Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Imani ya kikristo haijajengwa kwenye mfumo na tamaduni za kiyahudi,tofauti na waisalmu huwezi tofautisha hii ni imani au utamaduni wa waarabu,ndio mana hua na sema uislam ni utamaduni wa waarabu na wala sio imani.
Ila imani yenu inafuata maelekezo ya papa na wazungu a.k.a upinde
 
Swali lako Wala halina mashiko maana hujui tofauti kati ya knowledge na certificate. Mtume Petro alijifunza wapi theology mpaka Leo maprofesa wanatilofautiana kwenye kuandika exegesis za nyaraka

Swali lako Wala halina mashiko maana hujui tofauti kati ya knowledge na certificate. Mtume Petro alijifunza wapi theology mpaka Leo maprofesa wanatilofautiana kwenye kuandika exegesis za nyaraka zake??
Sawa iyo knowledge yako umepata wapi? Nmekubali kuwa knowledge ni independent variable, je umezaliwa nayo au umejifunzia wapi? AU experience😀😀😀😀
 
Sawa iyo knowledge yako umepata wapi? Nmekubali kuwa knowledge ni independent variable, je umezaliwa nayo au umejifunzia wapi? AU experience😀😀😀😀
Nikikuambia nimesoma Gregorian University itakusaidia Nini? Jaribu kuuliza maswali yenye kujenga.
 
Ukiweka msisitizo katika mambo ya utamaduni mila na desturi za wakati huo yafanyike leo utakosea.
Ukimaliza suala la sanda utadai wakazikwe kwenye mapango kama Yesu alivyo zikwa kisha wakavingirisha jiwe kubwa kuziba mlango wa pango (kaburi ).
kisha utadai wakristo wakazalie kwenye mazizi ya kondoo kama Yesu alivyo zaliwa.
Unafikiri kipindi hicho kulikuwa na charahani za kushonea suti wanazo zikiwa wakristo leo?

Nyie endeleeni tu kufuata na kuiishi ustaarabu mila na desturi za waarabu wala si dhambi na tena kwenye upande wa mazishi dini yenu imeagiza iwe vile. Wapo wakristo wengi tu huzikwa na sanda, nayo siyo kosa.

Mbona sasa nyie mnabeba maiti kwenye magari wakati mnaelekea mazikoni, kwani mtume alibebwa kwenye magari kama ya sasa?
 
Ukiweka msisitizo katika mambo ya utamaduni mila na desturi za wakati huo yafanyike leo utakosea.
Ukimaliza suala la sanda utadai wakazikwe kwenye mapango kama Yesu alivyo zikwa kisha wakavingirisha jiwe kubwa kuziba mlango wa pango (kaburi ).
kisha utadai wakristo wakazalie kwenye mazizi ya kondoo kama Yesu alivyo zaliwa.
Unafikiri kipindi hicho kulikuwa na charahani za kushonea suti wanazo zikiwa wakristo leo?

Nyie endeleeni tu kufuata na kuiishi ustaarabu mila na desturi za waarabu wala si dhambi na tena kwenye upande wa mazishi dini yenu imeagiza iwe vile. Wapo wakristo wengi tu huzikwa na sanda, nayo siyo kosa.

Mbona sasa nyie mnabeba maiti kwenye magari wakati mnaelekea mazikoni, kwani mtume alibebwa kwenye magari kama ya sasa?
Unashindwa kutofautisha teknolojia na utamaduni na mafundisho ya dini, swali je wote wa kipnd cha yesu walizikwa mapongoni? Jbu ni hapana! Na je wote walivikwa sanda? Jibu ni ndio! Kwann walivikwa sanda? Je walikua hawana nguo nzuri? Jibu hapana! Sababu ni nini mpaka hawakuvikwa sanda ni maagizo ya dini, teknolojia au utamaduni? Jbu unalo mwenyew
 
haaaaaahaaaa yaani mungu anakufa? mungu yesu anavishwa sanda sasa nani anaetupa sisi mvua na matunda ikiwa mungu kafa
 
Umejitoa akili, Yesu angewezaje kuvaa suti miaka hiyo? Hujui maana ya nyakati?

Mtume wenu alitumia njia gani za mawasiliano? Je alitumia simu? Kwa nn wewe unatumia simu ikiwa mtume Mohamed hakutumia simu?
 
Ukiweka msisitizo katika mambo ya utamaduni mila na desturi za wakati huo yafanyike leo utakosea.
Ukimaliza suala la sanda utadai wakazikwe kwenye mapango kama Yesu alivyo zikwa kisha wakavingirisha jiwe kubwa kuziba mlango wa pango (kaburi ).
kisha utadai wakristo wakazalie kwenye mazizi ya kondoo kama Yesu alivyo zaliwa.
Unafikiri kipindi hicho kulikuwa na charahani za kushonea suti wanazo zikiwa wakristo leo?

Nyie endeleeni tu kufuata na kuiishi ustaarabu mila na desturi za waarabu wala si dhambi na tena kwenye upande wa mazishi dini yenu imeagiza iwe vile. Wapo wakristo wengi tu huzikwa na sanda, nayo siyo kosa.

Mbona sasa nyie mnabeba maiti kwenye magari wakati mnaelekea mazikoni, kwani mtume alibebwa kwenye magari kama ya sasa?
Wao mtume mohamed hakutumia ndege kusafiri, waulize wao mbona wanatumia ndege?
 
hata mimi nashangaa ni kitabu gani cha dini kimekataza kunywa bia, haya mambo sio ya kurukia tu.
 
Yesu hakuwa mkristo...hapakuwrpo na ukristo.
Mkristo maana yake ni mfuasi wa kristo.
Sasa Yesu anakuwaje mkristo wakati yeye ndiye Kristo mwenyewe?

Wafuasi wa yesu (wakianzia na wale wanafunzi wake na sisi tuliomwamini) ndio wakristo.
 
Kwani kipindi cha Yesu akina Martini Kandinda na Sheria Ngowi walikuwa wameshaanza kushonesha suti?!
 
Back
Top Bottom