Kama wewe ni mwanaume wa Dar,usisumbuke pm,

Hahaa unaona sasa jinsi ulivyotokwa na povu. ... sasa unadhani tz ni wapi
..

Hapa tumeongelea dar habari za Nairobi Zina toka wapi ...kwahiyo unaona kuwa Nairobi ni pazuri kuliko Hong Kong ..je ukifika huko siutalikana kabisa taifa lako mpaka kabila
Hah kwl ww wa dar.Halafu watu wa hivi(malimbukeni) wa mzizima ni wengi sn.Ndo huwa mambo yenu haya et "Dar ndo Tz"Sasa ukifika Nairobi au Harare si utachanganyikiwa!!! hako ka mji ni Sawa na kijiji
 
Kwani we ni wa dar mkuu?, usituharibie sisi wa Chitohore
 
Hah mkuu kumbe unajua kuwa si chochote dar!!!?Acha kunisngusha ss baharia.Usiwe limbukeni wa hako ka fishing village.Na usidharau watu wa Namtumbo, Kolomije,Madaba,Simiyu,Katavi etc.Ni ushauri tu lakini, waweza ignore.
 
Kumbe Tarime nina vigezo,ngoja nitafute nauli ya kwenda huko pm




NB:Ila after 30+ usije tugeuka wa mikoani na kufuta vigezo vyote na kuanza kupokea maombi toka hata nje ya nchi(africa mashariki?
 
Mimi nakaa Morogoro,naruhusiwa kuja PM?
 
Ngoja mimi wa Sumbawanga kwa akina agata edward, nitaribu bahati yangu.
 
Ndiyo,kama unataka olewa na mwanaume wa dar?!!
 
Biashara bila matangazo hakuna biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…