Kama waziri Mwigulu anakataa kuwa pesa hazijaibiwa serikalini, ina maana kuwa anapingana na ripoti ya CAG?

Kama waziri Mwigulu anakataa kuwa pesa hazijaibiwa serikalini, ina maana kuwa anapingana na ripoti ya CAG?

CAG hajawahi sema mahala popote kwamba pesa zimeibiwa ila alijenga hoja ambayo Serikali walitakiwa kujibu ndio maana hoja ya CAG haiwezi kuwa.ushahidi.wa.moja.kwa.moja.mahakamani..

Mwisho wizi upo ila.sio.kwa.kiwangi ambacho wapotoshaji wanataka kuaminisha watu,ingekuwa hivyo Nchi ingekuwa haiendi.
Kwa hiyo ww unaona nchi inakwenda vizuri
 
Back
Top Bottom