Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kuna kipindi huwa tunapata matatizo ya ghafla, eidha msiba, maradhi etc. Kipindi kibaya siku zote huja ukiwa hauna kitu yaani mweupe kabisa mfukoni na unakuta kuna uhitaji wa pesa.
Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki, ndugu au mtaani kwako jitafakari aiseeeh.
Kuna rafiki yangu nilimtafutia kazi mahali, vigezo vyote alikidhi, ila tatizo lilikuja barua ya mdhamini hana, mpaka leo hii ninapozungumza amekosa kazi kwa ajili ya mdhamini, tuishi vizuri na watu.
Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki, ndugu au mtaani kwako jitafakari aiseeeh.
Kuna rafiki yangu nilimtafutia kazi mahali, vigezo vyote alikidhi, ila tatizo lilikuja barua ya mdhamini hana, mpaka leo hii ninapozungumza amekosa kazi kwa ajili ya mdhamini, tuishi vizuri na watu.