Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kyombo, Kakolanya, Kibu, Kennedy Juma!!!!Wachezaji anachagua Karia & Co
Najua unajua wachezaji wa inayoitwa taifa star inapata tabu dhidi Somalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kyombo, Kakolanya, Kibu, Kennedy Juma!!!!Wachezaji anachagua Karia & Co
Najua unajua wachezaji wa inayoitwa taifa star inapata tabu dhidi Somalia
ni KALOGWA. Ulozi siyo urozi.Ni Karogwa na siyo Kalogwa sawa? Haya rekebisha upesi hapo tafadhali ili Usitikwaze zaidi wenye Kiswahili chetu pendwa.
Tupigwe tuKyombo, Kakolanya, Kibu, Kennedy Juma!!!!
Unamkosoa mtu kwakujifanya unajua kumbe wewe ndo hujui.Hiyo kurogwa niyakwenu uko wenye maulimi mazito na magumu.Ni Karogwa na siyo Kalogwa sawa? Haya rekebisha upesi hapo tafadhali ili Usitikwaze zaidi wenye Kiswahili chetu pendwa.
Unafikiri kutumia kitu gani ktk viungo vyako?Vigezo ni kuhakikisha Kocha anaita wengi wa Simba SC na Wachache wa Wasiojua Yanga SC.
Amaaa umelewa kipigo 2-1Mashabiki wa Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe- Luc Eymael Kocha wa zamani wa Yanga SC Raia wa Ubelgiji.