Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.

Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
 
Watoto wa 2010 washaanza kutusumbua mtaani. Hawa wengine wa 2000s kwa mambo wanayofanya mtaani na ukiangalia miili yao mikubwa ni wamama tayari 2030 watakuwa wanajukuu.
Hybreed ya hatari
 
Back
Top Bottom