Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wanafikiri US itaachq support israel?Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumemaliza:
View attachment 3145735
Kwamba hakusikiliza:
View attachment 3145737
Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote:
View attachment 3145739
"Mwenye nchi, mwananchi!"
Ungesoma hiyo makala wala usingesema haya, ni tofauti kabisa na unachokisema.Kwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Kwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Ungesoma hiyo makala wala usingesema haya, ni tofauti kabisa na unachokisema.
Kwahiyo walimchagua Trump? waarab bado sana ku affect uchaguzi wa Marekani.
Tena watakuwa surprised haswa.... Trump hana cha kupoteza ana term moja tu ya urais na hata gombea tena. NI HUYU HUYU ALIWAHI KUZITAJA NCHI ZA KIARABU AMBAZO RAIA WAKE NI MARUFUKU KUINGIA MAREKANI. Amedanganya atasimamisha vita ni uongo kama alivyodanganya kipindi kile kuwa atajenga ukuta mpaka wa Mexico na Marekani kwa garama za Mexico....ni huyu huyu alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel viv kwenda JerusalemKwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Waache waendelee kuota. Marekani hata aje Raisi wa namna Gani kusupport Israel ni ajenda. Akijizima data system inaondoka na Kichwa chake asubuhi na mapema.Kwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Tena watakuwa surprised haswa.... Trump hana cha kupoteza ana term moja tu ya urais na hata gombea tena. NI HUYU HUYU ALIWAHI KUZITAJA NCHI ZA KIARABU AMBAZO RAIA WAKE NI MARUFUKU KUINGIA MAREKANI. Amedanganya atasimamisha vita ni uongo kama alivyodanganya kipindi kile kuwa atajenga ukuta mpaka wa Mexico na Marekani kwa garama za Mexico....ni huyu huyu alihamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel viv kwenda Jerusalem
Mkûu sera za Marekani Kwa Israel zîpo bayana.
Íwe Trump au Kamala wôte Lao Moja.
Marekani haiwezi kuwa upande wa Waarabu dhidi ya Wayahudi Maisha.
Hata huyo Mrusi anachofanya ni geopolitical games lakini urusi hawezi kuwa upande wa Waarabu au jamii za middle east dhidi ya Wayahudi.
Kinachofanyika ni biashara
Waarabu wataendelea kutaabika Sana Marekani ingalipo.
Kupona Kwa waarabu ni aidha kuungana na matakwa Yao au kuanguka Kwa Dola la Marekani Basi.
Hamas, Hezbollah na Kaka Yao Iran round hii huenda wakapata shida zaidi kuliko Wakati wowote
Trump ni hatari kwa ustawi wa Arab nations.Haina ubishi.Kuna jamii itamuona mzee Chamtemakuni live!Heri mwongo kuliko huyu:
Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!
Zaidi sana kumtia adabu!
Wewe na wayahudi wa wapi hamlioni hilo ndugu yangu?
Moisemusajiografii, MK254, Mzee Kigogo na wengine chole kule, kumbe kipi kipya?
Kamala kapigwa chini ikawe funzo hadi kwa mtaka kura yeyote!
Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumeimaliza:
View attachment 3145748
Kwamba hakusikiliza:
View attachment 3145737
Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote:
View attachment 3145739
"Mwenye nchi, mwananchi!"
Trump ni mshenzi lakini ni bora Trump wanawake ni wanapelekwa tu, huyo tutaishi naye kiubaya ubwela sisi tuna muongozo wa Quran na tunaweza sana kwa Subra na Ibada Vitimbi vyake tunaishi naye bila shida kabisa siku zote kiongozi ni mwanaume mwenzako mambo yanajadilikaTrump ni hatari kwa ustawi wa Arab nations.Haina ubishi.Kuna jamii itamuonmzee Chamtemhpavituakuni live!
Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!
Tatizo ni kuwa inawawia vigumu kuona kwanini sherehe hata kama Trump ni mbaya zaidi.
Zingatia hapa whatever the consequences huyu kwa hili kapigwa chini akwendree.
Taabu iko wapi hapo ndugu?
Watavuna walichokipanda American Arab....hata wew unajua hilo. Nina declare interest mm ni mfuasi wa Trump. Na kwa taarifa tu mkwilima( mkwe) wa Trump ni myahudi. Tusubili kama Trump atawasaidia Wapalestina wanaotetewa na Hezbollah na Houthi.Heri mwongo kuliko huyu:
Kamala Harris alikumbuka shuka kukiwa kumekucha!
Zaidi sana kumtia adabu!
Wewe na wayahudi wa wapi hamlioni hilo ndugu yangu?
Moisemusajiografii, MK254, Mzee Kigogo na wengine chole k ule, kumbe kipi kipya?
Kamala kapigwa chini ikawe funzo hadi kwa mtaka kura yeyote!