Hujathibitisha roho ipo kwa namna yoyote ile.Kama unataka kudebate mada iliyo ktk muktadha wa kimwili iweke hapa tudebate, ila mada za kiroho huwezi debate ktk muktadha wa kimwili.
Endelea kuwadanganya na kuwahadaa wajinga wenzako wanaodhan maswala ya roho yanajadiliwa kwa namna ya mwili
Umefikiria mbali mkuuTena vitoto vina dhambi sana hasa vinateswa na dhambi ya ubinafsi kama unabisha ukimkuta mtoto ananyonya nyonyo ya mamaye mwambie akupishe na wewe unyonye uone kama katakubali
[emoji1] [emoji1] [emoji9]Umefikiria mbali mkuu
Roho inathibitishwa kwa namna ya roho, kama upo tayar sema tuanze kushusha evidence..Hujathibitisha roho ipo kwa namna yoyote ile.
Thibitisha kwa njia inayoweza kuwa tested, inayoweza kutabiri vitu, inayopimika, yenye uthabiti wa kimantiki na isiyoweza kujipinga yenyewe.Roho inathibitishwa kwa namna ya roho, kama upo tayar sema tuanze kushusha evidence..
Au we unataka nithibitishe kwa njia gan
njia unazozitaja hapa ni za kimwil..through 6 organsThibitisha kwa njia inayoweza kuwa tested, inayoweza kutabiri vitu, inayopimika, yenye uthabiti wa kimantiki na isiyoweza kujipinga yenyewe.
6 organs ni zipi?njia unazozitaja hapa ni za kimwil..through 6 organs
Roho haipimwi kupitia hizo njia 6 za fahamu (kimwili)
we unajua ngap6 organs ni zipi?
Sijui hata moja, hizo 6 ni zipi?we unajua ngap
Waislamu wanasema mtu ana chagua mwenyewe akiwa tumboni mwa mama yake akiwa hali ya kuwa ni mtoto sijui kweli!kusemwa yeye ni malaika si ukweli wa uhalisia lkn ni tafsiri kwani mtoto anakuwa hajua hili wala lile hata hivyo mtoto wa nyoka ni nyoka
Nature and nurtureGenetics and enviromental factor inahusikana sana kwenye malezi na tabia za mtoto.