Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.

Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Kama utani, kumbe kweli....
 
Kwanza wajufunze kulea
Watoto wanawakimbia wazazi wakiwa wadogo na kusema wanaanza maisha ya kujitegemea
Sasa peke yake hajui hata atakula nini kesho
Ikiwa na watoto ndio mtihani kabisa
Ila kuolewa ni bahati pia ukilazimisha au kuchomekeana ndio mbaya
 
Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.

Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Pambafu kabisa wewe huna cotents
 
Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.

Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Mama Samia anamiaka 10 yake hii aliyipo anamsaidi jiwe aliyeshindwa kimaliza RIP kamanda langu,mama Samia mpaka 2035 live longer raisi wangu hakuna wa kumuachi nchi akina mbowe na lisu akili hazijatulia
 
Mama Samia anamiaka 10 yake hii aliyipo anamsaidi jiwe aliyeshindwa kimaliza RIP kamanda langu,mama Samia mpaka 2035 live longer raisi wangu hakuna wa kumuachi nchi akina mbowe na lisu akili hazijatulia
Hiyo ni katiba ya cuba sio tanzania
 
Nasikia vitoto vya 2000 ni habari nyingine, eti vinajua balaa. Unaweza kujitwalia ukasema hapa nimepata ukaingia na kukuta tarmac road kama ile ya mlandizi.

Sisi ngoja tuendelee na wa 80s, hakuna mfano wake...
 
Nasikia vitoto vya 2000 ni habari nyingine, eti vinajua balaa. Unaweza kujitwalia ukasema hapa nimepata ukaingia na kukuta tarmac road kama ile ya mlandizi.

Sisi ngoja tuendelee na wa 80s, hakuna mfano wake...
Vya 2000 hamna kitu
 
Unawaachiaje wanaume kipaumbele?
Wakati kwa mwanaume hilo ni jambo la kuamua tu?

Allah akufanyie wepesi ajitokeze wa kukusitiri
Nistiriwe nimekufa? We falah nini 😹😹😹

Hivi mnahisi wanawake wote tunahusudu kufua boxer na mindula yenu na kupangiwa pangiwa maisha km watoto??
Kwanza wanaume wenyewe km wewe manyanza nyuki wa mashineni au kuna toleo jipya? 🤣🤣😹😹
 
Back
Top Bottom