π€π€π€Ivi mbona kama watanzania tunapenda kuabudu kitu kinaitwa ndoa? Et Kwan lazzma watu kuoa au kuolewa? what so special kuhusu ndoa? Au mie mshamba jaman
Unawashauri mabinti waolewe ikiwa wanaume hao wa kuwaoa tayari washapoteza nguvu na mamlaka yao miaka 30 back? Thats a stupididyNawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Kwel kbs mkuuWatoto wa 2010 washaanza kutusumbua mtaani. Hawa wengine wa 2000s kwa mambo wanayofanya mtaani na ukiangalia miili yao mikubwa ni wamama tayari 2030 watakuwa wanajukuu.
Waoaji tupo sem tu majukumu yanatuchanganyWaoaji wenyewe wapo kweli?
Wengi wamejiingiza kwenye kale kakikundi kao wanakokaita kataa ndoa.
Sidhan kama atatoboaMama mbona Mola akimpa umri na kujaalia afya ni mpaka 2035.
Mpaka Sasa ni muhula wa mapito tu hajaanza muhula yake miwili.
Haya ni kutoka kwa walio na majukumu ya kutafsiri katiba.
Ukubwa namb tuMimi ni mkubwa kwako
Wanaume sio kioo Cha jamiiIla mnateseka sana na wanawake kwann huo ushauri usiwape wanaume??
Anasauti nzuri balaa ila ndio hivyoo anataka kunichezeaMwachiluwi anataka kukuoa sema sasa wewe una mambo mengi.
Aloooh! Kataa ndoa hadi kwa mademu sasaIvi mbona kama watanzania tunapenda kuabudu kitu kinaitwa ndoa? Et Kwan lazzma watu kuoa au kuolewa? what so special kuhusu ndoa? Au mie mshamba jaman
Mwanume anawez kuoa at akiw na miaka 70Wanaume bwana, nyie mnashauriana kutafuta pesa au maokoto, ila wanawake mnashauri tupambane tuolewe . Nyieee duh.