Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto za kimaisha zimewaondoa wanafunzi kwenye interest za kusoma na hata walimu kwenye interest ya kufundisha1. Je, wanafunzi wetu wanaelewa/wanasoma?
2. Walimu wanajua kufundisha?
1. Are our students learning?
2. Do we (teachers) know how to teach?
Mkuu, ninahisi ulipaswa kuandika hivi, "Do our students learn?"1. Are our students learning?
The guy is asking about teaching as a whole and not the amount being paid.Do u pay much? When you pay much they teach more. Vice versa is true.
Teaching more? What do you mean?Do u pay much? When you pay much they teach more. Vice versa is true.
Mbona swali jepesi sanaa, wewe umepita shule mpaka hapo unajionaje? Namna unavyojiona ndioo majibu ya swali lakoMwalimu: Ni nini maana kufundisha? Je, unajua kufundisha? Hili ndiyo swali langu la msingi kwa walimu. Walimu mpo?
Mimi ni zao la "walimu ambao hawajui kufundisha"Mbona swali jepesi sanaa, wewe umepita shule mpaka hapo unajionaje? Namna unavyojiona ndioo majibu ya swali lako
Walimu wanafundisha lakin tatizo ni kuwa most of students , and teachers hawajui kizunguMimi ni zao la "walimu ambao hawajui kufundisha"
Je, walimu wako wanajua kufundisha?
Walimu wengi wa sasa hatujui kufundisha
Umesema kweli wanafunzi, walimu wote hawajui kizungu. Kwa hiyo kukariri ndiyo ndiyo njia kuu ya kusomeaWalimu wanafundisha lakin tatizo ni kuwa most of students , and teachers hawajui kizungu
Chenyewe kilikuja kwa Meli! So acha kukosoa, hatujazaliwa nacho, tumezaliwa na kigogo, kizaramo, sukuma n.k..Mkuu, ninahisi ulipaswa kuandika hivi, "Do our students learn?"
Constructive Criticism ina ubaya gani mkuu?Chenyewe kilikuja kwa Meli! So acha kukosoa, hatujazaliwa nacho, tumezaliwa na kigogo, kizaramo, sukuma n.k..
Kwa hiyo unafikiri ulichoandika ni sahihi kuliko nilichoandika?Mkuu, ninahisi ulipaswa kuandika hivi, "Do our students learn?"
Ndio maana nikasema "ninahisi" hivyo kuna uwezekano sipo sahihiKwa hiyo unafikiri ulichoandika ni sahihi kuliko nilichoandika?
Mkuu, ninahisi ulipaswa kuandika hivi, "Do our students learn?"