Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

Kama wewe mrefu na una demu mmoja tafakari

sema kutakuwa na reason behind ya hayo yote labda ulipigwa matukio, sifahamu

nataka nizame najitosa tu nimpemde binti wa mtu this time kiukweli akinipiga matukio sawa...mapenzi ni hali ya “Sink or swim lakin” what if i swim si ntaibuka kidedea na ikitokea bahati mbaya nikazama sio mbaya ajali kazini,

Then hapo na mm ntakuwa kama wewe sasa
All the best man....ah mie ninachoona ni kwamba ata umpende mwanamke bado mwisho wa siku wao wanaangalia nini unacho na sio kwamba wanakulenda for who u r. So why then nitumie energy yangu kumpenda mrembo.

Wee tugegeduane tuu tuenjoy life bila stress
 
All the best man....ah mie ninachoona ni kwamba ata umpende mwanamke bado mwisho wa siku wao wanaangalia nini unacho na sio kwamba wanakulenda for who u r. So why then nitumie energy yangu kumpenda mrembo.

Wee tugegeduane tuu tuenjoy life bila stress

Sure, hamna mrembo atakaekupenda for who you are siku hizi hamna hilo, wanaangalia title, status n.k

tunaishi kwenye fucked up world
 
Sawa uko sahihi ila mrefu bila hela?sahau.

Aiiiiiiiiiii mbona yule kaka na urefu wake afu hana kitambi na sio chembamba mbona nilimkataa hata kutoka nae lunch siwezi? Na sio mchafu basi hakunivutia. Afu mfumo dume akwendreee zake na urefu wake.

Sema mrefu +hela + usiwe bahili + awe smart ana nvuto fulani hata kama sura mbaYa hapa hata limbwata utapewa tu😂😂
 
Kuna ka ukweli kdogo .maana kna jamaa zangu wanaonaga me mademu wananishobokea mpaka wamama .wakati me sina muda nao .wenyewe wanafukuzia wanakataliwa . me mpaka wife aninunie ndo nakuwa na mzuka wa kutongoza.
 
... Life of a pablo...

Kumbe mmeanza zamani kujisifia ujinga...

Mna muda mwingi wa kupoteza Vijana,
 
Back
Top Bottom