Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaNawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Tupo mkuu....Waoaji wenyewe wapo kweli?
Wengi wamejiingiza kwenye kale kakikundi kao wanakokaita kataa ndoa.
Humu hakuna ndoa humu wamejaa mafree manson nje wanaume wapo wazuri sana wanaheshima na upendoWaoaji wenyewe wapo kweli?
Wengi wamejiingiza kwenye kale kakikundi kao wanakokaita kataa ndoa.
Oa wewe sio shindikana aaTupo mkuu....
Sema ndo hvo tuu mambo mengi
Mnajificha sana tatizo oooohOa wewe sio shindikana aa
Mh Luca kakimbia majukumu?[emoji1]Mbona umechelewa kutoa ushauri
Wengine tushakua single mothers..!
Mimi ni mkubwa kwakoMnajificha sana tatizo ooooh
Mitano tenaNawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Mwachiluwi nikataa ndoa na mshamba_hachekwiWaoaji wenyewe ndio hawa
Mwachiluwi mshamba_hachekwi Poor Brain
Kazi kuwachanua mabinti wa wenyewe na kuwapiga mabusu ya vikojoleo na kuwaacha.
Kazi ipo!!!!!!