Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Ila nyie watu Mungu anawaona,. Mmeshaanza kula hadi wa 2010,.

Ee Mungu nilindie wadogo zangu😥🙏
Hahaha hatari, ila kama wananyama nyama pole Sana maana unaweza mkuta wa 2010 ananyama watu wanapita nao ila Mimi siwezi huo ushetani
 
Mwaka mpya huu yaani ni Engonga Baltazar version kabisa sasa hivi
 
Mbulukenge wamekuhifadhia kwenye hansad. Siku isiyo na jina watajifanya Super waganga.🤔
Nimesoma mpaka kichwa kimeniuma, sijakuelewa ni kichaga au kigogo hicho
 
Nimesoma mpaka kichwa kimeniuma, sijakuelewa ni kichaga au kigogo hicho
Zikianza kejeli za Hawa watakatifu kuhusu singo Moda. 🤣Count urself in a victim room.🤔🤔 Bado sijaeleweka dada nivue??(Nidadavue)
 
Ivi mbona kama watanzania tunapenda kuabudu kitu kinaitwa ndoa? Et Kwan lazzma watu kuoa au kuolewa? what so special kuhusu ndoa? Au mie mshamba jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…