Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

Mkuu Kiranga kwanini haujajibu swali langu kuhusu nyumba?
Swali gani kuhusu nyumba? Umeuliza wapi? Weka quote hapa au post namba.

Kwa idadi ya quotes,PM, mentions,likes ninazopata kila siku, naweza kuwa sijaliona.

Ama naweza kuwa nimeliona nikapitiwa sijalijibu.

Au nimelijibu wewe hujaona.

Au nimejibu umeona umesahau.

Au nimejibu umeona hujaelewa.

Au nimejibu, umeona, umeelewa ila unajifaragua.

Kwa hivyo, kuondoa utata wa nini kimetokea,weka link iturudishe kwenye swali tuone kama kweli halijajibiwa.
 
Last edited:
Swali gani kuhusu nyumba? Umeuliza wapi? Weka quote hapa au post namba.

Kwa idadi ya quotes,PM, mentions,likes ninazopata kila siku, naweza kuwa sijaliona.

Ama naweza kuwa nimeliona nikapitiwa sijalijibu.

Au nimelijibu wewe hujaona.

Au nimejibu umeona umesahau.

Au nimejibu umeona hujaelewa.

Au nimejibu, umeona, umeelewa ila unajifaragua.

Kwa hivyo, kuondoa utata wa nini kimetokea,weka link iturudishe kwenye swali tuone kama kweli halijajibiwa.
post #137
 
Nikikwambia habari za roho kuwapo ni uongo tu usiothibitishika, na ndiyo maana walioutunga wameuwekea kikwazo cha kuhojiwa, kwa kusema roho haithibitishiki kimwili, wamewekauongo huo kulinda habari za rohokuwapo, kwa sababu haipo, utasemaje?
Kiranga utakuwa mjinga sana kama huwezi kutofautisha kati ya roho, mwili na mazingira.
Woote wanaoamini juu ya Roho pekee ni wajinga,
Woote wanaoamini juu ya Mwili pekee nao ni wajinga na
Woote wanaoamini juu ya Situational-Speculation (Utambuzi wa Kimazingira) pekee nao ni wajinga.
BALI WANAOAMINI KTK HAYO MATATU KWA UJUMLA WAKE NDIO WEREVU.

Bado naendelea kukuona ukiendeleza hoja za kijinga kuwa et habari ya roho kuwapo ni uongo maana haithibitiki kimwili..
Kiranga acha kukariri mambo na pia anza kubadilika kwa kupokea elimu. Ni hv utambue na itabaki kuwa hivi kuwa Roho haichangamani na Mwili , kinyume chake ni sawa pia. Hili nimekuasa sana na naendelea kukuasa

Ama kwa habari kuwa hizi habar za roho zimeletwa na watu na wametuwekea kikwazo cha kuhojiwa, !! hapa napo umepotea kwa mantik ifuatayo..
1) kwanza suala la roho kuwepo sio kwel kuwa limeletwa na watu bali lina-exist on its own -naturally. Kama wewe hausense kuwa kuna roho(ulimwengu wa roho) basi wew ni mjinga kama nilivosema hapo awali. Aidha kwa anayesema hakuna ulimwengu wa mwili aidha naye ni mjinga vilevile. aidha anayesema hakuma ulimwengu wa Utambuzi wa Kimazingira naye ni mjinga bilebile.
2) ukisema hakuna roho (invisible world) basi hakuna mwili(visible world), maana mwilini SUB-SET ya roho. Roho ndio MASTER, kama huamini juu ya master bas wew ni hopeless maana bila master hakuna slave/subset.
3) ulimwengu wa roho unafanya kazi kwa namna ya nguvu za asili zisizoonekana shahiri thahiri ila tunautambua kwa OUTPUT zake. Kwahyo haiitaji kukaririshwa sana kuhusu ulimwengu wa roho maana tunaifahamu ktk udhihirisho wa maisha yetu ya kila siku. HIVYO NI WRONG KUSEMA KWAMBA TUNALISHWA NA KUPOTOSHWA KUHUSU ULIMWENGU WA ROHO MAANA UPO KTKT YETU MARA ZOTE.

CONCL.
Kwa uelewa tu ni kuwa ulimwengu wa roho ninaouzungumzia hapa hauhusiani na DINI pekee wala UCHAWI/ULOZI/UGANGA pekee ama MATAMBIKO/KAFARA pekee..bali unahusiana na chochote kile ambacho kinafanyika ktk namna isiyoonekana kwa mwili/kimazingira ila kinakuwa na nguvu ya kuweza kuleta impact hata ktk namna ya mwili.

Pia si kweel kuwa masuala ya roho hayahojiw. Yanahojiwa ila kwa namna ya roho hyohyo. Ukittaka kujua yanahojiwa bas jifunze namna roho chafu zinavopambana na roho safi. Hii hutokea pale panapotokea ukinzani wa hoja baina ya pande mbili.
 
post #137


Naam,

Hili niswali ambalo nishalijibu mara nyingi sana. Labda wewe tu hujanifuatilia.

Umeuliza hivi.
Mkuu Kiranga,nakuuliza swali hivi ukienda msituni ukaona nyumba imejengwa vizuri sana ina mfumo wa maji mzuri,mfumo wa umeme mzuri,kuna cctv camera na kuna mfumo wa choo mzuri tu halafu ukaambiwa hii nyumba haikujengwa ila imetokea tu,utakubali au utakataa?.ukijibu vyema tutaendelea

Hebu tulijadili hili swali kwa utafiti wa ndani kabisa, kinyume na ugoigoi wa mawazo ambao watu wanatumia kila siku.

Nataka tuende ngazi kwa ngazi.

Hoja ya msingi hapa ni ipi? Hoja ya msingini ni kwamba complex order haiwezi kutokea tu? Lazima itakuwana muumbaji?

Ukikubali hoja hii, utaona ili kuumba complex order,inatakiwa iwepo complex order iliyoumba, kwa hivyo na hiyo complex order nayo itahitaji muumbaji. Kwa mfano wako hapo, hiyo nyumba haiwezi kujiweka yenyewe, atakuwepo mtu kwa mfano aliyeiweka, na huyo mtu hawezi kuwa katokea mwenyewe (mtu ni complex order ya hali ya juu zaidi ya nyumba, tunaona complexity inaongezeka, na hivyo ulazima kwa kwamba mtu kaumbwa unaongezeka).

Tukirudi, kwa wanaosema mtu kaumbwa na Mungu, basi Mungu naye ni complex order, na hivyo, kwa ile kanuni yetu kwamba complex order haiwezi kutokea tu, lazima itakuwa imewekwa, tunaona na Mungu naye hawezi kutokea tu, lazima atakuwa kaumbwa, na yeye ana muumba wake, na muumba wake ana muumba wake, na muumba wake ana muumba wake.

Ad infinitum, ad nauseum.

Unaona kwamba, kamaulitaka kuuliza hiloswali kwania ya kuonesha lazima Mungu mjuziwa yote, mwenye uwezo wote, mwenye upendo wote, muumba ulimwengu na watu, yupo, hoja yakoinaonesha jibu tofauti.

Inaonesha Mungu huyo hayupo.
 
Kiranga utakuwa mjinga sana kama huwezi kutofautisha kati ya roho, mwili na mazingira.
Woote wanaoamini juu ya Roho pekee ni wajinga,
Woote wanaoamini juu ya Mwili pekee nao ni wajinga na
Woote wanaoamini juu ya Situational-Speculation (Utambuzi wa Kimazingira) nao ni wajinga.
BALI WANAOAMINI KTK HAYO MATATU KWA UJUMLA WAKE NDIO WAEREVU.

Bado naendelea kukuona ukiendeleza hoja za kijinga kuwa et habari ya roho kuwapo ni uongo maana haithibitiki kimwili..
Kiranga acha kukariri mambo na pia anza kubadilika kwa kupokea elimu. Ni hv utambue na itabaki kuwa hivi kuwa Roho haichangamani na Mwili , kinyume chake ni sawa pia. Hili nimekuasa sana na naendelea kukuasa

Ama kwa habari kuwa hizi habar za roho zimeletwa na watu na wametuwekea kikwazo cha kuhojiwa, !! hapa napo umepotea kwa mantik ifuatayo..
1) kwanza suala la roho kuwepo sio kwel kuwa limeletwa na watu bali lina-exist on its own -naturally. Kama wewe hausense kuwa kuna roho(ulimwengu wa roho) basi wew ni mjinga kama nilivosema hapo awali. Aidha kwa anayesema hakuna ulimwengu wa mwili aidha naye ni mjinga vilevile. aidha anayesema hakuma ulimwengu wa Utambuzi wa Kimazingira naye ni mjinga bilebile.
2) ukisema hakuna roho (invisible world) basi hakuna mwili(visible world), maana mwilini SUB-SET ya roho. Roho ndio MASTER, kama huamini juu ya master bas wew ni hopeless maana bila master hakuna slave/subset.
3) ulimwengu wa roho unafanya kazi kwa namna ya nguvu za asili zisizoonekana shahiri thahiri ila tunautambua kwa OUTPUT zake. Kwahyo haiitaji kukaririshwa sana kuhusu ulimwengu wa roho maana tunaifahamu ktk udhihirisho wa maisha yetu ya kila siku. HIVYO NI WRONG KUSEMA KWAMBA TUNALISHWA NA KUPOTOSHWA KUHUSU ULIMWENGU WA ROHO MAANA UPO KTKT YETU MARA ZOTE.

CONCL.
Kwa uelewa tu ni kuwa ulimwengu wa roho ninaouzungumzia hapa hauhusiani na DINI pekee wala UCHAWI/ULOZI/UGANGA pekee ama MATAMBIKO/KAFARA pekee..bali unahusiana na chochote kile ambacho kinafanyika ktk namna isiyoonekana kwa mwili/kimazingira ila kinakuwa na nguvu ya kuweza kuleta impact hata ktk namna ya mwili.

Pia si kweel kuwa masuala ya roho hayahojiw. Yanahojiwa ila kwa namna ya roho hyohyo. Ukittaka kujua yanahojiwa bas jifunze namna roho chafu zinavopambana na roho safi. Hii hutokea pale panapotokea ukinzani wa hoja baina ya pande mbili.
Hujathibitisha roho ipo.

Unahubiri uongo tu.

Sijaomba mahubiri, nimetaka uthibitisho.
 
Hujathibitisha roho ipo.

Unahubiri uongo tu.

Sijaomba mahubiri, nimetaka uthibitisho.
Unataka nithibitishe kama kichwa chako kinavotaka (kimwili) au...??
Kwann hutaki ninapothibitisha kwa namna ukwel ulivo. JE NANI KAKWAMBIA VIPIMO VYA KIMWILI NDIVYO HUPIMIA ROHO PIA..

Sihubiri nakupa facts..
 
Unataka nithibitishe kama kichwa chako kinavotaka (kimwili) au...??
Kwann hutaki ninapothibitisha kwa namna ukwel ulivo. JE NANI KAKWAMBIA VIPIMO VYA KIMWILI NDIVYO HUPIMIA ROHO PIA..

Sihubiri nakupa facts..
Fact unaelewa maana yake ni nini?

Roho kuwapo ni fact? Unaweza kuthibitisha kwa vipimo vya kuthibitisha fact?

Vipimo vya mwili vikoje? Vya roho vikoje?

Utajuaje hivyo vipimo vya roho vipo kweli na si uongo tu uliotungwa na watu?
 
sawa mkuu, vipi unaamini au unajua kuwa dunia pamoja na sisi binadamu tumeumbwa na kiumbe mwenye nguvu na uwezo kuliko sisi?
Naam,

Hili niswali ambalo nishalijibu mara nyingi sana. Labda wewe tu hujanifuatilia.

Umeuliza hivi.


Hebu tulijadili hili swali kwa utafiti wa ndani kabisa, kinyume na ugoigoi wa mawazo ambao watu wanatumia kila siku.

Nataka tuende ngazi kwa ngazi.

Hoja ya msingi hapa ni ipi? Hoja ya msingini ni kwamba complex order haiwezi kutokea tu? Lazima itakuwana muumbaji?

Ukikubali hoja hii, utaona ili kuumba complex order,inatakiwa iwepo complex order iliyoumba, kwa hivyo na hiyo complex order nayo itahitaji muumbaji. Kwa mfano wako hapo, hiyo nyumba haiwezi kujiweka yenyewe, atakuwepo mtu kwa mfano aliyeiweka, na huyo mtu hawezi kuwa katokea mwenyewe (mtu ni complex order ya hali ya juu zaidi ya nyumba, tunaona complexity inaongezeka, na hivyo ulazima kwa kwamba mtu kaumbwa unaongezeka).
 
sawa mkuu, vipi unaamini au unajua kuwa dunia pamoja na sisi binadamu tumeumbwa na kiumbe mwenye nguvu na uwezo kuliko sisi?
Kiumbe gani? Unajuaje hilo? Unahakiki vipi kwamba hilo nikweli na si hadithi tu?
 
Kiumbe gani? Unajuaje hilo? Unahakiki vipi kwamba hilo nikweli na si hadithi tu?
"the madman may speak a true word,but watch him he will add another word then you know his mind is still corrupt"by Chinua Achebe in "a man of the people)
 
Tena vitoto vina dhambi sana hasa vinateswa na dhambi ya ubinafsi kama unabisha ukimkuta mtoto ananyonya nyonyo ya mamaye mwambie akupishe na wewe unyonye uone kama katakubali
 
"the madman may speak a true word,but watch him he will add another word then you know his mind is still corrupt"by Chinua Achebe in "a man of the people)
Hujajibu nililouliza na kama kuna ulilojibu, sijauliza,
 
binadamu anapozaliwa anakuwa na dhambi ya asili kutokana na adam na hawa kuasi maagizo ya Mungu
ndiyo sababu mtoto mchanga(0-1 )akasirika na kulia au kumpiga mama yake akinyimwa kunyonya au ukimwomba kitu mtoto mdogo wa miaka 2-7 anakukatalia au wakati mungine anasema uongo , ubatizo ndiyo unaondoa dhambi ya asili ,Yesu alisema" waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao"
pamoja na mtoto mdogo kufanya matendo hayo hana roho mbaya au dhambi nyingine za kutenda( uzinzi,kinyongo nk)
 
Last edited:
Fact unaelewa maana yake ni nini?

Roho kuwapo ni fact? Unaweza kuthibitisha kwa vipimo vya kuthibitisha fact?

Vipimo vya mwili vikoje? Vya roho vikoje?

Utajuaje hivyo vipimo vya roho vipo kweli na si uongo tu uliotungwa na watu?
We ni MJINGA maana hujui utofauti wa Roho na Mwili..
Ulivo mjinga unazani,kuamini ktk akili zako za kimwili ndio everythng hakuna zaid ya hapo.
Nimeshakwambia akili uliyonayo ni slaves ya roho. Anayeamini Akili ni zaidi ya Roho ni Mjinga na Mpumbavu pia
 
Fact unaelewa maana yake ni nini?

Roho kuwapo ni fact? Unaweza kuthibitisha kwa vipimo vya kuthibitisha fact?

Vipimo vya mwili vikoje? Vya roho vikoje?

Utajuaje hivyo vipimo vya roho vipo kweli na si uongo tu uliotungwa na watu?
Wanaokupa kichwa hapa JF kuwa ww unajibu hoja kimantiki kuzidi wengine wanakupotosha maana ww unatumia upande mmoja tu wa reasoning ya kimwili ila huna maarifa wala uelewa wowote juu ya ulimwengu wa roho. Pia kuchanganya Logic za KiRoho,na KiMwili ni ujinga maana haziingiliani.
Wale wote wanaokusapot hoja zako ni kwasabab na wao ni wajinga ktk kufaham CODEs za ulimwengu wa roho.
 
We ni MJINGA maana hujui utofauti wa Roho na Mwili..
Ulivo mjinga unazani,kuamini ktk akili zako za kimwili ndio everythng hakuna zaid ya hapo.
Nimeshakwambia akili uliyonayo ni slaves ya roho. Anayeamini Akili ni zaidi ya Roho ni Mjinga na Mpumbavu pia
Hjathibitisha roho ipo, unalazimisha tu iwepo.

Na kama mimi ni mjinga, huo niushahidi kwamba Mungu mjuzi a yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu unaoruhusu viumbe wake kuwa wajinga wasijue mambo ya msingi hivi.
 
Wanaokupa kichwa hapa JF kuwa ww unajibu hoja kimantiki kuzidi wengine wanakupotosha maana ww unatumia upande mmoja tu wa reasoning ya kimwili ila huna maarifa wala uelewa wowote juu ya ulimwengu wa roho. Pia kuchanganya Logic za KiRoho,na KiMwili ni ujinga maana haziingiliani.
Wale wote wanaokusapot hoja zako ni kwasabab na wao ni wajinga ktk kufaham CODEs za ulimwengu wa roho.
Mtu yeyote anaweza kukuambia uongo wowote kwa minajili ya kwamba uongo huo hautumii logic ya kimwili (sijui ndiyo ipi hii?).

Sasa, utajuaje huyu muongo, na huyu anasema kweli?

Wakati mtu kashasema habari zake hazitumii logic ya kimwili.
 
Mtu yeyote anaweza kukuambia uongo wowote kwa minajili ya kwamba uongo huo hautumii logic ya kimwili (sijui ndiyo ipi hii?).

Sasa, utajuaje huyu muongo, na huyu anasema kweli?

Wakati mtu kashasema habari zake hazitumii logic ya kimwili.
Wewe uliwasumbua wale walioingia mkenge kudebate nawewe mambo ya Roho,kwa kutumia logic za kimwili.
Mm nmekwambia najua vyema kutofautiisha kati ya haya mawili, hivyo usipoteze mda kurudia maswali yako niliyokwishakukujibu ukazani nitaingia mkenge kujadili masuala ya roho ktk muktadha wa reasoning ya kimwili(physical means)
 
Hjathibitisha roho ipo, unalazimisha tu iwepo.

Na kama mimi ni mjinga, huo niushahidi kwamba Mungu mjuzi a yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu unaoruhusu viumbe wake kuwa wajinga wasijue mambo ya msingi hivi.
Kama unataka kudebate mada iliyo ktk muktadha wa kimwili iweke hapa tudebate, ila mada za kiroho huwezi debate ktk muktadha wa kimwili.
Endelea kuwadanganya na kuwahadaa wajinga wenzako wanaodhan maswala ya roho yanajadiliwa kwa namna ya mwili
 
Wewe uliwasumbua wale walioingia mkenge kudebate nawewe mambo ya Roho,kwa kutumia logic za kimwili.
Mm nmekwambia najua vyema kutofautiisha kati ya haya mawili, hivyo usipoteze mda kurudia maswali yako niliyokwishakukujibu ukazani nitaingia mkenge kujadili masuala ya roho ktk muktadha wa reasoning ya kimwili(physical means)
Unalazimisha roho iwepona Mungu awepo wakati hivi havipo, ni hadithi tu.

Ndiyo maana ukiambiwa uthibitrishe unaweweseka.
 
Back
Top Bottom