Kama wanawake hawakupendi na huna hela jifunze kupiga Saxophone, utawakimbia

Kama wanawake hawakupendi na huna hela jifunze kupiga Saxophone, utawakimbia

Ukifumaniwa wanakutoboa shavu moja tuone kama utapuliza tena
Huko kutoboa shavu umeenda mbali sana.

Hao na wapiga matarumbeta ili uwakomoe dawa ndogo sana. Wakiwa wanapiga unaibuka na embe bichi au ukwaju,alafu unatafuna mbele yake Huku umekunja sura. Anajaza mate mdomoni hadi anayamwaga kwenye tarumbeta na shoo inaharibika hapo.

Enzi hizo tuna uhuni wa ki Temeke tumefukuzwa sana kwenye shoo na wapiga matarumbeta kwa sababu ya kuibuka na embe mbichi na Chumvi alafu tunawaringishia wakati wanapuliza!! Full kutoa mimate,halipigiki.
 
🙏
View attachment 3135186
Hiki kidubwasha ni hatari sana,nuliwahi kuishi nchi fulani sitaitaja jina,sikuwa na kazi ya kufanya,nikajiunga bendi ya wajamaica tukipiga Jazz na Salsa kwenye mahoteli makubwa,mimi nilikuwa napiga hiki kidude,nilikuwa nagombaniwa na wanawaje mpaka nikapata mshangazi wa kizungu.

Baada ya kurudi nchini nilijiunga kwaya ya kanisani ile ya praise and worship.,nilifanya mageuzi makubwa ya kwaya,sehemu ya vinanda nilitoa nikarepkace na sauti ya saxophone,

Hizi saxophone ziko aina tatu Altor Tenor na Saprano..mimi hupendelea hizo mbili za mwanzo.nimesahau kuna bass pia
Sasa wakati wa nyimbo za kuabudu huwa nakipuliza kwa misifa na unavyojua makanisa ya kilokole asilimia kubwa huwa ni wakina mama,...kuna siku nilikipuliza nikakuta kanisa zima wanalia kwa hisia kama wamefiwa,kucheki jirani yangu kuna dada vinyweleo vimemsimama.
Ni vile sina pepo la uzinzi ningemaliza kondoo wa bwana

Sema bei yake imechangamka,hakipungui laki saba.

Mimi nilizaliwa nilikikuta nyumbani,kule upareni janisa la kKKT zamani hakuna ibada bila kwaya ya matarumbeta,nadhani wajerumani wamisionari ndio waasisi wa tarumbeta makanisani.

Kama mpenzi wako amenuna au umemkasirisha mpigie taratiibu lazima akusamehe.

Wanawake wanapenda sana wanaume wenye talent hasa ya muziki,ila katika wasanii wote wapiga saxophone wanavutia sana wanawake
☕☕☕ Kule ilikuwa uzunguni hapa ni afrika ndugu yangu
 
Huko kutoboa shavu umeenda mbali sana.

Hao na wapiga matarumbeta ili uwakomoe dawa ndogo sana. Wakiwa wanapiga unaibuka na embe bichi au ukwaju,alafu unatafuna mbele yake Huku umekunja sura. Anajaza mate mdomoni hadi anayamwaga kwenye tarumbeta na shoo inaharibika hapo.

Enzi hizo tuna uhuni wa ki Temeke tumefukuzwa sana kwenye shoo na wapiga matarumbeta kwa sababu ya kuibuka na embe mbichi na Chumvi alafu tunawaringishia wakati wanapuliza!! Full kutoa mimate,halipigiki.
Msimu wa maembe ukipita atapiga tena saxophone 🎷 au akatwe lips
 
Kama nakuona vile 😌

1000013031.jpg
 
Huko kutoboa shavu umeenda mbali sana.

Hao na wapiga matarumbeta ili uwakomoe dawa ndogo sana. Wakiwa wanapiga unaibuka na embe bichi au ukwaju,alafu unatafuna mbele yake Huku umekunja sura. Anajaza mate mdomoni hadi anayamwaga kwenye tarumbeta na shoo inaharibika hapo.

Enzi hizo tuna uhuni wa ki Temeke tumefukuzwa sana kwenye shoo na wapiga matarumbeta kwa sababu ya kuibuka na embe mbichi na Chumvi alafu tunawaringishia wakati wanapuliza!! Full kutoa mimate,halipigiki.
🤣🤣 HAHAHAHAHH! Acha nilale sasa
 
Wanawake wa siku hizi hawaeleweki hata wanachotaka
Wengine wanapenda pesa
Wengine wanapenda wavuta bangi
Wengine wanapenda sauti ya jaiva
Wengine wanapenda six pack
Wengine wanapenda vipara
Wengine wanapenda ndevu kama za vijana wa hovyo wa makumbusho
Yaani kiufupi usijiangaishe eti ukifanya kitu fulani ndio wanakuja
Hao wakiamua kuja wanakuja tu.
 
View attachment 3135186
Hiki kidubwasha ni hatari sana,nuliwahi kuishi nchi fulani sitaitaja jina,sikuwa na kazi ya kufanya,nikajiunga bendi ya wajamaica tukipiga Jazz na Salsa kwenye mahoteli makubwa,mimi nilikuwa napiga hiki kidude,nilikuwa nagombaniwa na wanawaje mpaka nikapata mshangazi wa kizungu.

Baada ya kurudi nchini nilijiunga kwaya ya kanisani ile ya praise and worship.,nilifanya mageuzi makubwa ya kwaya,sehemu ya vinanda nilitoa nikarepkace na sauti ya saxophone,

Hizi saxophone ziko aina tatu Altor Tenor na Saprano..mimi hupendelea hizo mbili za mwanzo.nimesahau kuna bass pia
Sasa wakati wa nyimbo za kuabudu huwa nakipuliza kwa misifa na unavyojua makanisa ya kilokole asilimia kubwa huwa ni wakina mama,...kuna siku nilikipuliza nikakuta kanisa zima wanalia kwa hisia kama wamefiwa,kucheki jirani yangu kuna dada vinyweleo vimemsimama.
Ni vile sina pepo la uzinzi ningemaliza kondoo wa bwana

Sema bei yake imechangamka,hakipungui laki saba.

Mimi nilizaliwa nilikikuta nyumbani,kule upareni janisa la kKKT zamani hakuna ibada bila kwaya ya matarumbeta,nadhani wajerumani wamisionari ndio waasisi wa tarumbeta makanisani.

Kama mpenzi wako amenuna au umemkasirisha mpigie taratiibu lazima akusamehe.

Wanawake wanapenda sana wanaume wenye talent hasa ya muziki,ila katika wasanii wote wapiga saxophone wanavutia sana wanawake
Biashara yako ya hicho kifaa imedoda sasa unatumia mbinu za wauza supu za pweza....ila wapumbavu ni wengi chadema na ccm utawapata ...watajie na duka lenu mnalo viuza hivyo vifaa
 
Biashara yako ya hicho kifaa imedoda sasa unatumia mbinu za wauza supu za pweza....ila wapumbavu ni wengi chadema na ccm utawapata ...watajie na duka kenu mnalo viuza hivyo vifaa
Kuna wajinga weww ni nambari moja😕
Maduka yote ya kariakoo ni ya kwangu sio,pumbavu kweli wewe
 
Back
Top Bottom