Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Hayo ni maneno ya Shetani.
1:1 MATHAYO. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Lete andiko ktk bibilia kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo yesu ni mwana wa Mungu.
QUR-AN 43:68-70.
68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.
69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.
70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Lete andiko ktk bibilia utuambie Mkrist akifa anaenda wapi?
 
Kwanza lazima utambue,tunazungumzia MUNGU aliyejidhihirisha katika mwili,na aliyekua 100%mwanadamu alipokua duniani,na100% MUNGU, wasn't human like Muddy, ambaye kaburi lake mnalo kule na mifupa yake bado ipo palepale.
Huyu YESU KRISTO, kaburi lake halina mabaki ya mtu, it is empty tomb,
Hakuwahi kusafiri zaidi ya maili mia moja, kutoka mji wake, Lakini mpaka leo hii ulimwemgu mzima zaidi ya watu billion tano,wanamjua huyu YESU KRISTO.
No one is sure,how He look like,alizaliwa sehemu ya Dunia inayounganisha mabara matatu, ulaya, Africa na Asia.
Hakuna anayemjua kwa sura yake,lengo wasitokee wajinga wakaanza kuabudu sanamu au sura yake, Kama vile mnavyohangaikia kule Uarabuni.
He is the one who has power over nature and diseases.
He lifted up human ethics to the highest level,hakuleta jihad, alisema akupigae shavu la kushoto mgeuzie na la kulia.
 
Wapi Yesu au Muhammad walikula ubwabwa au kande au ugali basi nyinyi mnaokula ni waovu maana wao hawakula hayo [emoji1787][emoji1787]
Watu wengine ni kama walipokuwa wanazaliwa mama alipana miguu ubongo ukacheza
 
Uliona wapi Yesu kaagiza watu wazikwe kama yeye atavyozikwa?
 
Hakuna muislam, anayemjua Yesu.
Ukitaka kumjua Yesu, sharti ukubali kuwa Bwana na Mwokozi lakini pia ni Mwana wa Mungu.
Wala hakuna siasa kinyume na hpo mbinguni utoboi..
YESU SIO NABII ISSA
Hayo ni maneno ya Shetani.
1:1 MATHAYO. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Lete andiko ktk bibilia kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo yesu ni mwana wa Mungu.
QUR-AN 43:68-70.
68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.
69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.
70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Lete andiko ktk bibilia utuambie Mkrist akifa anaenda wapi?
 
Hayo ni maneno ya Shetani.
1:1 MATHAYO. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Lete andiko ktk bibilia kuanzia mwanzo hadi ufunuo lisemalo yesu ni mwana wa Mungu.
QUR-AN 43:68-70.
68. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.
69. Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.
70. Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Lete andiko ktk bibilia utuambie Mkrist akifa anaenda wapi?
Yohana 10
36 je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
 
Yohana 10
36 je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
Acha stori za watu. Lete andiko Yesu anasema mimi ni Mwana wa Mungu.
Au Maryam anasema huyu mwanangu babayake ni Mundu, au Mungu mwenyewe anasema Yesu ni mwanangu.
 
Alizikwa kwa mujibu wa Mila za kiyahudi, na hakuzikwa kiislamu, kikristu Wala kiarabu kama baadhi ya watu waliovimbewa wanasema alikuwa mwarabu.

Kila jamii Ina Mila zake za mazishi, na ndio maana wale wanawake walikwenda kumpaka mafuta siku ya tatu kama ilivyokuwa Mila za kiyahudi.

Yesu aliishi Mila ya jamii alikozaliwa lakini hakumaanisha kuwa alikataa Mila zingine yeye alikuja kuhubiri neno na sio Mila. Kila jamii wakati huo ilikuwa na tamaduni zake za mazishi, mathalani angezaliwa usukumani angezikwa kwa miila za kisukuma. Mila hazina uhusiano wowote na neno la Mungu.

Kuna wajinga wameiga Kila kitu , kuanzia Mavazi, chakula, Lugha, na Kila kitu na kuacha Mila zao wakidhani wanaofuata neno la Mungu.
Mungu huyu huyu ndiye alitupa Mila tofauti totauti, lugha tofauti na tamaduni tofauti. Kuacha lugha Mungu aliyokupa, Mila , Mavazi, tamaduni ikiwapo za mazishi na kuiga za mataifa mengine ni upungufu wa ubongo kichwani na ni kumkosoa Mungu kuwa hajui lugha aliyokupa Wala tamaduni alizokupa
 
Kwanza lazima utambue,tunazungumzia MUNGU aliyejidhihirisha katika mwili,na aliyekua 100%mwanadamu alipokua duniani,na100% MUNGU, wasn't human like Muddy, ambaye kaburi lake mnalo kule na mifupa yake bado ipo palepale.
Huyu YESU KRISTO, kaburi lake halina mabaki ya mtu, it is empty tomb,
Hakuwahi kusafiri zaidi ya maili mia moja, kutoka mji wake, Lakini mpaka leo hii ulimwemgu mzima zaidi ya watu billion tano,wanamjua huyu YESU KRISTO.
No one is sure,how He look like,alizaliwa sehemu ya Dunia inayounganisha mabara matatu, ulaya, Africa na Asia.
Hakuna anayemjua kwa sura yake,lengo wasitokee wajinga wakaanza kuabudu sanamu au sura yake, Kama vile mnavyohangaikia kule Uarabuni.
He is the one who has power over nature and diseases.
He lifted up human ethics to the highest level,hakuleta jihad, alisema akupigae shavu la kushoto mgeuzie na la kulia.
Ni kweli mfupa wa Yesu haupo, hiyo ni dalili tosh kuwa yesu hajafa. Na ukithibitisha kua amekufa basi ujue Yesu ataenda Motoni.
WAGALATIA 3:13.
 
Alizikwa kwa mujibu wa Mila za kiyahudi, na hakuzikwa kiislamu, kikristu Wala kiarabu kama baadhi ya watu waliovimbewa wanasema alikuwa mwarabu.

Kila jamii Ina Mila zake za mazishi, na ndio maana wale wanawake walikwenda kumpaka mafuta siku ya tatu kama ilivyokuwa Mila za kiyahudi.

Yesu aliishi Mila ya jamii alikozaliwa lakini hakumaanisha kuwa alikataa Mila zingine yeye alikuja kuhubiri neno na sio Mila. Kila jamii wakati huo ilikuwa na tamaduni zake za mazishi, mathalani angezaliwa usukumani angezikwa kwa miila za kisukuma. Mila hazina uhusiano wowote na neno la Mungu.

Kuna wajinga wameiga Kila kitu , kuanzia Mavazi, chakula, Lugha, na Kila kitu na kuacha Mila zao wakidhani wanaofuata neno la Mungu.
Mungu huyu huyu ndiye alitupa Mila tofauti totauti, lugha tofauti na tamaduni tofauti. Kuacha lugha Mungu aliyokupa, Mila , Mavazi, tamaduni ikiwapo za mazishi na kuiga za mataifa mengine ni upungufu wa ubongo kichwani na ni kumkosoa Mungu kuwa hajui lugha aliyokupa Wala tamaduni alizokupa
Baadhi ya watu wanasema yesu alikuwa ni mwaarabu.
Sasa wewe ambaye hujavembewa tuambie kama yesu sio mwarabu, alikua nani?
 
Back
Top Bottom