GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Posho ya Wachezaji imekuwa ikipunguzwa na kuna muda hawakupewa kabisa isivyo kawaida na Mo Dewji anafichwa
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao
3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa anachomeshwa afukuzwe
4. Kocha Msaidizi Matola na Kocha wa Makipa Mwarami kuongoza kwa Majungu kwa Kipa Kakolanya kwa Kumpendelea Manula
5. Kuna Wataalam (Waganga) Wawili Mmoja kutoka Kisiwani na mwingine Morogoro wamedhulimiwa Pesa yao japo ilitolewa
6. Hali ya Uchumi sasa Klabuni si nzuri kutokana na 'Mwekezaji' Hela yake nyingi kuitoa Kukisaidia Chama fulani katika Kampeni
7. Usaliti mkubwa baina ya Viongozi 'Waandamizi' wa Klabu kutoka pande zote mbili za Mwekezaji na ule wa Wanachama
Mo Dewji na 'Poti' wangu Magori ambaye ni Mshauri Mkuu wa Mwekezaji ambao wote kwa ujumla najua huwa mnanisoma mno tu GENTAMYCINE hapa Jamvini (JamiiForums) tafadhalini upesi sana 'okoeni' hii hali kwa kuanzia huko 'Uongozini' Kwenu mlipo ila 'ikiwapendeza' upesi sana Vunjeni Benchi lote la Ufundi kwani Kocha Mkuu 'hasikilizwi' na Msaidizi Matola ana 'Majungu' kupitiliza.
2. Kuna Mgawanyiko mkubwa baina ya Wachezaji hali ambayo imesababisha Chuki na Majungu baina yao
3. Kocha Sven Vandebroek amechokwa kutokana na Misimamo yake ya Kutopangiwa Timu na sasa anachomeshwa afukuzwe
4. Kocha Msaidizi Matola na Kocha wa Makipa Mwarami kuongoza kwa Majungu kwa Kipa Kakolanya kwa Kumpendelea Manula
5. Kuna Wataalam (Waganga) Wawili Mmoja kutoka Kisiwani na mwingine Morogoro wamedhulimiwa Pesa yao japo ilitolewa
6. Hali ya Uchumi sasa Klabuni si nzuri kutokana na 'Mwekezaji' Hela yake nyingi kuitoa Kukisaidia Chama fulani katika Kampeni
7. Usaliti mkubwa baina ya Viongozi 'Waandamizi' wa Klabu kutoka pande zote mbili za Mwekezaji na ule wa Wanachama
Mo Dewji na 'Poti' wangu Magori ambaye ni Mshauri Mkuu wa Mwekezaji ambao wote kwa ujumla najua huwa mnanisoma mno tu GENTAMYCINE hapa Jamvini (JamiiForums) tafadhalini upesi sana 'okoeni' hii hali kwa kuanzia huko 'Uongozini' Kwenu mlipo ila 'ikiwapendeza' upesi sana Vunjeni Benchi lote la Ufundi kwani Kocha Mkuu 'hasikilizwi' na Msaidizi Matola ana 'Majungu' kupitiliza.