Kama wanawake hawakupendi na huna hela jifunze kupiga Saxophone, utawakimbia

Ukifumaniwa wanakutoboa shavu moja tuone kama utapuliza tena
Huko kutoboa shavu umeenda mbali sana.

Hao na wapiga matarumbeta ili uwakomoe dawa ndogo sana. Wakiwa wanapiga unaibuka na embe bichi au ukwaju,alafu unatafuna mbele yake Huku umekunja sura. Anajaza mate mdomoni hadi anayamwaga kwenye tarumbeta na shoo inaharibika hapo.

Enzi hizo tuna uhuni wa ki Temeke tumefukuzwa sana kwenye shoo na wapiga matarumbeta kwa sababu ya kuibuka na embe mbichi na Chumvi alafu tunawaringishia wakati wanapuliza!! Full kutoa mimate,halipigiki.
 
🙏
☕☕☕ Kule ilikuwa uzunguni hapa ni afrika ndugu yangu
 
Msimu wa maembe ukipita atapiga tena saxophone 🎷 au akatwe lips
 
🤣🤣 HAHAHAHAHH! Acha nilale sasa
 
Wanawake wa siku hizi hawaeleweki hata wanachotaka
Wengine wanapenda pesa
Wengine wanapenda wavuta bangi
Wengine wanapenda sauti ya jaiva
Wengine wanapenda six pack
Wengine wanapenda vipara
Wengine wanapenda ndevu kama za vijana wa hovyo wa makumbusho
Yaani kiufupi usijiangaishe eti ukifanya kitu fulani ndio wanakuja
Hao wakiamua kuja wanakuja tu.
 
Biashara yako ya hicho kifaa imedoda sasa unatumia mbinu za wauza supu za pweza....ila wapumbavu ni wengi chadema na ccm utawapata ...watajie na duka lenu mnalo viuza hivyo vifaa
 
Biashara yako ya hicho kifaa imedoda sasa unatumia mbinu za wauza supu za pweza....ila wapumbavu ni wengi chadema na ccm utawapata ...watajie na duka kenu mnalo viuza hivyo vifaa
Kuna wajinga weww ni nambari moja😕
Maduka yote ya kariakoo ni ya kwangu sio,pumbavu kweli wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…