Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Na nguvu za kiume zinaongezeka au sio 😹Wanaume hatuzeeki , kadri tunabyokuwa na hela ndio ujana unaongezeka , we age antclokwise[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nguvu za kiume zinaongezeka au sio 😹Wanaume hatuzeeki , kadri tunabyokuwa na hela ndio ujana unaongezeka , we age antclokwise[emoji1787]
Mnajali nguvu sio hela tena?Na nguvu za kiume zinaongezeka au sio [emoji81]
Kwahiyo na wewe ukikua utakuwa km mke wa pdidy ðŸ¤ðŸ˜¹Labella uaijifananishe kabisa na Mwanaume
BEFORE
View attachment 3196599
AFTER
View attachment 3196600
Vyote mkuu 😹Mnajali nguvu sio hela tena?
Kama utani, kumbe kweli....Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Mbona wewoooo 😹Mwachiluwi anataka kukuoa sema sasa wewe una mambo mengi.
Mimi ni mimi aiseee halafu naona kama unaitaka ndoa lakini unajifaragua 🤣🤣🤣Kwahiyo na wewe ukikua utakuwa km mke wa pdidy ðŸ¤ðŸ˜¹
Mwachuliwu huyu ninayemfahamu? 🤣Mwachiluwi anataka kukuoa sema sasa wewe una mambo mengi.
kwa kupenda chn hatujamboHaha..Sasa hivi mwendu wa kitafuna vya 2010[emoji1787] Vishangazi vywa 2009 kushuka tunanyanyapaa
Pambafu kabisa wewe huna cotentsNawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Sio kipaumbele changu, nimewaachia nyie 😹Mimi ni mimi aiseee halafu naona kama unaitaka ndoa lakini unajifaragua 🤣🤣🤣
Unawaachiaje wanaume kipaumbele?Sio kipaumbele changu, nimewaachia nyie 😹
Mama Samia anamiaka 10 yake hii aliyipo anamsaidi jiwe aliyeshindwa kimaliza RIP kamanda langu,mama Samia mpaka 2035 live longer raisi wangu hakuna wa kumuachi nchi akina mbowe na lisu akili hazijatuliaNawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Hiyo ni katiba ya cuba sio tanzaniaMama Samia anamiaka 10 yake hii aliyipo anamsaidi jiwe aliyeshindwa kimaliza RIP kamanda langu,mama Samia mpaka 2035 live longer raisi wangu hakuna wa kumuachi nchi akina mbowe na lisu akili hazijatulia
Moderator aione kwenye jaradaGwanyoko
Nistiriwe nimekufa? We falah nini 😹😹😹Unawaachiaje wanaume kipaumbele?
Wakati kwa mwanaume hilo ni jambo la kuamua tu?
Allah akufanyie wepesi ajitokeze wa kukusitiri