Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Kama Yesu alivishwa sanda alipofariki, ninyi Wakristo mambo ya kuvishana suti mmetoa wapi?

Naam,

Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza sasa kuhusu Sanda hii ambayo Jamii kubwa miongoni mwa wakazi wa Dunia hii huamini ni Nguo takatifu aliyovikwa bwana baada ya kusulubiwa.

Kitambaa hiki kulingana na tafiti inaonyesha Taswira ya Mtu aliesulubiwa na kusulubiwa ilikuwa adhabu ya kawaida kabisa wakati huo hilo ni sawa.

Na kile kila aliyetafiti alikuja na findings zake na majibu yake , kama tulivyoona kipande cha kwanza

Lakini kutokana na wakosoaji ,bado kiu ya wengi ni kutaka kujua kweli aliyesulubiwa ni Yesu kristo au kinyume chake. Ingawa Papa Benedict XVI alitangaza kuwa kitambaa hiki ni kweli Yesu Kristo alikafiniwa kwacho.

4B6013AB-DC51-4BF3-ACA0-E70E75283B44.jpeg

Sindonology ni utafiti wa "kisayansi" wa Shroud of Turin. Lakini Kwa bahati mbaya, wengi miongoni mwa wanasayansi wanaofanya uchunguzi na hubase katika kujaribu kuthibitisha kwamba shroud ni nguo halisi ambayo alivikwa Bwana Yesu Kristo tofauti na watafiti ambao hupinga.

DF73059C-0A32-4108-BFF7-EE25F5063702.jpeg

Naam kama tulivokwisha kuelezea kwa undani katika sehemu ya kwanza , vitu ambavyo vilipatikana katika Shourd na Hata image ilivyonekana , Position na hata kuonyesha Rigor mortis.

Pia tuliongelea habari ya Bloodstain kupatikana katika kitambaa hicho. Si ndio.

Lakini Sheria za kiebrania kabla ya kuzikwa maiti basi husafishwa kabla ya kuvikwa sanda na hivyo damu isingeweza kuwepo lakini hakuna ushahidi wowote wa moja kwa moja kwamba bwana alisafishwa kabla ya kukafiniwa na Sanda na kuzikwa au alizikwa akiwa vivyo hivyo pasi na kusafishwa.

FC953B55-B8A5-4B4F-9CCB-C889B6501110.jpeg
Mtaalamu wa Kemia bwana Walter McCrone alibainisha ya kwamba katika vipimo vilivyofanyika kuna dutu imepatikana kwenye shroud ambayo ni mchanganyiko wa Ochre na Vermilion , orchre ni Colour pigment ambayo imecontain ferric oxide. Ambayo hubadilisha rangi kutoka kwenye Light yellow kuwa Brown au Red na Vermilion hii ni red pigment from mercury sulphide.

Hivyo basi hii inafichua sio damu halisi kama ilivyobainishwa na watafiti wengine, lakini vipimo hivi vilifanyika sehemu ndogo tu ya Kitambaa hicho na ilifanywa hivyo ili kuepusha kuharibu kitambaa hicho.

Na hapa hapa watafiti wengine wakaongeza kwa namna sanda inavyocover uso ingekuwa ngumu sana uso kutambulika, kwa kutumia kitambaa hiki.

033E547B-0D59-4C4B-9952-DCEEFFF78483.jpeg

Bw.WALTER McCRONE
"If the cloth were genuine, the face and body should be hardly recognizable as such, and should look something more like this. The figure does not satisfy the geometric conditions of contact formation"

LABDA LEORNARDO DA'VINCI ALIUHADAA (DANGANYA) ULIMWENGU.

EE24C5EF-8C18-4BF0-9BB0-7D071CD11AFA.jpeg
Pia alizikwa kwenye pango lililochongwa kama kaburi itabidi pia tuache kuzikana kwenye udongo au sio
 
Naam,

Kama tulivyojadili katika kipande cha kwanza sasa kuhusu Sanda hii ambayo Jamii kubwa miongoni mwa wakazi wa Dunia hii huamini ni Nguo takatifu aliyovikwa bwana baada ya kusulubiwa.

Kitambaa hiki kulingana na tafiti inaonyesha Taswira ya Mtu aliesulubiwa na kusulubiwa ilikuwa adhabu ya kawaida kabisa wakati huo hilo ni sawa.

Na kile kila aliyetafiti alikuja na findings zake na majibu yake , kama tulivyoona kipande cha kwanza

Lakini kutokana na wakosoaji ,bado kiu ya wengi ni kutaka kujua kweli aliyesulubiwa ni Yesu kristo au kinyume chake. Ingawa Papa Benedict XVI alitangaza kuwa kitambaa hiki ni kweli Yesu Kristo alikafiniwa kwacho.

4B6013AB-DC51-4BF3-ACA0-E70E75283B44.jpeg

Sindonology ni utafiti wa "kisayansi" wa Shroud of Turin. Lakini Kwa bahati mbaya, wengi miongoni mwa wanasayansi wanaofanya uchunguzi na hubase katika kujaribu kuthibitisha kwamba shroud ni nguo halisi ambayo alivikwa Bwana Yesu Kristo tofauti na watafiti ambao hupinga.

DF73059C-0A32-4108-BFF7-EE25F5063702.jpeg

Naam kama tulivokwisha kuelezea kwa undani katika sehemu ya kwanza , vitu ambavyo vilipatikana katika Shourd na Hata image ilivyonekana , Position na hata kuonyesha Rigor mortis.

Pia tuliongelea habari ya Bloodstain kupatikana katika kitambaa hicho. Si ndio.

Lakini Sheria za kiebrania kabla ya kuzikwa maiti basi husafishwa kabla ya kuvikwa sanda na hivyo damu isingeweza kuwepo lakini hakuna ushahidi wowote wa moja kwa moja kwamba bwana alisafishwa kabla ya kukafiniwa na Sanda na kuzikwa au alizikwa akiwa vivyo hivyo pasi na kusafishwa.

FC953B55-B8A5-4B4F-9CCB-C889B6501110.jpeg
Mtaalamu wa Kemia bwana Walter McCrone alibainisha ya kwamba katika vipimo vilivyofanyika kuna dutu imepatikana kwenye shroud ambayo ni mchanganyiko wa Ochre na Vermilion , orchre ni Colour pigment ambayo imecontain ferric oxide. Ambayo hubadilisha rangi kutoka kwenye Light yellow kuwa Brown au Red na Vermilion hii ni red pigment from mercury sulphide.

Hivyo basi hii inafichua sio damu halisi kama ilivyobainishwa na watafiti wengine, lakini vipimo hivi vilifanyika sehemu ndogo tu ya Kitambaa hicho na ilifanywa hivyo ili kuepusha kuharibu kitambaa hicho.

Na hapa hapa watafiti wengine wakaongeza kwa namna sanda inavyocover uso ingekuwa ngumu sana uso kutambulika, kwa kutumia kitambaa hiki.

033E547B-0D59-4C4B-9952-DCEEFFF78483.jpeg

Bw.WALTER McCRONE
"If the cloth were genuine, the face and body should be hardly recognizable as such, and should look something more like this. The figure does not satisfy the geometric conditions of contact formation"

LABDA LEORNARDO DA'VINCI ALIUHADAA (DANGANYA) ULIMWENGU.

EE24C5EF-8C18-4BF0-9BB0-7D071CD11AFA.jpeg

Imani ya kikristo haijajengwa kwenye mfumo na tamaduni za kiyahudi,tofauti na waisalmu huwezi tofautisha hii ni imani au utamaduni wa waarabu,ndio mana hua na sema uislam ni utamaduni wa waarabu na wala sio imani.
 
Boss pengine ungendelea kudadisi ukaupata ukweli maiti ya kikristo nayo huoshwa Kama nyingine sema maiti ya kikristo huoshwa pasipo itoa ngama Kama waislam pia maiti yakikristo nayo huvishwa sanda Kisha huvishwa hiyo suti Kama. Ipo au nguo yoyote ambayo wanafamilia wameamua
 
kaburi halihitaji mbwembwe.. ufe ;uzikwe na sanda ama suti.. haibadilishi jina la maiti wala yale uloyatenda ukiwa hai kama ni mema au mabaya.
 
Anyway suti ni sanda ya kisasa, siku nyingine uwe na maswali yenye kichwa hadi miguu
Umemjibu vema maana sijui kama hata yeye anava kanzu kama Ile ya Yesu iliyopigiwa kura na maaskari waliomsulubisha. Sanda na manukato ilikuwa DESTURI YA WAYAHUDI kwenye kuzika marehemu. Kama unataka basi fuata na DESTURI zao zote ikiwamo kutawadha na zile Sheria zingine zaidi ya 600 walizoziongeza kwenye zile amri kumi. Sisi ni Wakristo siyo Wayahudi. Mambo Yao waachie wenyewe.
 
Zamani hakukuwa na suti... kwahiyo kama zingalikuwepo tungalimvalisha tukamzika nazo
 
Umemjibu vema maana sijui kama hata yeye anava kanzu kama Ile ya Yesu iliyopigiwa kura na maaskari waliomsulubisha. Sanda na manukato ilikuwa DESTURI YA WAYAHUDI kwenye kuzika marehemu. Kama unataka basi fuata na DESTURI zao zote ikiwamo kutawadha na zile Sheria zingine zaidi ya 600 walizoziongeza kwenye zile amri kumi. Sisi ni Wakristo siyo Wayahudi. Mambo Yao waachie wenyewe.
We nae ni walewale bendera
 
We theology umejifunza choose gani? Au mtandaoni
Swali lako Wala halina mashiko maana hujui tofauti kati ya knowledge na certificate. Mtume Petro alijifunza wapi theology mpaka Leo maprofesa wanatilofautiana kwenye kuandika exegesis za nyaraka zake??
 
Back
Top Bottom