Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Nistiriwe nimekufa? We falah nini 😹😹😹

Hivi mnahisi wanawake wote tunahusudu kufua boxer na mindula yenu na kupangiwa pangiwa maisha km watoto??
Kwanza wanaume wenyewe km wewe manyanza nyuki wa mashineni au kuna toleo jipya? 🤣🤣😹😹
Mwaka mpya huu yaani ni Engonga Baltazar version kabisa sasa hivi
 
Nimesoma mpaka kichwa kimeniuma, sijakuelewa ni kichaga au kigogo hicho
Zikianza kejeli za Hawa watakatifu kuhusu singo Moda. 🤣Count urself in a victim room.🤔🤔 Bado sijaeleweka dada nivue??(Nidadavue)
 
Ivi mbona kama watanzania tunapenda kuabudu kitu kinaitwa ndoa? Et Kwan lazzma watu kuoa au kuolewa? what so special kuhusu ndoa? Au mie mshamba jaman
 
Back
Top Bottom