Kama wewe ni muajiriwa na kipato chako na taarifa zako limited sio lazima uanzishe biashara. Utalia na kusaga meno

Kama wewe ni muajiriwa na kipato chako na taarifa zako limited sio lazima uanzishe biashara. Utalia na kusaga meno

Muajiriwa huna mda wa kusimamia biashara zako achana na biashara utalia watu hawana huruma na hela yako.
Bora kafungulie zipu au vizibo uinjoi kama hauna uchungu na pesa zako.
 
Hii utt mie nataka kuijua kwa ndani zaidi.
Nikiweka mil 35 naweza pata laki 5 kwa mwezi?
Sikumbuki interest ni kiasi gani lakini huwa ni kati ya 11 - 12% per year. Kwa hiyo kwa milioni 35 ukipiga hesabu per year sidhani kama itafika hata 400k per month..

Lakini ni bora kuliko makato ya bank na pengine inaweza saidia kwa vitu vidogovidogo
 
Sikumbuki interest ni kiasi gani lakini huwa ni kati ya 11 - 12% per year. Kwa hiyo kwa milioni 35 ukipiga hesabu per year sidhani kama itafika hata 400k per month..

Lakini ni bora kuliko makato ya bank na pengine inaweza saidia kwa vitu vidogovidogo
Mweee sasa sii bora nikabet tuu million 10 kama mtaji hiyo laki 400 naite geneza kwa wiki
 
Wengi mnaona biashara ni kama mgodi.

Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.

Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina

Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.

Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato

Wengi mnaona biashara ni kama mgodi.

Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.

Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina

Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.

Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato.
Ukiwa mfanyakazi ni bora uwe investor.. kufanya biashara lazima uwe umejipanga kwa kila kitu kufeli na kufaulu..
 
Nitafutie wateja sasa
Wiki iliyopita niliona thread ya kitambo sana humu na nilivyoona comment yako ndio nikajua hata wewe ni wa kitambo tofauti na nilivyokuchukulia kama generation Z.. Kwa hiyo fungua ofisi mwananyamala, wateja hukosi mkuu 😁
 
Wiki iliyopita niliona thread ya kitambo sana humu na nilivyoona comment yako ndio nikajua hata wewe ni wa kitambo tofauti na nilivyokuchukulia kama generation Z.. Kwa hiyo fungua ofisi mwananyamala, wateja hukosi mkuu 😁
Sio ofisi iwe ghettoni kwangu
 
Wengi mnaona biashara ni kama mgodi.

Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.

Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina

Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.

Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato.
Aisee🙌🏽
 
Sikumbuki interest ni kiasi gani lakini huwa ni kati ya 11 - 12% per year. Kwa hiyo kwa milioni 35 ukipiga hesabu per year sidhani kama itafika hata 400k per month..

Lakini ni bora kuliko makato ya bank na pengine inaweza saidia kwa vitu vidogovidogo
35m, hapo atapata around 300k-320k haizid hapo
 
Wengi mnaona biashara ni kama mgodi.

Ni heli ukope ujenge kibanda chako uhamie na familia yako, lakini sio ukope uende kuanzisha biashara kama beginner.

Labda kama wewe ni mpigaji, unapata pesa za kutosha nje ya system ila wale wenzetu upo chini ya salary na malupu lupu, baba na mama wanauza pemba kijijini, unakaa na mdogo wako alie form 3, etc inabidi ufiikirie kwa kina

Chukua hio pesa kukiwa na uhakika wa kupata mzigo huo, wenye mteja aliepo tayari na faida ambayo umeshaihesabu kuwepo ukisha uza mzigo huo.

Usichukue pesa na kuenda kufungua duka ili ufurahishe nafsi yako au kwa hofu ya kuwa hautapiga hatua ya kimaisha kubwa kama hauta ongeza vyanzo vya mapato.
Wewe tu mwenyewe akili yako fupi! Mbona yapo majamaa mengi tu yametoboza!
 
Dah sijui kwa nini naamini kwenye kilimo na ufugaji zaidi🤔
Kwasababu unaogopa kufanya kitu nje ya kilimo na ufugaji unahisi utachoma mtaji na huko kwenye kilimo na ufugaji unahisi hautachoma mtaji.
 
Back
Top Bottom