Kamala Harris akiangukia pua, waliopanga kumtia adabu waangusha tafrija!

Watavuna walichokipanda American Arab....hata wew unajua hilo. Nina declare interest mm ni mfuasi wa Trump. Na kwa taarifa tu mkwilima( mkwe) wa Trump ni myahudi. Tusubili kama Trump atawasaidia Wapalestina wanaotetewa na Hezbollah na Houthi.

Kama walichokwishavuna Kamala na democrats?
 

Mkuu unazungumzia future. Kwamba kama ata-. Actually hata asi- kwani tayari Kamala haku-.

Hapo achilia mbali alishasema kuwaunga mkono Israel kwa lolote. Hapo Pdidy akisikia.

Ama?!

Kulikuwa na matumaini gani hapo?

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Unconditionally?

Can you support anyone unconditionally?

I am sure Pdidy will luv to hear from you in person!
Hujuwi kuwa Wamarekani wanawasupprt Israel wakijifanya wao hawamo? Na wanafanya hivyo mpaka kieleweke ili mradi tu Arab nations ziteketee.
 
Hujuwi kuwa Wamarekani wanawasupprt Israel wakijifanya wao hawamo? Na wanafanya hivyo mpaka kieleweke ili mradi tu Arab nations ziteketee.

Ndiyo maana wenye kujua hilo wamemtia adabu mtu. Au wewe ungali hujui hilo?
 
Kwani huyo mumama alikua ana hoja au sera gani muhimu za kuwashawishi wamarekani wamchague zaidi ya utoji mimba na ushoga? Si ameshinda New York na California pekee ambako ndiko pekee kwenye uchafu huo?

Lakini pia Biden alipata kura za awanawake zaidi ya 55%,=kulikoni huyu mumama apate below 50% ya kura za wanawake?

kilicho muharibia zaidi huyu mumama wenu, ni ile ya kusema Israel Must Defend it's soverenity? How about Palestine and Arab world at large? hakua na jibu.

Trump alisema,
he wants to stop unnecessary dying of the people from Ukraine to the middle east 🐒
 

Hoja duni kabisa
 
Aiseeee trump atawashangaza sana mnaodhani anaweza kuidump Israel kisa iran
 
Aiseeee trump atawashangaza sana mnaodhani anaweza kuidump Israel kisa iran
Yaani Trump atangazie ulimwengu mzima kwamba Jerusalem ndio mji mkuu wa Israel halafu tena awape kisogo in favor of Iran? Huko ni kwendra kinyume na biblical 🐒
 

Mkuu kwani ndiyo kuwasili tokea sayari nyingine?

Bila hoja:

1. Kwa nini alikuwa anagombea au kufanya kampeni?

2. Vipi Marais wote hai democrats kasoro Carter wa miaka 100+ kuambatana naye kumnadi na kumpigia kampeni vilivyo?

3. Vipi vigogo wakiwamo republicans kama kina Dick Cheney na wengi wengine kum endorse Kamala?

4. Kulikuwa na haja gani ya kumwondoa Biden ulingoni na kuingia huyu waliyemwona Messi?

5. Vipi kwenda kuwaangukia wapinga vita waangusha party hawa?

6. Vipi Marais wote hai republicans kumsusa Trump majukwaani naye kupiga kampeni kama yatima?

7. Nk.

Marekani si bongo nyoso!
 
Mimi nadhani hawajasave kitu. Trump ni muunga mkono kinda konda wa israel.
Sema mimi nimefurahi trump kushinda pia

Wao wametia adabu mtu na kwa hakika wametoa somo hadi kwa kina sisi!
 
Hoja duni kabisa
Because its not emotional nor religious! Natazama data na kutoa maoni yangu na sip lazima ukubaliane nayo! Weka yako yenye nguvu au potezea tu maisha yaendelee! After all hainipunguzii wala kunipa kaugali au mboga, just entartainment kuvuta muda tu
 
Tofautisha Chadema na wanaojifanya Chadema wa mitandaoni wawili hao ni tofauti.
unajitofautishaje wakati hao ndiyo kielelezo cha chadema kudhihaki wananchi wapiga kura kwamba ni wajinga wasiojielewa kuchagua viongozi wazuri wa vyama vingine?

hebu elezea vizuri licha ya kwamba hutaeleweka kwa wapiga kura waloambiwa hivyo kitambo gentleman??🐒
 
ushoga baba 🤣

Yaani Donald J Trump na mipesa yote aintatain wanaume wenzie wawe mafirauni ? kumbaf sana 😂

waliokua wakimsaport Kamala Haris ni wasagaji, watoaji mimba maarufu na wana ndoa ya jinsia moja na mafirauni watuputu. Mashetani wakubwa alaa🤣

Mungu akasema kumbafu zenu mafirauni nyie mnaojifungia white hause kusagana na kufirana, nitawaaibisha hadharini na kumuidhinisha anae chukia uchafu huo, na ndicho kilichotokea.
Fuatilieni vizuri wasagaji wote hawana watoto na wala hawazai. Wana laana..

Donald J Trump mpinga ushoga, utoaji mimba na ufirauni atapishwa ndani ya siku 70 zijazo kua Rais wa Marekani 🐒
 
Shida maoni yenu walokole Yana mlengo wakidini hapa amezungumzia Siasa, Israel italindwa lakini ikifanya uharifu iachwe tu? Lazima watawala wa Washington waikemee ndicho kinachotakiwa. Mimi mkatoliki mbona nimemwelewa vizuri. Huwezi kuwa mkristo harafu unasapoti dhuruma, iwe Kwa mwarabu au mzungu kuleta ushabiki wakati watu wanauanahuo sio ukristo. Ukristo ni dini ya Aman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…