Kamala Harris akiangukia pua, waliopanga kumtia adabu waangusha tafrija!

Kamala Harris akiangukia pua, waliopanga kumtia adabu waangusha tafrija!

Mkûu sera za Marekani Kwa Israel zîpo bayana.
Íwe Trump au Kamala wôte Lao Moja.

Marekani haiwezi kuwa upande wa Waarabu dhidi ya Wayahudi Maisha.

Hata huyo Mrusi anachofanya ni geopolitical games lakini urusi hawezi kuwa upande wa Waarabu au jamii za middle east dhidi ya Wayahudi.
Kinachofanyika ni biashara

Waarabu wataendelea kutaabika Sana Marekani ingalipo.
Kupona Kwa waarabu ni aidha kuungana na matakwa Yao au kuanguka Kwa Dola la Marekani Basi.

Hamas, Hezbollah na Kaka Yao Iran round hii huenda wakapata shida zaidi kuliko Wakati wowote
Sera ya marekani inasema hivi marekani haitaunga mkono au kushirikiana na kikundi chochote cha wapiganaji endapo kikundi hicho kitakuwa na viashiria vya kigaidi hata urusi hawezi kushirikiana na vikundi vya wapiganaji. Kuhusu waarabu Marekani anashirikiana na waarabu kibao tu kama saudi arabia,kuwait,jordan n.k. Kuhusu urusi na iran urusi atasimama upande wa iran no matter what.
 
Subiri ifike January akiingia madarakani utajua kwanini Iran walitamani afe kabla ya uchaguzi.
hizbullah na hamas ndio watapata tabu na sio iran why? Nyuma ya iran kuna mrusi,pili hujasikiliza vizuri sera za trump yule jamaa sio mtu wa vita hata kidogo israel au marekani kuingia kwenye vita na iran itafanya vita iwe kubwa sana hapo middle east just imagine wamarekani wanalia na maisha magumu,mfumuko wa bei,kodi kubwa kila mahali halafu nchi ianze kutumia mabilioni ya dola kwenye vita?
 
Sera ya marekani inasema hivi marekani haitaunga mkono au kushirikiana na kikundi chochote cha wapiganaji endapo kikundi hicho kitakuwa na viashiria vya kigaidi hata urusi hawezi kushirikiana na vikundi vya wapiganaji. Kuhusu waarabu Marekani anashirikiana na waarabu kibao tu kama saudi arabia,kuwait,jordan n.k. Kuhusu urusi na iran urusi atasimama upande wa iran no matter what.

Marekani atashirikiana na wéwe kama anakunyonya au anapatamo weka hiyo akilini.

Israel siô kikundi Bali NI nchi iliyoanzishwa Kisiasa na haohao Marekani na Muingereza
 
hizbullah na hamas ndio watapata tabu na sio iran why? Nyuma ya iran kuna mrusi,pili hujasikiliza vizuri sera za trump yule jamaa sio mtu wa vita hata kidogo israel au marekani kuingia kwenye vita na iran itafanya vita iwe kubwa sana hapo middle east just imagine wamarekani wanalia na maisha magumu,mfumuko wa bei,kodi kubwa kila mahali halafu nchi ianze kutumia mabilioni ya dola kwenye vita?
Kumbuka Trump alivyomuonda Quassem aliyekuwa kamanda wa IRGC.
 
Angalau huko wananchi wanaweza kuadabisha viongozi kwa maamuzi wanayofanya.

Kwenye nchi ya wagagagigikoko wanainchi ni mazuzu tu hawana wanachoweza kumfanya kiongozi. Kura zao hazina maana yoyote kama alivyosema Nape

Na hilo ndilo funzo ambako wajinga hawawezi kuelewa.

Hapa alitakiwa mtu atolewe unceremoniously hivi. Kwamba wewe ni kiziwi?

2025/25 Kuna uchaguzi mkuu, basi utatambua!

Tlaatlaah na mwenziwe Lucasi wamelielewa somo wako chobingo:

IMG_20211016_132442_593.jpg


Ila hizo ngombe:

Moisemusajiografii, Testar, Detective J, gonamwitu Capt Tamar na zenzao. Kwamba zilipo ni makamanda Wadai katiba mpya na mabadiliko.

Angalizo: ngombe si ng'ombe!

Robert Heriel Mtibeli weye Kwa taarifa.
 
Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumeimaliza:

View attachment 3145748

Kwamba hakusikiliza:

View attachment 3145737

Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote:

View attachment 3145739

"Mwenye nchi, mwananchi!"
Nyinyi msijifanye ndiyo mna ufahamu sana wa siasa za marekani.
Jimbo ambalo limekuwa islamized ni Michigan. Waislam wake wakapigia Green party. Hivyo mwisho ikawa Republican 45, Green 33 na Democrat 15. Lakini kutokana na Trump kuwa amechukua Georgia, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin hata kama Waislamu wenu wa Michigan wagempigia Kamala bado asingeshinda. Trump aliishafikia the magic number 270 zamani.
Kushindwa kwa Kamala kunatokana na sababu mbili muhimu
1. Inflation ilikuwa kubwa; utawala wa Biden ulishindwa kudhibiti hilo
2. Immigration isiyo dhibitiwa. Na hapo hasira ya Wamarekani imeongezeka hasa baada ya vurugu zenu Waislamu
 
Marekani atashirikiana na wéwe kama anakunyonya au anapatamo weka hiyo akilini.

Israel siô kikundi Bali NI nchi iliyoanzishwa Kisiasa na haohao Marekani na Muingereza
nani kasema israel ni kikundi? Halafu unaposema marekani anaweza kushirikiana na yoyote that means kuna siku marekani anaweza kushirikiana na hamas,hizbullah,al shabab,islamic state n.k si ndio? Umeandika marekani hawezi kushirikiana na waarabu je saudi arabia ni wachina?
 
Mbona Michigan kwenyewe Trump kamzidi kura kwa 0.5% tu? Labda kwa nchi nzima sio kama maelezo yanavyosema!

Naamini wamarekani wamekataa tu kuwa na amirijeshi mkuu mwanamke tu mengine yote Trump alizidiwa sana hoja na huyo mama, then transition kutoka kwa Biden kwenda kwa huyu mama ilikuwa late sana kuweza kujenga imani ya wamarekani kwa Kamala.

Mawazo yangu tu kwa kutazama numbers za kura
Waarabu ambao wengi ni democrats,hawakupiga kura
 
nani kasema israel ni kikundi? Halafu unaposema marekani anaweza kushirikiana na yoyote that means kuna siku marekani anaweza kushirikiana na hamas,hizbullah,al shabab,islamic state n.k si ndio? Umeandika marekani hawezi kushirikiana na waarabu je saudi arabia ni wachina?
We do have permanent interests not friends,sera ya marekani
 
Waarabu ambao wengi ni democrats,hawakupiga kura

Kama hawakupiga kura maana yake hawakumtia adabu basi, imetokea by chance bila wao kufanya effort yeyote anyway! Kumtia aibu mtu ni kufanya kitendo actively cha kumfanya aone umetenda na umeinfluence matokeo! Hii ni sawa na kusherehekea mvua ikinyesha
 
Back
Top Bottom