Kama wanawake mnataka wanaume wenye pesa Sasa inakuaje mnapata Mimba badala ya pesa?

Kama wanawake mnataka wanaume wenye pesa Sasa inakuaje mnapata Mimba badala ya pesa?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
In short wanawake mnatia Huruma Sana. Unajinasibu unataka Mwanaume mwenye pesa hila Mwisho wa siku unaishia kupewa Mimba tu na kuachwa .

Njia ya Mtu Kupata pesa ni kufanya Kazi hayo Mambo mengine mnajidanganya. Kwasababu tangia Mtu adange lakini Unakuta Mambo Ni 0-0

Wanawake fanyeni Kazi huku mtaani mtaishia kumegwa na wazee wenye umri wa babu zenu.
 
Bila mimba usingezaliwa,kuachwa ni matokeo tu.Sema tu Kwa sababu tunaplasenta ya kubebea ndo maana tunatambulika kuwa tumebeba mimba,la sivyo Mbona nanyi mnabenuliwa na kumwagiwa mbegu tu kama sisi mkuu.Easy plz
 
Back
Top Bottom