... kwa bongo suala la mdada kutumia mbususu kwa manufaa yake sio "madhila makubwa" sababu hashikiwi kisu wala mtutu isitoshe ni 18+ taratibu zote anazijua.Natafakari kwanini wasanii wetu wanapopata changamoto au mafanikio ushindwa kuyasimamia badala yake utafuta wanasiasa wawalinde.
Diamond anasema demu wake alitongozwa na waziri na kisha waziri huyo huyo anawalipa wamfisie yeye na wizara yake. Na hata baada ya kubainika kuwa huyo waziri alitumia madaraka vibaya hakuna aliyemchukulia hatua.
Je, wasanii wengine na watangazaji tunaowaona wanajipendekeza kwa wanasiasa wanapitia madhila makubwa kiasi gani? Ni lini watapata forum yakueleza wanayofanyiwa hadi kukubali kuwa chawa?
Unyanyasaji huu utaendelea hadi lini? Unamwona mtu ana umaarufu kumbe kuna mapito magumu anapitishwa na wafanyabiashara au wanasiasa......
Tuanze kuwafariji chawa kuliko kuwaponda; wanafanyiwa ukatili mkubwa sana na kwakuwa wanataka pesa inabidi wawe wavumilivu.
Nakumbuka ilikuwa marope.Demu mwenyewe alikua Wema Sepetu,hiyo story naikumbuka sana!!
Mke wa Rais wa Ufaransa Sarcozy aliliwa na Muhuni kwny hotel ambayo Mkutano wa Wababe wa Dunia G5 ulikuwa unaendelea pamoja na Ulinzi wote wa Dunia kuwepo pale lakini kuna Khabith bin Firaun alizama akala MzigoKama Diamond anaweza kutongozewa demu wake na waziri tu basi hana Umaarufu wowote [emoji23][emoji23]
Waziri ni Taasisi lakini haimaniishi kuwa kila wakati anaishi utaasisi Kuna maisha nje ya Taasisi,je hili nalo ulilitizama au unataka kutuaminisha sisi sote juu ya kile unachokiamini wewe Kama wewe?Natafakari kwanini wasanii wetu wanapopata changamoto au mafanikio ushindwa kuyasimamia badala yake utafuta wanasiasa wawalinde.
Diamond anasema demu wake alitongozwa na waziri na kisha waziri huyo huyo anawalipa wamfisie yeye na wizara yake. Na hata baada ya kubainika kuwa huyo waziri alitumia madaraka vibaya hakuna aliyemchukulia hatua.
Je, wasanii wengine na watangazaji tunaowaona wanajipendekeza kwa wanasiasa wanapitia madhila makubwa kiasi gani? Ni lini watapata forum yakueleza wanayofanyiwa hadi kukubali kuwa chawa?
Unyanyasaji huu utaendelea hadi lini? Unamwona mtu ana umaarufu kumbe kuna mapito magumu anapitishwa na wafanyabiashara au wanasiasa......
Tuanze kuwafariji chawa kuliko kuwaponda; wanafanyiwa ukatili mkubwa sana na kwakuwa wanataka pesa inabidi wawe wavumilivu.
Sasa hivi wema hayuko hot?Na lile somo la Wema ndilo lilimfanya Mondi awe womaniser hadi leo,maana pale kwa Wema Mondi ali fall in real love, lakini Sepenga yeye.kipindi hicho ndiyo nae yuko hot kila mwanaume anatak apate japo kipande kidogo ch cake kutoka kwa Wema!!
Natafakari kwanini wasanii wetu wanapopata changamoto au mafanikio ushindwa kuyasimamia badala yake utafuta wanasiasa wawalinde.
Diamond anasema demu wake alitongozwa na waziri na kisha waziri huyo huyo anawalipa wamfisie yeye na wizara yake. Na hata baada ya kubainika kuwa huyo waziri alitumia madaraka vibaya hakuna aliyemchukulia hatua.
Je, wasanii wengine na watangazaji tunaowaona wanajipendekeza kwa wanasiasa wanapitia madhila makubwa kiasi gani? Ni lini watapata forum yakueleza wanayofanyiwa hadi kukubali kuwa chawa?
Unyanyasaji huu utaendelea hadi lini? Unamwona mtu ana umaarufu kumbe kuna mapito magumu anapitishwa na wafanyabiashara au wanasiasa......
Tuanze kuwafariji chawa kuliko kuwaponda; wanafanyiwa ukatili mkubwa sana na kwakuwa wanataka pesa inabidi wawe wavumilivu.
Kwani mwanamke kuna ukomo wa kutotongozwa?
Waziri!!Akiwa wa Mondi msimsogelee.
Hawajui hao mabinti wanaangalia future, sasa kati ya waziri na Mondi nani ana future?
Huyo Waziri alitakiwa kwenda Mbele Kumuomba tako DiamondNatafakari kwanini wasanii wetu wanapopata changamoto au mafanikio ushindwa kuyasimamia badala yake utafuta wanasiasa wawalinde.
Diamond anasema demu wake alitongozwa na waziri na kisha waziri huyo huyo anawalipa wamfisie yeye na wizara yake. Na hata baada ya kubainika kuwa huyo waziri alitumia madaraka vibaya hakuna aliyemchukulia hatua.
Je, wasanii wengine na watangazaji tunaowaona wanajipendekeza kwa wanasiasa wanapitia madhila makubwa kiasi gani? Ni lini watapata forum yakueleza wanayofanyiwa hadi kukubali kuwa chawa?
Unyanyasaji huu utaendelea hadi lini? Unamwona mtu ana umaarufu kumbe kuna mapito magumu anapitishwa na wafanyabiashara au wanasiasa......
Tuanze kuwafariji chawa kuliko kuwaponda; wanafanyiwa ukatili mkubwa sana na kwakuwa wanataka pesa inabidi wawe wavumilivu.
Penzi la Wema halina chama. Hata mmiliki wa CHADEMA Sultani Mbowe alishawahi kuingia kwenye 18 za Wema.Waziri Mhusika na Diamond wote wako ccm , mashitaka hayo wampelekee kinana
Wema wa enzi hizo alikuwa wa moto sana hadi maongezi yake na mmiliki wa CHADEMA yalivuja. Yaani mwamba aliyekuwa akitegemewa kuwavusha nyumbu alinasa kwenye penzi la mtoto mzuri Wema.Sasa hivi wema hayuko hot?
Ni dharau unapojua kua dada fulani ni "main girlfriend " wa mtu unaemfahamu kisha ukamtongoza. Bora km ulikua hujui nani anashikiria mchumaDiamond nae akili hamna kumbe, labda iwe kiki. Analalamikaje demu wake kutongozwa, shida ni nini, demu kutongozwa na waziri?
Sahani ya hotelini haina mwenyewe.Ni dharau unapojua kua dada fulani ni "main girlfriend " wa mtu unaemfahamu kisha ukamtongoza. Bora km ulikua hujui nani anashikiria mchuma
Lakini huwezi ichukua kama iko mezani kwa mtu tayari na chakulaSahani ya hotelini haina mwenyewe.
Huoshwa tu.