Kama Yanga SC wako vyema kwa sasa imekuwaje wamezidiwa idadi na Simba SC kwa Wachezaji walioitwa leo Taifa Stars?

Kama Yanga SC wako vyema kwa sasa imekuwaje wamezidiwa idadi na Simba SC kwa Wachezaji walioitwa leo Taifa Stars?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Ni Kocha Mwendawazimu tu wa Taifa Stars ndiyo ataacha Kuita Wachezaji wengi wa Simba SC kuichezea Taifa Stars na akawaita Wachezaji wengi wasiojua wa Yanga SC.

Asante na Hongera mno Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen kwa Kuita Wachezaji 9 wa Simba SC Taifa Stars na Kuita Wachezaji 7 tu wa Wasiojua FC (Yanga SC)

Kwa jinsi ulivyonifurahisha Kocha Kim Paulsen sasa ninarejea tena rasmi Kuishabikia Taifa Stars na hakikisha hata katika Mechi zote Mbili dhidi ya Uganda au na Taifa lingine unawapanga Wachezaji wote hawa 9 wa Simba SC na Yanga SC mpange Mmoja tu au ikiwezekana Usimpange kabisa bali wapange wa Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa Stars
Mungu ibariki Simba SC
Mungu mbariki sana MINOCYCLINE
 
Hivi unajua Vigezo vya kuchagua wachezaji wa Timu ya Taifa?

Au unafikiri MANZOKI wa Yanga anaweza kucheza timu ya taifa ya Tanzania?
 
Hivi unajua Vigezo vya kuchagua wachezaji wa Timu ya Taifa?
Na kama huwezi kuandika walau vigezo vitatu basi nakushauri ufute post yako!!!
Vigezo ni kuhakikisha Kocha anaita wengi wa Simba SC na Wachache wa Wasiojua Yanga SC.
 
Ni Kocha Mwendawazimu tu wa Taifa Stars ndiyo ataacha Kuita Wachezaji wengi wa Simba SC kuichezea Taifa Stars na akawaita Wachezaji wengi wasiojua wa Yanga SC.

Asante na Hongera mno Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen kwa Kuita Wachezaji 9 wa Simba SC Taifa Stars na Kuita Wachezaji 7 tu wa Wasiojua FC (Yanga SC)

Kwa jinsi ulivyonifurahisha Kocha Kim Paulsen sasa ninarejea tena rasmi Kuishabikia Taifa Stars na hakikisha hata katika Mechi zote Mbili dhidi ya Uganda au na Taifa lingine unawapanga Wachezaji wote hawa 9 wa Simba SC na Yanga SC mpange Mmoja tu au ikiwezekana Usimpange kabisa bali wapange wa Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa Stars
Mungu ibariki Simba SC
Mungu mbariki sana MINOCYCLINE
umeandika ukiwa mzima au kuna kitu umetumia?
 
Chizi kalogwa Tena, kwahiyo unataka Mayele, Aucho, Bangala, Juma Shabani, Aziz Ki, Jesus Moroco, Lomalisa, Kambole, Diara hawa nao waitwe Taifa stars?
 
Chizi kalogwa Tena, kwahiyo unataka Mayele, Aucho, Bangala, Juma Shabani, Aziz Ki, Jesus Moroco, Lomalisa, Kambole, Diara hawa nao waitwe Taifa stars?
Ni Karogwa na siyo Kalogwa sawa? Haya rekebisha upesi hapo tafadhali ili Usitikwaze zaidi wenye Kiswahili chetu pendwa.
 
Ukiona mtu analeta mambo ya usimba na uyanga hata kwenye timu ya Taifa ujue akili yake inahitaji kuwa scanned.
 
Ungekuwa ndu yangu ningebadilishana na gunia la ufuta,hopeless kabisa
Ni Kocha Mwendawazimu tu wa Taifa Stars ndiyo ataacha Kuita Wachezaji wengi wa Simba SC kuichezea Taifa Stars na akawaita Wachezaji wengi wasiojua wa Yanga SC.

Asante na Hongera mno Kocha wa Taifa Stars Kim Paulsen kwa Kuita Wachezaji 9 wa Simba SC Taifa Stars na Kuita Wachezaji 7 tu wa Wasiojua FC (Yanga SC)

Kwa jinsi ulivyonifurahisha Kocha Kim Paulsen sasa ninarejea tena rasmi Kuishabikia Taifa Stars na hakikisha hata katika Mechi zote Mbili dhidi ya Uganda au na Taifa lingine unawapanga Wachezaji wote hawa 9 wa Simba SC na Yanga SC mpange Mmoja tu au ikiwezekana Usimpange kabisa bali wapange wa Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Taifa Stars
Mungu ibariki Simba SC
Mungu mbariki sana MINOCYCLINE
 
Asingeita kabisa Toka Yanga timu yenye makombe mengi kuliko mbumbumbu ,mikia , kolo na we kundu wa msimbazi

Nitafurahi kbs taifa stars ikihenyeshwa kwa magoli mengi
 
Back
Top Bottom