Kama wewe ni mwanaume mkweli taja kosa ulimfanyia Ex wako Uliyempenda mpaka mkaachana, na leo unalijutia mno

Kama wewe ni mwanaume mkweli taja kosa ulimfanyia Ex wako Uliyempenda mpaka mkaachana, na leo unalijutia mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mimi kama GENTAMYCINE kosa langu nitalisema baadae kwani ni kubwa na bado naendelea kutubu kwa Mwenyezi Mungu na kumuomba msamaha huyo Ex wangu pamoja na kwamba ameshaolewa na kubahatika kuzalishwa watoto wake wazuri wawili wa kiume na kike.

Nawaomba wanaume tuliopo hapa JamiiForums tuseme ukweli juu ya kosa ulilomtendea Ex wako mpaka mkaachana na leo unalijutia na kama umeshamuomba msamaha au bado unapambana ukmuomba.

Karibuni.
 
Genta leo mada za mapenzi zimekuwa nyingi toka kwako Kuna Nini kinaendelea huko mtaani kwenu..

Ok back to the topic Mimi nililewa pombe nikawabeba wadogo zangu wawili mguu kwa mguu mpk kwa mpenzi Wangu Mary tutafika tukakutana na mama mkubwa wake ndo alikuwa anaishi Naye na Mary aliwahi kuniambia kuwa mama mkubwa wake NI Simba mkali Sana.

Nilimkosa Mary ila mamkubwa alinikata jicho Tena nakumbuka enzi hizo Nilikuwa Niko na double kick at least ingekuwa bia Mary alivopewa hio story alinitema ila nilikuwaga choka mbaya week ijayo nampango wa kwenda dar kumcheki Tena pengine atanitunuku ingawaje Nina goma lingine
 
Ulichokiwekeza hapa JamiiForums ni kuja Kunishambulia, Kunichokoza na Kunidhihaki GENTAMYCINE ili nikujibu hovyo na ID yako iweze Kujulikana haraka lakini pia na Majibu yangu yakiwa ni ya Kukuudhi uweze Kuniripoti kwa Moderators na Genius Mchukiwa Mimi nipate ( nipewe ) BAN ya Mwezi au Miezi nilizozizoea na Ufurahi / Mfurahi.

Unajitahidi mno kuanzisha ID's nyingi ili tu Kupambana na Mimi GENTAMYCINE ambaye tayari nina Kibali Kitakatifu kutoka kwa Mwenyezi Mungu na ndiyo maana nikawa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kuliko Wewe na hao Uncircumcised Fools and Baboons Wenzako.

Kitu pekee msichokijua tu ni kwamba Umaarufu wangu Uliotukuka hapa JamiiForums unachangiwa kwa 99.9999% na nyie Haters wangu Kutwa Kuhangaika nami GENTAMYCINE na ndiyo maana mnaona hadi sasa nina Utajiri wa Followers hapa JamiiForums wapatao 115+ huku hata kama nikiwa BANNED bado tu naendelea Kuzungumza na Kujadiliwa kuliko nyie mlioko Kutwa.

Natural Charm yangu inawateseni!!!!!
 
Genta leo mada za mapenzi zimekuwa nyingi toka kwako Kuna Nini kinaendelea huko mtaani kwenu..

Ok back to the topic Mimi nililewa pombe nikawabeba wadogo zangu wawili mguu kwa mguu mpk kwa mpenzi Wangu Mary tutafika tukakutana na mama mkubwa wake ndo alikuwa anaishi Naye na Mary aliwahi kuniambia kuwa mama mkubwa wake NI Simba mkali Sana.

Nilimkosa Mary ila mamkubwa alinikata jicho Tena nakumbuka enzi hizo Nilikuwa Niko na double kick at least ingekuwa bia Mary alivopewa hio story alinitema ila nilikuwaga choka mbaya week ijayo nampango wa kwenda dar kumcheki Tena pengine atanitunuku ingawaje Nina goma lingine
Kwahiyo uliambiwa GENTAMYCINE hakazi ( hatii ) au hana Nyege au ni Mkuyengeless Sirini Kwake?
 
Niliacha wakapigana na mchepuko wangu baada ya vita nikafukuza wote.....ila sitomuacha
 
Back
Top Bottom