Kama wewe ni mwanaume wa Dar,usisumbuke pm,

Kama wewe ni mwanaume wa Dar,usisumbuke pm,

Hahaa unaona sasa jinsi ulivyotokwa na povu. ... sasa unadhani tz ni wapi
..

Hapa tumeongelea dar habari za Nairobi Zina toka wapi ...kwahiyo unaona kuwa Nairobi ni pazuri kuliko Hong Kong ..je ukifika huko siutalikana kabisa taifa lako mpaka kabila
Hah kwl ww wa dar.Halafu watu wa hivi(malimbukeni) wa mzizima ni wengi sn.Ndo huwa mambo yenu haya et "Dar ndo Tz"Sasa ukifika Nairobi au Harare si utachanganyikiwa!!! hako ka mji ni Sawa na kijiji
 
Kwan hiyo k.u.m.a yako INA hyperglycemia kulko za wadada wengine au.....
Yaan hakuna wanaume wananikera kama wanaolilia k za jf wakat mtaani k ziko njenje mpk tunazikimbia....
Wanaume wa huku mnaferi wapi,kung"ang'ana pm ya MTU usiyemjua hata sura??? Puuuuuuuu
Kwani we ni wa dar mkuu?, usituharibie sisi wa Chitohore
 
Hahaa unaona sasa jinsi ulivyotokwa na povu. ... sasa unadhani tz ni wapi
..

Hapa tumeongelea dar habari za Nairobi Zina toka wapi ...kwahiyo unaona kuwa Nairobi ni pazuri kuliko Hong Kong ..je ukifika huko siutalikana kabisa taifa lako mpaka kabila
Hah mkuu kumbe unajua kuwa si chochote dar!!!?Acha kunisngusha ss baharia.Usiwe limbukeni wa hako ka fishing village.Na usidharau watu wa Namtumbo, Kolomije,Madaba,Simiyu,Katavi etc.Ni ushauri tu lakini, waweza ignore.
 
Kumbe Tarime nina vigezo,ngoja nitafute nauli ya kwenda huko pm




NB:Ila after 30+ usije tugeuka wa mikoani na kufuta vigezo vyote na kuanza kupokea maombi toka hata nje ya nchi(africa mashariki?
 
Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar

Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako

Asante
Mimi nakaa Morogoro,naruhusiwa kuja PM?
 
Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar

Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako

Asante
Ngoja mimi wa Sumbawanga kwa akina agata edward, nitaribu bahati yangu.
 
Back
Top Bottom