Kama wazo la kujinyonga linakujia mara kwa mara kwasababu ya ugumu wa maisha, pitia hapa



Duh best yangu umefika mbali....yes lazima kuna ndugu zake wanahtaji msaada ..msaada sio lazima uwe kwa ndugu zako tu!...ni km mnamkatisha tamaa vile!
 
Tofautisha kutokuwa na hela ya kula NA kuwa na maisha magumu mpaka hujui msosi unaofatia unauoataje.

Kutokuwa na hela ya kula hata mfanyakazi anayelipwa mshahara mkubwa kawaida kutokea kwake unachozungumzia mtoa mada siohiko.
Portfolio | 2020
 
Mkuu umenena,asante kwa mchango mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Wewe bhana ukihitaji kusaidia mtu saidia, sio unaanza maneno maneno!

Mwishowe utasema watu wauze chupi zao ili wapate hela ya kula! Wasipouza chupi hauwasaidii maana wamevaa rasilimali.

Wewe ni mjinga mno na MPUMBAVU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…