Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Kuwa na mahusiano mazuri na watu ni kitu kingine na kuwa na uhakika wa kupata milioni mbili ukiwa na shida ni kitu kingine.Sioni kama ni dhihaka, anachoongelea ni cha kutafakarisha. Mfano unapata msiba, hakuna hata wa kukupa rambirambi, taswira inayojitokeza ni kuwa, huna mahusiano mazuri na watu, ama mahusiano yenu ni ya kinafiki.
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Unaweza kuwa na mahusiano mazuri na 'pangu pakavu' wenzio ambao nao wanahemea kama wewe, unadhani unaweza ipata milioni toka kwao?
Kuna dhihaka kubwa sana hapo ila imejaribu kuwaficha wanaopokea mambo bila ya kutafakari kwa kina, tulia utaiona.
Kwa hiyo unataka tuelewe kuwa, ukiwa na kitu huna haja ya kuwa na mahusiano mazuri na watu?
Ova