyale.

Nigeria wanakula ugali wa viazi mviringo, na mihogo, je wana Low IQ? Make ni ugali! tunawaona wanaijeria wakifanya vizuroi mambo mengi duniani. So hiyo ni Low IQ kwa kuwa wanakula Ugali.
Nakushangaa na nitaendelea kukushangaa!

Ulaya sas hivi wanapenda natural food, ambayo inaliwa kwa wingi Africa. Nenda America ya kusini vyakula vyao vingi ni sawa na vyakula vya Africa. Nenda Columbia, wanakula mihogo, mahindi ( ambayo ni ugali unao pinga,) wanakula wali, viazi mviringo ambavyo Nigeria ndo ugali. Zunguka dunia ujifunze kuliko kusubiri kusoma mzungu aloaandika nawe unashangilia. Unakazania ukila ugali ni Low IQ uangalii ugali unatokana na nini? Ulaya wanakula mahindi, mihogo, viazi, mtama katika different form. Kikubwa ni nutrients, si jina. Nutrients zilizo katika ugali, na inategemea ugali umepikwa kwa nini utazipata kwenye chakula kingine kniachotokana na hiyo nafaka. Mzungu asipo kula ugali, lakini anakula mahindi, hivyo ni sawa na alie kula ugali wa mahindi. Anae kula ugali wa viazi mviringo ni sawa na anae kula viazi mviringo.
I'll try to focus ili discussion iwe na maana zaidi, sababu hoja ni nyingi na hatuwezi zijadili zote kwa upana on a single reply, so let's focus kwenye suala la IQ likiisha then tutaendelea na hoja zingine if you're interested..

Nitaanza na hii statement ila niwe focused kwenye arguments zangu

"Genetically I strongly believe we are the same or even better kuliko wazungu, sababu literature zinasema we have evolved to have a better immune system kuliko wazungu, it's a fact hata kwaku observe tu covid inawasumbua kuliko sisi, mafua yanawamalianza kuliko sisi ....moreover, IQ variation ya mweusi na mzungu ipo kwenye mazingira, nutrition, brain stimuli and extra curricular ( the culture of learning)"

Je wazungu wanatuzidi IQ? I would say yes, but not because of genetic reasons, but other reasons which am going to elaborate, sita focus kwenye genetics sababu it is highly variable across races, nations, tribes, hata ndugu tu mnaweza tofautiana sn intellectually sharing the same parents.

Wazungu na watu wa Asia walijua Siri ya nutrition kabla yetu na bado sisi uelewa wetu ni mdogo sana kama jamii, acha na wasomi wachache, chakula chetu ni wanga kwa kiasi kikubwa, it's a fact mahindi yanaliwa na jamii ya watz kwa kiasi kikubwa kuliko mtama, au uwele, I understand the nutritional profile, binafsi nakula ugali wa mtama....

Jaribu kuelewa vitu kwa upana, nikiposema ugali I assumed unajua ni ugali wa mahindi kwa kiasi kikubwa ndio chakula Cha watz.

Ugali wa mahindi una nutritional profile kidogo sana, Tena akila mama mjamzito as the main food anakuwa kwenye disadvantage ya ku limit intellectual develp ya mtoto, brain is made of FAT, DHA, ALA, LA, most importantly DHA, for a well functional brain lazima mama mjamzito apate DHA,

Kuna study nyingi sana kuhusu DHA, na watafiti wengi wana relate IQ kubwa ya wajapan kula sn samaki, as the saying goes "you are what you eat"

Mama mjamzito anahitaji vyakula vya protein to build a healthy and strong baby, hauwezi kubisha unless otherwise you're arguing for the sake of arguing that we Africans hatuli vyakula vya protein sababu ni expensive, watoto wengi wako malnourished, thus impacting their cognitive ability later in life, kitu kibaya zaidi we don't have a culture to develop the executive functions za watoto at an early age.

Kwa kumaliza hoja ya wazungu kwamba tuna low IQ is strikingly true..but the reasons for that sikubaliani nao that we are genetically engineered to have a low IQ,
 
I'll try to focus ili discussion iwe na maana zaidi, sababu hoja ni nyingi na hatuwezi zijadili zote kwa upana on a single reply, so let's focus kwenye suala la IQ likiisha then tutaendelea na hoja zingine if you're interested..

Nitaanza na hii statement ila niwe focused kwenye arguments zangu "Genetically I strongly believe we are the same or even better kuliko wazungu, sababu literature zinasema we have evolved to have a better immune system kuliko wazungu, it's a fact hata kwaku observe tu covid, mafuta yanawamalianza kuliko sisi ....moreover, IQ variation ya mweusi na mzungu ipo kwenye mazingira, nutrition, brain stimuli and extra curricular ( the culture of learning)"

Je wazungu wanatuzidi IQ? I would say yes, but not because of genetic reasons, but other reasons which am going to elaborate, sita focus kwenye genetics sababu it is highly variable.

Wazungu na watu wa Asia walijua Siri ya nutrition kabla yetu na bado sisi uelewa wetu ni mdogo sana kama jamii, acha na wasomi wachache, chakula chetu ni wanga kwa kiasi kikubwa, it's a fact mahindi yanaliwa na jamii ya watz kwa kiasi kikubwa kuliko mtama, au uwele, I understand the nutritional profile, binafsi nakula ugali wa mtama....

Jaribu kuelewa vitu kwa upana, nikiposema ugali I assumed unajua ni ugali wa mahindi kwa kiasi kikubwa ndio chakula Cha watz.

Ugali wa mahindi una nutritional profile kidogo sana, Tena akila mama mjamzito as the main food anakuwa kwenye disadvantage ya ku limit intellectual develp ya mtoto, brain is made of FAT, DHA, ALA, LA, most importantly DHA, for a well functional brain lazima mama mjamzito apate DHA,

Kuna study nyingi sana kuhusu DHA, na watafiti wengi wana relate IQ kubwa ya wajapan kula sn samaki, as the saying goes "you are what you eat"
Umekazania sana ugali. hata uwe wa mahindi, nakwambia hayo mahindi yanaliwa Ulaya, hayo mahindi yanaliwa India, hayo mahindi yanaliwa America. Tanzania tunaweza kula mahindi kwa kuyapika, au kutengeneza ugali. Kwa taarifa yako nutrients ni zile zile.
Mzungu akila mahindi yalochemshwa, au yalochomwa nawe ukapika ugali, nutrients ni zile zile. Elewa ndugu yangu, usidharau uafrica kisa ugali.
Wazungu wanakula sana nafaka. Hivi mikate inatokana na nini? Ni kupe siri tu! Tembelea shule zilizo na mchanganyiko wa waafrica na wazungu. Chunguza matokeo kama ujaambiwa black wanaongoza.
Wanaijeria wanakula ugali hata huko Ulaya, na kuna maduka ya Kiafrica. But nijeria bado wako na akili kubwa tu. Na sasa wanawasubua wazungu kwa kuiba kwa mitandao. Ukiwauliza wanaijeria kwanini wanafanya hivyo, wanakwambia wazungu waliwatawala babu zetu, wakachukua mengi toka Africa sasa tunalipiza kisasi.

Na kila siku wanawaliza wazungu, wazungu wameshindwa kuwazuia hao unaodai wana IQ kubwa. Wanaijeria wanakula ugali. Hizo akili wametoa wapi?

Unakubali unakula ugali wa mtama. Sasa unalaumu ugali wa nini! Na nina amini unaakili nzuri tu pamoja unakula ugali. Nyerere amelelewa kwa ugali wa Mtama na ulezi. Lakini alikuwa na akili hadi wazungu wanajiuliza. Tumekuwa na viongozi mashuhuri wamelelewa kwa ugali. Chenge amesoma Havard University, na kwao Bariadi wanakula sana ugali tena ule mgumu. Hivi kama ugali unaleta IQ ndogo angeweza kwenda hiko chuo?
Swala si ugali, nutrients za kwenye ugali ndo hizo unazipata katika mahindi wanayo kula huko china, Wanayo kula huko Ulaya. nadhani unajua American Gadern Product. Wana corn, ambayo ni mahindi kwenye mikebe yanalika sana. Na mengine ni maalum kwa kuchoma. Elewa ndugu yangu.

Haya maswala ya maendeleo, ni kutokuwa na uzalendo na kutekeleza mipango tunayojiwekea. Rushwa kuwa ndo msingi mkuu wa watu wengi. Ni ngumu kupata maendeleo. Siyo IQ kama unavyodhani.

Ingekuwa IQ, Japan China, India na hata Ulaya miaka ya 60 walikuwa maskini wa kutupwa. Kwani walikuwa hawali vyakula wanavyokula?
Sipo kubishana kuonekana nani ni mshindi. Ila sikubaliani na hoja yako kwamba nchi za Kusini mwa jangwa la sahara ni masikini kisa zina LOW IQ. Nakukatalia. Nimekupa mifano mingi, lakini umekalia ugali.

Kuna kanisa moja nimesali hapo Ulaya. Linamchanganyiko wa kila mataifa, Wazungu, Wakorea, Wajapan, walatino, wahindi, waafrika na wengineo. Uwa wanapika kanisani kila tunapokutana. Wanaijeria ikifika zamu yao wanapika Ugali. Na wazungu wengi upenda na mara nyingi wanapendekeza wanaijeria wapike ugali wao wanaita fufu. Nilishawahi kupata mwaliko kwa mzungu mmoja alie waalika rafiki na ndugu kuja kula ugali.
Huyu mzungu alizaliwa na kukulia Africa. Waliishi Iringa, na anasema walikula ugali kwa wingi. Na yeye alipenda sana ugali. Hivyo kila siku alikula ugali. Aliporudi Ulaya alijitahidi kupika ugali japo anasema alikuwa haoni kama unakuwa mzuri kama ule unaopikwa na watanzania. Ndo maana alinialika. Siku hiyo kulikuwa na watu kama Ishirini hivi wameharikwa. Nilipika ugali wa mahindi, kila mtu alipenda.

Wakapendekeza tuwe na special day ya kula ugali, na mihogo yaani tropical food. Huyu ndugu anafanya kazi katika moja ya vinu vya nyuklia vinavyozalisha umeme. Ni mtaalamu sana na anaakili. Alizaliwa na kulelewa Tanzania, alipenda ugali. hata ulaya leo bado anakula ugali. Angekuwa na IQ ndogo asingeweza kufanya kazi katika hiyo sekta ya nyuklia. Tumepanga siku moja anakuja Tanzania kujitolea kufanya mradi fulani wa vijana. I wish ningekukutanisha nae. Lakini niachie hapa. Endelea kuamini unacho amini nami nitaamini navyo amini.
Sijaona akili ya za watu kupungua kula ugali. Kuna maduka mengi yanauza unga wa mahindi.
 
Alizuia mianya ya zamani akaibua mianya mipya ila upigaji ulikua uleule.

Tena hio wa magu ulichagizwa na dhulma .
 
Unachoongoe sikuelewi, bado unakubali kuwa si waafrica wote wanakula ugali. Kama si wote kwanini ujumuishe. Nenda nchi nyingi Africa hawali ugali. Nawe unadai tuna LOW IQ. Ueleweki. Kupenda ugali si hoja. Ni chakula. Japo nimezaliwa sehemu ambayo kwao ugali si chakula asilia na ninaishi nchi ambayo uwezi pata ugali. Lakini bado nasema Ugali ni chakula kizuri. Kwani ugali unaweza pikwa kwa nafaka tofauti si mahindi tu. Na hizo nafaka ndo wengine wanatengeneza mikate na vyakula vingine. Hujaja na hoja ya kisayansi inayo onesha kula ugali ni kuwa na IQ ndogo.

Swala la wajawazito kula ugali tu nakukatalia, nimekulia maeneo yote kijijini na mjini. Najua maisha ya watanzania. Hasa vijijini. Vijijini wanakula vizuri sana zaidi ya mjini wanakokula chips. Ukienda usukumani, wanakula, viazi, ugali, samaki, maziwa, karanga,mahindi, wali, maharagwe, nyama na mboga mboga, ukienda, Kilimanjaro, wanakula ndizi, maharagwe, nyama, viazi mviringo,maziwa, na mboga mboga. na sehemu nyingi zinginezo. Sasa huo ugali unao sema kuwa ni ugali pekee ni wapi huko? Na mahindi ni moja ya virutubisho? Ukienda Musoma hasa Ukuryani na uzanaki wanakula sana ugali wa mtama! Unajua virutubisho vilivyo katika mtama?
Unajua kuwa bia inatengenezwa kwa mtama? Ukijua virutubisho hivyo hutoongea hayo unayo ongea.

Unajua wagogo wanakula ugali wa uwele? Ukienda Musoma kwa wajita, wanalima mpunga, mbali ya kula wali, uwa wanapika ugali ulioandaliwa kwa unga wa mchele? Unajua Japan, na China chakula chao kikubwa ni wali unaotokana na mchele? Kuna tofauti ipi ya wali na ugali wa unga wa mchele? Virutubisho ni vile vile! Hiyo Low IQ unayoisema ipo tu kwenye ugali wa unga wa mchele si wali?

Maeneo ya Pwani chakula asilia ni wali, na maharagwe, amabcho hiki chakula ni sawa na Japan na china. Tatizo liko wapi. Watu wanakula ugali uliopikwa kwa unga wa ngano, je inatofauti ipi na mikate wanaokula wazungu?

Mikoa ya njombe, Mbeya na mingineyo wanakula sana viazi mviringo ndo asili yao, na vinalimwa sana huko. Je wanatofauti ipi na wazungu wala viazi vya mviringo? Au unadhani cha mzungu ni bora zaidi kuliko cha Mwafrica, wakati ni yaleyale.

Nigeria wanakula ugali wa viazi mviringo, na mihogo, je wana Low IQ? Make ni ugali! tunawaona wanaijeria wakifanya vizuroi mambo mengi duniani. So hiyo ni Low IQ kwa kuwa wanakula Ugali.
Nakushangaa na nitaendelea kukushangaa!

Ulaya sas hivi wanapenda natural food, ambayo inaliwa kwa wingi Africa. Nenda America ya kusini vyakula vyao vingi ni sawa na vyakula vya Africa. Nenda Columbia, wanakula mihogo, mahindi ( ambayo ni ugali unao pinga,) wanakula wali, viazi mviringo ambavyo Nigeria ndo ugali. Zunguka dunia ujifunze kuliko kusubiri kusoma mzungu aloaandika nawe unashangilia. Unakazania ukila ugali ni Low IQ uangalii ugali unatokana na nini? Ulaya wanakula mahindi, mihogo, viazi, mtama katika different form. Kikubwa ni nutrients, si jina. Nutrients zilizo katika ugali, na inategemea ugali umepikwa kwa nini utazipata kwenye chakula kingine kniachotokana na hiyo nafaka. Mzungu asipo kula ugali, lakini anakula mahindi, hivyo ni sawa na alie kula ugali wa mahindi. Anae kula ugali wa viazi mviringo ni sawa na anae kula viazi mviringo.
IMG-20220115-WA0005.jpg

Angalia hesabu, taifa litajijenga kwa namna hii?
 
Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.

Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.

Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.

Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Yuko mbwa mmoja alijipambanua kuwa mpigania haki miaka ile siku hizi kaunga juhudi za kuhalalisha upigaji. KIGOGO 2014 ni mbwa koko.
 
Kuna literature jana nilikuwa nasoma, wanasema hao wazungu IQ ya African on average ni ,,65" which is below normal, na sio literature moja, multiple studies, wanasema IQ ya aina hiyo deserves to be classified as "retarded"

..., Asians (Japanese, Chinese, etc, not all Asians) have the highest IQ scores bcz they have bigger brains unlike us, they have evolved bigger brains sababu ya nutrition, they eat a lot of fatty fish, unlike our nutrition "ugali" which the literature says it makes people "stupid"

60 years of independence, let's reflect comparatively with what other races in the world have achieved. My prediction in the next 50 years with the same trajectory politically and economically tutakuwa na matatizo beyond comprehension. Kutakuwa na crimes and social dysfunction ya kutisha.

Tunazaliana kwa Kasi, mfumo wa elimu duni usiozalisha wanasayansi with obvious reasons, mtu kapata div 3 ndio anaenda kuwa mwalimu, garbage in, garbage out, mazingira kila siku tunaharibu, miji yetu inajengwa holela, what do you expect in the next 50 years? Miracles?

"Now 77 percent of Japanese children have a higher IQ than the average American or European, Lynn said. The increase shows up in 6-year-olds, so it may not be a result of superior schooling, Lynn said. "The explanation probably lies largely in environmental improvements" such as health and nutrition"

"The scientists point out that the average African IQ is currently comparable to the average level in the Netherlands around 1950. However, IQ scores in Western countries have risen sharply over the course of the 20th century".

"In an oft-quoted literature study conducted in 2006, Lynn concluded that black Africans have an average IQ of less than 70 (compared to an average western IQ of 100). Lynn suggested that these low IQs are indicative of a low intelligence level, claiming this offered an explanation for the low level of economic development in sub-Saharan countries".

Mtasoma zaidi ambao mko interested, literature zipo kibao na yanayoongelewa huko kwa ufupi sisi watu weusi ni kama sio binadamu wa kawaida. Reflecting on what is going on in Sub-Saharan, who would argue differently? Mmepata resource flani wanachukua mjinga mmoja ana sign mkataba resources inahama kwenda kufaidisha vizazi vyao. Huyo mjinga mmoja anakenua familia yake kula damu za mamillioni ya watz watakao kufa kwa umasikini, tuna shida kubwa vichwani.

"This is why the Japanese and Asians are famous for being intelligent. They lead a totally different lifestyle, practicing omotenashi, being humble, polite and thinking about others instead of yourself"
Exactly
 
Watu wanakula mpaka wanavimbiwa kwenye hii serikali ya mpito. Wanataka kukomba kila kitu kabla hakujakucha.
 
Soma maelezo uliyoyatoa kwa kusema tunazaana sana, umesema tunaharibu mazingira, umesema tunakula ugali. Usikwepe ulichokiongea. Swala la sub sahara kuwa nyuma kimaendeleo, si hoja. Mzungu ilimchukua muda gani kufikia maendeleo aliyofikia hii leo.
Nikupe mfano halisi. Nchi nyingi za Ulaya, miaka ya 60 kuja hadi sabini, walikuwa na maisha magumu. Wengi waliishi kwa kula viporo. Wakati huo nchi zingine hazikupata tawaliwa.
Kutokuwa na maendeleo siyo swla la IQ, Ulaya hawakujikuta na maendeleo, Japan wala China hawakujikuta na maendeleo. China ilikuwa nchi masikini, hata Japan. Je kwa wakati huo walikuwa na LOW IQ, kwa unavyomaanisha ati SubSahara ni hatuna maendeleo tuna LOW IQ, daaah! huu utafiti sijawahi uona.
Hat huko China au Japan, bado kuna watu wanaishi maisha magumu na hasa vijijini. hata America au Ulaya kuna sehemu watu wanamaisha magumu sana kuliko Sub sahara. Masai leo unamkuta ana ng'ombe kibao. Thamani ya mifugo yake anaweza jenga na kuishi maisha mazuri sana. Lakini kwanini anabaki na maisha alonayo, ni kwasababu ya tamaduni zake. Analinda asili yake. Si kwamba IQ yake ni ndogo.
Nchi za Scandinavia hasa SWEDEN maeneo ya Kaskazini kuna kabila la wafugaji, mtindo wa maisha yao ni kama wamasai. Na serikali inawalinda waendelee na mfumo wao wa maisha kwa sababu wanalizika nao. Si kwamba wana LOW IQ kisa hawana maendeleo. Tafakari!
Ujinga mtupu.
Akili duni kama hizi zako ndizo zilizojaa bara la Africa.
 
Kumbe ukitaka uchukiwe na wanaCcm basi we ziba mianya yao ya kuiba mali ya umma.

Hayati JPM alichukiwa na wanaCcm japokuwa walicheka nae na kumzunguka hio hii ni sababu aliwabana sana juu ya rushwa na ufisadi.

Sasa wanatoa michongo namna ya kupiga madili.

Naona tangu amefariki wanachekelea tu na kukenua meno
Hamna aliyejadili kukwapua mali hadharani, vinginevyo watakuwa na shida. Watu mnajaribu ku-force tafsiri zenu kwa wengine wakati kila mtu ana akili yake. Na la Magu, pamoja na mazuri na mabaya yake, lakini lakulazimisha kupendwa au glorification kwake nalo sio sahihi. Mwacheni apumzike.
 
Kuna literature jana nilikuwa nasoma, wanasema hao wazungu IQ ya African on average ni ,,65" which is below normal, na sio literature moja, multiple studies, wanasema IQ ya aina hiyo deserves to be classified as "retarded"

..., Asians (Japanese, Chinese, etc, not all Asians) have the highest IQ scores bcz they have bigger brains unlike us, they have evolved bigger brains sababu ya nutrition, they eat a lot of fatty fish, unlike our nutrition "ugali" which the literature says it makes people "stupid"

60 years of independence, let's reflect comparatively with what other races in the world have achieved. My prediction in the next 50 years with the same trajectory politically and economically tutakuwa na matatizo beyond comprehension. Kutakuwa na crimes and social dysfunction ya kutisha.

Tunazaliana kwa Kasi, mfumo wa elimu duni usiozalisha wanasayansi with obvious reasons, mtu kapata div 3 ndio anaenda kuwa mwalimu, garbage in, garbage out, mazingira kila siku tunaharibu, miji yetu inajengwa holela, what do you expect in the next 50 years? Miracles?

"Now 77 percent of Japanese children have a higher IQ than the average American or European, Lynn said. The increase shows up in 6-year-olds, so it may not be a result of superior schooling, Lynn said. "The explanation probably lies largely in environmental improvements" such as health and nutrition"

"The scientists point out that the average African IQ is currently comparable to the average level in the Netherlands around 1950. However, IQ scores in Western countries have risen sharply over the course of the 20th century".

"In an oft-quoted literature study conducted in 2006, Lynn concluded that black Africans have an average IQ of less than 70 (compared to an average western IQ of 100). Lynn suggested that these low IQs are indicative of a low intelligence level, claiming this offered an explanation for the low level of economic development in sub-Saharan countries".

Mtasoma zaidi ambao mko interested, literature zipo kibao na yanayoongelewa huko kwa ufupi sisi watu weusi ni kama sio binadamu wa kawaida. Reflecting on what is going on in Sub-Saharan, who would argue differently? Mmepata resource flani wanachukua mjinga mmoja ana sign mkataba resources inahama kwenda kufaidisha vizazi vyao. Huyo mjinga mmoja anakenua familia yake kula damu za mamillioni ya watz watakao kufa kwa umasikini, tuna shida kubwa vichwani.

"This is why the Japanese and Asians are famous for being intelligent. They lead a totally different lifestyle, practicing omotenashi, being humble, polite and thinking about others instead of yourself"
 
Mwendazake alikuwa jizi kuliko hawa wote combined..
Acha ujinga.
 
Kuna literature jana nilikuwa nasoma, wanasema hao wazungu IQ ya African on average ni ,,65" which is below normal, na sio literature moja, multiple studies, wanasema IQ ya aina hiyo deserves to be classified as "retarded"

..., Asians (Japanese, Chinese, etc, not all Asians) have the highest IQ scores bcz they have bigger brains unlike us, they have evolved bigger brains sababu ya nutrition, they eat a lot of fatty fish, unlike our nutrition "ugali" which the literature says it makes people "stupid"

60 years of independence, let's reflect comparatively with what other races in the world have achieved. My prediction in the next 50 years with the same trajectory politically and economically tutakuwa na matatizo beyond comprehension. Kutakuwa na crimes and social dysfunction ya kutisha.

Tunazaliana kwa Kasi, mfumo wa elimu duni usiozalisha wanasayansi with obvious reasons, mtu kapata div 3 ndio anaenda kuwa mwalimu, garbage in, garbage out, mazingira kila siku tunaharibu, miji yetu inajengwa holela, what do you expect in the next 50 years? Miracles?

"Now 77 percent of Japanese children have a higher IQ than the average American or European, Lynn said. The increase shows up in 6-year-olds, so it may not be a result of superior schooling, Lynn said. "The explanation probably lies largely in environmental improvements" such as health and nutrition"

"The scientists point out that the average African IQ is currently comparable to the average level in the Netherlands around 1950. However, IQ scores in Western countries have risen sharply over the course of the 20th century".

"In an oft-quoted literature study conducted in 2006, Lynn concluded that black Africans have an average IQ of less than 70 (compared to an average western IQ of 100). Lynn suggested that these low IQs are indicative of a low intelligence level, claiming this offered an explanation for the low level of economic development in sub-Saharan countries".

Mtasoma zaidi ambao mko interested, literature zipo kibao na yanayoongelewa huko kwa ufupi sisi watu weusi ni kama sio binadamu wa kawaida. Reflecting on what is going on in Sub-Saharan, who would argue differently? Mmepata resource flani wanachukua mjinga mmoja ana sign mkataba resources inahama kwenda kufaidisha vizazi vyao. Huyo mjinga mmoja anakenua familia yake kula damu za mamillioni ya watz watakao kufa kwa umasikini, tuna shida kubwa vichwani.

"This is why the Japanese and Asians are famous for being intelligent. They lead a totally different lifestyle, practicing omotenashi, being humble, polite and thinking about others instead of yourself"
 
Sisi Watanzania tusipoiba tunaugua Maleria.
 
Ugali wa sembe ni tatizo kubwa, hauna faida yoyote kwa afya ya binadamu.Pia haiwezekani asubuhi unakula chai ya rangi na vitumbua, mchana unakula sembe na mchicha, usiku sinia la wali na nyama vipande viwili halafu akili yako ikafanya kazi, hususani kama huu mlo wako ulikuwa wa aina hii tangu udogoni.
Umekazania sana ugali. hata uwe wa mahindi, nakwambia hayo mahindi yanaliwa Ulaya, hayo mahindi yanaliwa India, hayo mahindi yanaliwa America. Tanzania tunaweza kula mahindi kwa kuyapika, au kutengeneza ugali. Kwa taarifa yako nutrients ni zile zile.
Mzungu akila mahindi yalochemshwa, au yalochomwa nawe ukapika ugali, nutrients ni zile zile. Elewa ndugu yangu, usidharau uafrica kisa ugali.
Wazungu wanakula sana nafaka. Hivi mikate inatokana na nini? Ni kupe siri tu! Tembelea shule zilizo na mchanganyiko wa waafrica na wazungu. Chunguza matokeo kama ujaambiwa black wanaongoza.
Wanaijeria wanakula ugali hata huko Ulaya, na kuna maduka ya Kiafrica. But nijeria bado wako na akili kubwa tu. Na sasa wanawasubua wazungu kwa kuiba kwa mitandao. Ukiwauliza wanaijeria kwanini wanafanya hivyo, wanakwambia wazungu waliwatawala babu zetu, wakachukua mengi toka Africa sasa tunalipiza kisasi.

Na kila siku wanawaliza wazungu, wazungu wameshindwa kuwazuia hao unaodai wana IQ kubwa. Wanaijeria wanakula ugali. Hizo akili wametoa wapi?

Unakubali unakula ugali wa mtama. Sasa unalaumu ugali wa nini! Na nina amini unaakili nzuri tu pamoja unakula ugali. Nyerere amelelewa kwa ugali wa Mtama na ulezi. Lakini alikuwa na akili hadi wazungu wanajiuliza. Tumekuwa na viongozi mashuhuri wamelelewa kwa ugali. Chenge amesoma Havard University, na kwao Bariadi wanakula sana ugali tena ule mgumu. Hivi kama ugali unaleta IQ ndogo angeweza kwenda hiko chuo?
Swala si ugali, nutrients za kwenye ugali ndo hizo unazipata katika mahindi wanayo kula huko china, Wanayo kula huko Ulaya. nadhani unajua American Gadern Product. Wana corn, ambayo ni mahindi kwenye mikebe yanalika sana. Na mengine ni maalum kwa kuchoma. Elewa ndugu yangu.

Haya maswala ya maendeleo, ni kutokuwa na uzalendo na kutekeleza mipango tunayojiwekea. Rushwa kuwa ndo msingi mkuu wa watu wengi. Ni ngumu kupata maendeleo. Siyo IQ kama unavyodhani.

Ingekuwa IQ, Japan China, India na hata Ulaya miaka ya 60 walikuwa maskini wa kutupwa. Kwani walikuwa hawali vyakula wanavyokula?
Sipo kubishana kuonekana nani ni mshindi. Ila sikubaliani na hoja yako kwamba nchi za Kusini mwa jangwa la sahara ni masikini kisa zina LOW IQ. Nakukatalia. Nimekupa mifano mingi, lakini umekalia ugali.

Kuna kanisa moja nimesali hapo Ulaya. Linamchanganyiko wa kila mataifa, Wazungu, Wakorea, Wajapan, walatino, wahindi, waafrika na wengineo. Uwa wanapika kanisani kila tunapokutana. Wanaijeria ikifika zamu yao wanapika Ugali. Na wazungu wengi upenda na mara nyingi wanapendekeza wanaijeria wapike ugali wao wanaita fufu. Nilishawahi kupata mwaliko kwa mzungu mmoja alie waalika rafiki na ndugu kuja kula ugali.
Huyu mzungu alizaliwa na kukulia Africa. Waliishi Iringa, na anasema walikula ugali kwa wingi. Na yeye alipenda sana ugali. Hivyo kila siku alikula ugali. Aliporudi Ulaya alijitahidi kupika ugali japo anasema alikuwa haoni kama unakuwa mzuri kama ule unaopikwa na watanzania. Ndo maana alinialika. Siku hiyo kulikuwa na watu kama Ishirini hivi wameharikwa. Nilipika ugali wa mahindi, kila mtu alipenda.

Wakapendekeza tuwe na special day ya kula ugali, na mihogo yaani tropical food. Huyu ndugu anafanya kazi katika moja ya vinu vya nyuklia vinavyozalisha umeme. Ni mtaalamu sana na anaakili. Alizaliwa na kulelewa Tanzania, alipenda ugali. hata ulaya leo bado anakula ugali. Angekuwa na IQ ndogo asingeweza kufanya kazi katika hiyo sekta ya nyuklia. Tumepanga siku moja anakuja Tanzania kujitolea kufanya mradi fulani wa vijana. I wish ningekukutanisha nae. Lakini niachie hapa. Endelea kuamini unacho amini nami nitaamini navyo amini.
Sijaona akili ya za watu kupungua kula ugali. Kuna maduka mengi yanauza unga wa mahindi.
 
Back
Top Bottom