Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Kiukweli nasadiki kopi yake niliiyona hija Pugu kiukweli Yesu Kristu ni hai.
 
Anyway suti ni sanda ya kisasa, siku nyingine uwe na maswali yenye kichwa hadi miguu
Jibu zuri,ukisema tufuate Kila kilichokuwa kinafanyika enzi hizo tukileta Leo Kuna watu wataonekana vichaa
 
Naam,

Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza sasa kuhusu Sanda hii ambayo Jamii kubwa miongoni mwa wakazi wa Dunia hii huamini ni Nguo takatifu aliyovikwa bwana baada ya kusulubiwa.

Kitambaa hiki kulingana na tafiti inaonyesha Taswira ya Mtu aliesulubiwa na kusulubiwa ilikuwa adhabu ya kawaida kabisa wakati huo hilo ni sawa.

Na kile kila aliyetafiti alikuja na findings zake na majibu yake , kama tulivyoona kipande cha kwanza

Lakini kutokana na wakosoaji ,bado kiu ya wengi ni kutaka kujua kweli aliyesulubiwa ni Yesu kristo au kinyume chake. Ingawa Papa Benedict XVI alitangaza kuwa kitambaa hiki ni kweli Yesu Kristo alikafiniwa kwacho.

4B6013AB-DC51-4BF3-ACA0-E70E75283B44.jpeg

Sindonology ni utafiti wa "kisayansi" wa Shroud of Turin. Lakini Kwa bahati mbaya, wengi miongoni mwa wanasayansi wanaofanya uchunguzi na hubase katika kujaribu kuthibitisha kwamba shroud ni nguo halisi ambayo alivikwa Bwana Yesu Kristo tofauti na watafiti ambao hupinga.

DF73059C-0A32-4108-BFF7-EE25F5063702.jpeg

Naam kama tulivokwisha kuelezea kwa undani katika sehemu ya kwanza , vitu ambavyo vilipatikana katika Shourd na Hata image ilivyonekana , Position na hata kuonyesha Rigor mortis.

Pia tuliongelea habari ya Bloodstain kupatikana katika kitambaa hicho. Si ndio.

Lakini Sheria za kiebrania kabla ya kuzikwa maiti basi husafishwa kabla ya kuvikwa sanda na hivyo damu isingeweza kuwepo lakini hakuna ushahidi wowote wa moja kwa moja kwamba bwana alisafishwa kabla ya kukafiniwa na Sanda na kuzikwa au alizikwa akiwa vivyo hivyo pasi na kusafishwa.

FC953B55-B8A5-4B4F-9CCB-C889B6501110.jpeg
Mtaalamu wa Kemia bwana Walter McCrone alibainisha ya kwamba katika vipimo vilivyofanyika kuna dutu imepatikana kwenye shroud ambayo ni mchanganyiko wa Ochre na Vermilion , orchre ni Colour pigment ambayo imecontain ferric oxide. Ambayo hubadilisha rangi kutoka kwenye Light yellow kuwa Brown au Red na Vermilion hii ni red pigment from mercury sulphide.

Hivyo basi hii inafichua sio damu halisi kama ilivyobainishwa na watafiti wengine, lakini vipimo hivi vilifanyika sehemu ndogo tu ya Kitambaa hicho na ilifanywa hivyo ili kuepusha kuharibu kitambaa hicho.

Na hapa hapa watafiti wengine wakaongeza kwa namna sanda inavyocover uso ingekuwa ngumu sana uso kutambulika, kwa kutumia kitambaa hiki.

033E547B-0D59-4C4B-9952-DCEEFFF78483.jpeg

Bw.WALTER McCRONE
"If the cloth were genuine, the face and body should be hardly recognizable as such, and should look something more like this. The figure does not satisfy the geometric conditions of contact formation"

LABDA LEORNARDO DA'VINCI ALIUHADAA (DANGANYA) ULIMWENGU.

EE24C5EF-8C18-4BF0-9BB0-7D071CD11AFA.jpeg
Bro, unateseka hadi na maiti?
 
haaaaaahaaaa yaani mungu anakufa? mungu yesu anavishwa sanda sasa nani anaetupa sisi mvua na matunda ikiwa mungu kafa

Alifufuka pia hicho kipande naona umekisahau ndicho kinamfanya awe Mungu.
 
Sio kila kitu kuiga.

Yesu alishuka kutoka mlimani na kuanza kutembea juu ya maji akielekea kwenye mashua. Mitume walipomwona mtu akitembea juu ya maji, waliogopa sana.

Yesu alitembea juu ya bahari, wewe kwenye meli una fata nini?
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Unashindwa kutofautisha teknolojia na utamaduni na mafundisho ya dini, swali je wote wa kipnd cha yesu walizikwa mapongoni? Jbu ni hapana! Na je wote walivikwa sanda? Jibu ni ndio! Kwann walivikwa sanda? Je walikua hawana nguo nzuri? Jibu hapana! Sababu ni nini mpaka hawakuvikwa sanda ni maagizo ya dini, teknolojia au utamaduni? Jbu unalo mwenyew
Naona unajichanganya mwenyewe kwenye hoja yako.
Kwani teknolojia ni nini hadi ujuzi wa kutengeneza sanda usiwe teknolojia na ushonaji suti nao haitumiki teknolojia?
Kwa akili yako kwenye kutengeneza magari tu ndiyo teknolojia?
Tuanzie kwenye maana ya teknolojia kwanza.

Unaweza kutoa ushahidi kwamba watu wote wakati wa Yesu walivikwa sanda?
 
Naam,

Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza sasa kuhusu Sanda hii ambayo Jamii kubwa miongoni mwa wakazi wa Dunia hii huamini ni Nguo takatifu aliyovikwa bwana baada ya kusulubiwa.

Kitambaa hiki kulingana na tafiti inaonyesha Taswira ya Mtu aliesulubiwa na kusulubiwa ilikuwa adhabu ya kawaida kabisa wakati huo hilo ni sawa.

Na kile kila aliyetafiti alikuja na findings zake na majibu yake , kama tulivyoona kipande cha kwanza

Lakini kutokana na wakosoaji ,bado kiu ya wengi ni kutaka kujua kweli aliyesulubiwa ni Yesu kristo au kinyume chake. Ingawa Papa Benedict XVI alitangaza kuwa kitambaa hiki ni kweli Yesu Kristo alikafiniwa kwacho.

4B6013AB-DC51-4BF3-ACA0-E70E75283B44.jpeg

Sindonology ni utafiti wa "kisayansi" wa Shroud of Turin. Lakini Kwa bahati mbaya, wengi miongoni mwa wanasayansi wanaofanya uchunguzi na hubase katika kujaribu kuthibitisha kwamba shroud ni nguo halisi ambayo alivikwa Bwana Yesu Kristo tofauti na watafiti ambao hupinga.

DF73059C-0A32-4108-BFF7-EE25F5063702.jpeg

Naam kama tulivokwisha kuelezea kwa undani katika sehemu ya kwanza , vitu ambavyo vilipatikana katika Shourd na Hata image ilivyonekana , Position na hata kuonyesha Rigor mortis.

Pia tuliongelea habari ya Bloodstain kupatikana katika kitambaa hicho. Si ndio.

Lakini Sheria za kiebrania kabla ya kuzikwa maiti basi husafishwa kabla ya kuvikwa sanda na hivyo damu isingeweza kuwepo lakini hakuna ushahidi wowote wa moja kwa moja kwamba bwana alisafishwa kabla ya kukafiniwa na Sanda na kuzikwa au alizikwa akiwa vivyo hivyo pasi na kusafishwa.

FC953B55-B8A5-4B4F-9CCB-C889B6501110.jpeg
Mtaalamu wa Kemia bwana Walter McCrone alibainisha ya kwamba katika vipimo vilivyofanyika kuna dutu imepatikana kwenye shroud ambayo ni mchanganyiko wa Ochre na Vermilion , orchre ni Colour pigment ambayo imecontain ferric oxide. Ambayo hubadilisha rangi kutoka kwenye Light yellow kuwa Brown au Red na Vermilion hii ni red pigment from mercury sulphide.

Hivyo basi hii inafichua sio damu halisi kama ilivyobainishwa na watafiti wengine, lakini vipimo hivi vilifanyika sehemu ndogo tu ya Kitambaa hicho na ilifanywa hivyo ili kuepusha kuharibu kitambaa hicho.

Na hapa hapa watafiti wengine wakaongeza kwa namna sanda inavyocover uso ingekuwa ngumu sana uso kutambulika, kwa kutumia kitambaa hiki.

033E547B-0D59-4C4B-9952-DCEEFFF78483.jpeg

Bw.WALTER McCRONE
"If the cloth were genuine, the face and body should be hardly recognizable as such, and should look something more like this. The figure does not satisfy the geometric conditions of contact formation"

LABDA LEORNARDO DA'VINCI ALIUHADAA (DANGANYA) ULIMWENGU.

EE24C5EF-8C18-4BF0-9BB0-7D071CD11AFA.jpeg



NONSENSE
 
Huko kwetu ukifa unazikwa na ngozi ya ngombe maisha yote ngozi haiozi wababu zetu wako Hadi Leo na ngoz zao za ngombe waliviringishwa Kisha wakafukiwa Kuna kaburi lilitaka kuamishwa ilikutwa nagozi ikiwa vikevvilena mifupa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
MAGDALENA siyo jina la mtu ni jina la mji (Magdala) aliokozaliwa huyo Mariamu. Siku hizi limegeuka kuwa jina kwa wanawake. Magdalene/Magdalena maana yake anaetoka mji wa Magdala. Ni kama kumuita mtu Mkibosho au Mmarangu kwa sababu anatoka Kibosho au Marangu.
 
Back
Top Bottom