Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Wanaume wanatumia pombe kama kilainishi cha kumpata mwanamke.Hawa watu wakilewa hawanaga ujanja kama ulivyo isemi kuwa ' kumsukuma mlezi ni rahisi "
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
Uzi zingine bana
We starehe za watu zinakuhusu nn?
Kwanza how old r u?
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
Ukweli mtupu imenitoke nipo mbwii+mke wa mtu club+saa saba usiku=......kilichotokea nilikifurahia lakini sipendelei.....msiwaaache waende peke yao wengine tukilewa tukitongoza hakuna kiumbe aliyewai kuchomoa
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
tofautisha mlevi na mnywa pombe mkuu, sasa tusipokunywa nani atakunywa? basi wangeandika ni za wanaume tu

hahahahhahaah napita tu
 
nawakumbusha
255716510693_status_a4a1e35993e14b4c8f666cb401d04c9c.jpg
 
Back
Top Bottom