Kama wewe ni mzalendo kwanini ukatae msaada wa uchunguzi kutoka Scotland Yard?

Wanaccm wote, kuanzia Samia mpk yule wa chini kabisa, mtu kama Musiba, wote hawataki amani iwepo nchini
 
Tagizo nchi hii, majitu yale yaliyo maovu kupindukia, yamepewa mamlaka ndani ya Serijali, hivyo yanatumia mamlaka yao Serikali kuendeleza ushetani wao.
 
ukweli wanaujua sasa walete wachunguzi wa nini si itakuwa garama za bure?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…