Kama Wanamgambo wa Hamas 2000 walijipenyeza Israel na kuishambulia hivi, vipi kwingineko ambako Kambi zao za Jeshi zina fremu za biashara?

Kama Wanamgambo wa Hamas 2000 walijipenyeza Israel na kuishambulia hivi, vipi kwingineko ambako Kambi zao za Jeshi zina fremu za biashara?

Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
Au kambi imejaa kama pale nyamadoke..haiwezekani😁
 
Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
Kuna ile ya mwenge, wamejenga fance yenye mabati kwa juu.
 
Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
Leo nasema rasmi hapa hapa JamiiForums kuwa Mimi GENTAMYCINE sijapendezwa na huu Utaratibu wa Kambi za Jeshi ( tena zile ) ambazo ni 'very Potential and Strategical' Kujengwa Maduka ya Biashara.

Tafadhali tufanye mzaha na Kote ila siyo katika Taasisi ya Jeshi na endapo GENTAMYCINE nitakuja kuwa Rais wa Tanzania huu Upuuzi wote nitauondoa na Kuvunja Maduka yote na Kambi za Jeshi ziendelee Kuheshimika na siyo Kudhihakiwa kama zinavyofanywa sasa.

Huwezi kuukuta Upuuzi huu South Africa, Rwanda, Uganda, Israel, Marekani, Uingereza, China, Urusi, Korea Kaskazini, Cuba, India, Pakistan na Ufaransa hasa kutokana na Unyeti wa Sekta hiyo husika kwa Ulinzi na Usalama wa Taifa letu.

Tunakoelekea naona kwa mbali sana hata katika Ikulu za Magogoni ( Dar es Salaam ) na ile ya Chamwino ( Dodoma ) na kwenyewe Kutaamriwa katika Kuta zake kujengwe 'Fremu' za Biashara ili Ikulu nazo zijipatie Pesa za Kulisha Ndege Wao wazuri Tausi waliopo huko.

Sasa kama mmeruhusu Lugalo Kujengwe 'Fremu' za hovyo hovyo na Kienyeji kama zilizopo mbona mnachelewa pia Kuruhusu na pale Makumbusho zilipo Flats za Watu wa TISS hadi upande ule wa PSU na kwenyewe Watu Wajenge 'Fremu' ili TISS mao wajiingizie Kipato na ikiwezekana nao Wajitajirishe humo humo tu?

Tanzania ya sasa inaelekea Kuzimu tu.
Nakukumbusha
 
Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
umeeleweka kabisa mshono kabisa
 
Kwenye vita kuna kitu kinaitwa mzunguke adui kwa kumfungulia mlango aingie kisha unamzingira unaua wote

Hii tactic imekuwa inatumiwa na Israel.kwa miaka mingi.hata ndani ya Biblia

Adui akiachiwa mlango wazi kuingia huwa uharibifu wake mdogo yes kunakuwa na watakaouawa wachache hao ni.kafara ya jeshi au chambo cha kuwapata Askari wengi wa Hamas wawaue

Israel waliona vizuri tu kwenye intelligence zao ila walisubiri makomando.wazoefu wa Hamas waingie ndani kabisa washikilie maeneo na kuongeza makomandoo wengine wa kulinda hayo maeneo wameteka kisha Jeshi la Israel wawaweke kati ya mduara wawaibukie wawaue wote

Mauaji Israel waliyofanya kwa makomandoo wa Hamas ni makubwa kuliko hiyo idadi na bado wanaendelea kuwaua ndani ya Israel kwa raha zao sababu wamewazingira hawana pa kutokea wala supply chain ya silaha na usaidizi wa kijeshi wa Askari wa Hamas walioko Palestina haupo.Kwa hiyo Israel inawachinja kama kuku kwa kujinafasi bila bughudha

Hadi sasa Israel imetangaza imeua Askari 1,500 wa Hamas ndani ya Israel
wote tunajua hiyo ni surprise attack hawakujua lolote
 
wote tunajua hiyo ni surprise attack hawakujua lolote
Hamas walivyoshambulia na kuchukua mateka waliondoka anataka kutudanganya hamas walibaki kushikiria maeneo kama kuna hamas wamekufa hyo kawaida unaendaje vitani mrudi wote salama wengne lazima mfe hata israel akiingia gaza huwa wanaokota maiti zao kila siku sio mara moja au mara mbili wanaingia gazi na kupoteza askari
 
Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
Sawa sawa Puerto Rico n Venezuela.
 
Kama Israel (Taifa Baba na Kiongozi kwa Ujasusi) wa ndani na nje halikujua kuwa Maadui zao akina Hamas 2000 waliingia / walijipenyeza kisha Kujipanga na Kuwashambulia vipi kwa Mataifa mengine duniani ambayo kutwa yanajisifia kuwa Idara Hatari za Ulinzi na Usalama wakati mpaka sasa katika Fremu zao 3,000 Makambini Kwao kuna Majasusi 75 kutoka nchi Tatu za Jirani ambao Wametumia Mbinu ya Kuzaa na Kuolewa nao wakati kumbe wako Kazini na Siku si nyingi na huko pia Kitanuka (Kitawaka) tu.

Nchi pekee ambayo naisifu na nichukue nafasi hii Kuipongeza kwa Kujilinda na kuwa makini Kiusalama na Kiulinzi ni Tanzania tu pekee ambayo huwezi Kukuta katika Kambi za Jeshi au za Usalama wao wa Taifa kumejengwa Fremu za Biashara na badala yake Kambi zao zote ziko Imara, huingii Kizembe Kizembe na kamwe huwezi kukuta Wanajeshi au wana Usalama wa Taifa wao Wanazurula hovyo Mitaani kama Mbu wa Malaria au Wanalewa au Wanapokea Rushwa au Wanagombea Mademu.

Ukisomea nchi za Puerto Rico na Venezuela ni raha sana na Msomaji akiwa na Akili Kubwa na za Kuzaliwa nazo huwa ni Raha zaidi.
Hapo ndio ufahamu intelijensia ya Israeli ni yakiboya sana. Hata wote wanaotumia intelijensia na mafunzo ya Israel Kwa hapa Afrika mashariki nao ujumbe uwafikie.

Kama anaekupatia ujanja kaolewa basi na wewe jiandae kuolewa na wahuni
 
Hapo ndio ufahamu intelijensia ya Israeli ni yakiboya sana. Hata wote wanaotumia intelijensia na mafunzo ya Israel Kwa hapa Afrika mashariki nao ujumbe uwafikie.

Kama anaekupatia ujanja kaolewa basi na wewe jiandae kuolewa na wahunia
Daaaaaa.

Umeongea kwa hisia sana aisee
 
Jeshi la hovyo. Wameshindwa kukipindua Chama Cha manjano na kijani Vita hiyo kuwezaa
 
Back
Top Bottom