Kama wewe ni mwanaume na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukapewa milioni 1 hadi 3, jitafakari

Kama wewe ni mwanaume na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukapewa milioni 1 hadi 3, jitafakari

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kuna kipindi huwa tunapata matatizo ya ghafla, eidha msiba, maradhi etc. Kipindi kibaya siku zote huja ukiwa hauna kitu yaani mweupe kabisa mfukoni na unakuta kuna uhitaji wa pesa.

Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki, ndugu au mtaani kwako jitafakari aiseeeh.

Kuna rafiki yangu nilimtafutia kazi mahali, vigezo vyote alikidhi, ila tatizo lilikuja barua ya mdhamini hana, mpaka leo hii ninapozungumza amekosa kazi kwa ajili ya mdhamini, tuishi vizuri na watu.
 
2milioni?
nyingi sana hizo!
Mimi ile kurupu natakiwa nilipe lakimoja ili niokoe uhai wangu sina sehemu ya kukopa!
Yaani kwa ufupi naishi kama mtoto wa bata! Sijisifii ila uhalisia uko hivyo! Ingawa tunapambana sana ila wapi ngoma bado bila bila
 
Kuna kipindi huwa tunapata matatizo ya ghafla, eidha msiba, maradhi etc. Kipindi kibaya siku zote huja ukiwa hauna kitu yaani mweupe kabisa mfukoni na unakuta kuna uhitaji wa pesa.

Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki, ndugu au mtaani kwako jitafakari aiseeeh,

Kuna rafiki yangu nilimtafutia kazi mahali , vigezo vyote alikizi, ila tatizo lilikuja barua ya mdhamini hana, mpaka leo hii ninapozungumza amekosa kazi kwa ajili ya mdhamini, tuishi vizuri na watu.
Wewe bila shaka utakua kijana mdogo alie ajiliwa hivi karibuni, au mshamba au limbukeni alie toboa kwenye shule za ummah st kayumba. Au mjinga fulani fulani kwa kuzaliwa tu.
 
Kuna kipindi huwa tunapata matatizo ya ghafla, eidha msiba, maradhi etc. Kipindi kibaya siku zote huja ukiwa hauna kitu yaani mweupe kabisa mfukoni na unakuta kuna uhitaji wa pesa.

Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki, ndugu au mtaani kwako jitafakari aiseeeh,

Kuna rafiki yangu nilimtafutia kazi mahali , vigezo vyote alikizi, ila tatizo lilikuja barua ya mdhamini hana, mpaka leo hii ninapozungumza amekosa kazi kwa ajili ya mdhamini, tuishi vizuri na watu.
Wanaume huwa tunaambiwa kwamba, kama huwezi/ hutaki kuwasaidia wanaume wenzako wanaohaha bila matumaini kusaka mlo wao wa siku, basi usiwadhihaki.

Ikiwa umeweza kupata mrija wa kuwa na kipato kikubwa haimaanishi kuwa wewe una akili sana au mhangaikaji sana, na asiye na kipato kikubwa ni mjinga ama no mzembe sana.

Tusitumie uhuru huu wa majukwaa kwa kudhihaki ambao kwa sasa hali za vipato vyao si nzuri, na hata kuwa na threads kama hizi za kuwavunja moyo. Hata wao hawayapendi maisha wanayoishi.

Kama hatuwezi kuwasaidia, basi tuwatie moyo pengine kesho itakuwa zamu yao. Wataweza kuwa na uhakika wa mlo wa hata kesho kutwa yake.

Ova
 
Wewe bila shaka utakua kijana mdogo alie ajiliwa hivi karibuni, au mshamba au limbukeni alie toboa kwenye shule za ummah st kayumba. Au mjinga fulani fulani kwa kuzaliwa tu.
Tena mbuzi fulani imevamia maisha ya mjini
Huko alikotoka hata hawakopeshani chumvi
Lakini yote mambo, tumpe nafasi, maana hawa mbuzi wakizishika mjini, ni tafrani tu
 
2milioni?
nyingi sana hizo!

Mimi ile kurupu natakiwa nilipe lakimoja ili niokoe uhai wangu sina sehemu ya kukopa!
Yaani kwa ufupi naishi kama mtoto wa bata! Sijisifii ila uhalisia uko hivyo! Ingawa tunapambana sana ila wapi ngoma bado bila bila
Siku likikukuta jambo kiasi chochote kinachohitajika kitapatikana....kitatoka wapi? Mm na ww hatujui
 
Wanaume huwa tunaambiwa kwamba, kama huwezi/ hutaki kuwasaidia wanaume wenzako wanaohaha bila matumaini kusaka mlo wao wa siku, basi usiwadhihaki.

Ikiwa umeweza kupata mrija wa kuwa na kipato kikubwa haimaanishi kuwa wewe una akili sana au mhangaikaji sana, na asiye na kipato kikubwa ni mjinga ama no mzembe sana.

Tusitumie uhuru huu wa majukwaa kwa kudhihaki ambao kwa sasa hali za vipato vyao si nzuri, na hata kuwa na threads kama hizi za kuwavunja moyo. Hata wao hawayapendi maisha wanayoishi.

Kama hatuwezi kuwasaidia, basi tuwatie moyo pengine kesho itakuwa zamu yao. Wataweza kuwa na uhakika wa mlo wa hata kesho kutwa yake.

Ova
Wenzio walikufa kwenye MV Spice ukabaki wewe tu! Hizi hekima hazipatikani tena b…
Mungu akubariki.
 
Back
Top Bottom