Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na Iko wazi Trump hawezi kuwa kinyume na IsraelKwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Iko wazi Trump hawezi kuwa kinyume na IsraelKwamba wanafikiri US itaachq support israel?
anae support si rais bali ni serikali watakuwa suprised
Si unajua tena kobaaz wanataka waonekane pasipo wao Trump asingeshinda na ni kwa sabab ya wao kutomtaka kamala ndo maana ameshindwa. Yaan hii yote ni kutaka kuonyesha kuwa waarab wa US na wao wana say nani awe rais wa US kama ilivyo wayahudi.
Ya kwamba atakuwa mgeni wa nani sasa?
Labda wa Bi Nyau mwenziwe Tel Aviv huko!
hizbullah na hamas ndio watapata tabu na sio iran why? Nyuma ya iran kuna mrusi,pili hujasikiliza vizuri sera za trump yule jamaa sio mtu wa vita hata kidogo israel au marekani kuingia kwenye vita na iran itafanya vita iwe kubwa sana hapo middle east just imagine wamarekani wanalia na maisha magumu,mfumuko wa bei,kodi kubwa kila mahali halafu nchi ianze kutumia mabilioni ya dola kwenye vita?
The down fall of satan, kaalah has begun. Kwa sasa kibano mtakipata, israel, saudia, UAE tayari mnakipata, mtakipata USA na hivi karibuni atafanya makubaliano na Putin kule Ukrainian na baada ya hapo Putin naye atawaminya. Maayatollah wenu wa Iran their days are numbered. Uchina ndiyo usiseme anawaminya kimya kimya..labda muende Gaza mkasaidiane kulialia na WagazaMkuu nduguyo huyo kama ulimpenda mno kapigwa chini Kwa jitihada za wazi za wapinga vita.
Humo walikuwamo Arab Americans na sympathizers wao.
Sympathizers wao unawajua au hata walikuwa wapi?
Bila shaka Hadi hapo umetambua umeandika ugolo mwingine kama wa sokoni tu.
acha niwasanue leo,Kobaaz?
Ni mpumbavu tu aspirant yeyote wa kura kujaribu kuwagawa wapiga kura kwa misingi yoyote.
Kukwambia tu Kamala au Trump wasingethibutu kumwita mpiga kura mmoja kobaaz.
Na hata hapa nakwambia kuna chama kimoja viongozi wao wasipoamka na kuwakana wapumbavu hao waita watu kobaaz, historia ya Kamala itajirudia.
Kwa faida ya Leo na kesho niwaite ndugu wapambanaji bila kuwasahau wafia vyama nguli kadhaa kwa taarifa:
imhotep, Tlaatlaah, binti kiziwi, Proved, Erythrocyte, Lucas Mwashambwa, Kinyungu na ndugu wengine.
Habari ndiyo hiyo!
Mwenyekiti wa chadema Taifa kachanganya eeh 🐒Trump ni mfanyabiashara zaidi sio mwanasiasa na ndio maana kanyooka sio mnafiki nafiki.
Hapa mimi nahusikaje tena? Kwenye mambo ya udini kiukweli mimi huwa si mmoja waoKobaaz?
Ni mpumbavu tu aspirant yeyote wa kura kujaribu kuwagawa wapiga kura kwa misingi yoyote.
Kukwambia tu Kamala au Trump wasingethibutu kumwita mpiga kura mmoja kobaaz.
Na hata hapa nakwambia kuna chama kimoja viongozi wao wasipoamka na kuwakana wapumbavu hao waita watu kobaaz, historia ya Kamala itajirudia.
Kwa faida ya Leo na kesho niwaite ndugu wapambanaji bila kuwasahau wafia vyama nguli kadhaa kwa taarifa:
imhotep, Tlaatlaah, binti kiziwi, Proved, Erythrocyte, Lucas Mwashambwa, Kinyungu na ndugu wengine.
Habari ndiyo hiyo!
Hapa mimi nahusikaje tena? Kwenye mambo ya udini kiukweli mimi huwa si mmoja wao
The down fall of satan, kaalah has begun. Kwa sasa kibano mtakipata, israel, saudia, UAE tayari mnakipata, mtakipata USA na hivi karibuni atafanya makubaliano na Putin kule Ukrainian na baada ya hapo Putin naye atawaminya. Maayatollah wenu wa Iran their days are numbered. Uchina ndiyo usiseme anawaminya kimya kimya..labda muende Gaza mkasaidiane kulialia na Wagaza
View: https://x.com/Salwan_Momika1/status/1853823264801407280
una namba yake nimtumie ya sodaHiyo article ndio nimetoka kumaliza kuisoma sasa hivi, yule Meya Alfarjalla kanifurahisha sana.
acha niwasanue leo,
Jimboni kwangu wagombea udiwani na ubunge wa chadema 2015, baada ya kushindwa vibaya uchaguzi ule waliwaita wananchi wajinga sana, hawajielewi.
Matokeo yake kwa mfano leo hii,
wananchi jimboni kwangu hawataki hata kuiskia chadema na hawasahau dhihaka za 2015.
Muhimu Zaidi,
kata yangu ina vijiji vi5, wagombea uongozi wote ni CCM, ispokua ni kitongoji kimoja tu ndicho kina mgombea wa upinzaini, ambae pia atapata kura1 ambayo ni yakwake mwenyewe na pekeyake tu.
Infact,
Kamala Haris ameiga dhihaka za chadema Marekani 🐒
endeleeni kuwaita na kuwadhihaki wapiga kura kwamba ni wajinga kuichagua serikali sikivu iliyopo na ninyi wagombeaji uongozi upinzan endeleeni kujiita waerevu 🐒Taabu yake wewe ni mchawa mno kuaminika.
Ila kama ndivyo ilivyokuwa nikiazima maneno ya mpendwa wenu, "hili nalo wakaliangalie."
"Mpiga kura habezwi, mpiga kura anakuwa cajoled!"
endeleeni kuwaita na kuwadhihaki wapiga kura kwamba ni wajinga kuichagua serikali sikivu iliyopo na ninyi wagombeaji uongozi upinzan endeleeni kujiita waerevu 🐒
Trump ni hatari kwa ustawi wa Arab nations.Haina ubishi.Kuna jamii itamuona mzee Chamtemakuni live!
Marekani will never support Arabs but will destroy them by supporting Israel unconditionally.Hii inaitwa kazi tuliyojituma tumeimaliza:
View attachment 3145748
Kwamba hakusikiliza:
View attachment 3145737
Ama hakika mission accomplished somo bayana kwa wasaka kura kokote:
View attachment 3145739
"Mwenye nchi, mwananchi!"
Mbona Michigan kwenyewe Trump kamzidi kura kwa 0.5% tu? Labda kwa nchi nzima sio kama maelezo yanavyosema!
Naamini wamarekani wamekataa tu kuwa na amirijeshi mkuu mwanamke tu mengine yote Trump alizidiwa sana hoja na huyo mama, then transition kutoka kwa Biden kwenda kwa huyu mama ilikuwa late sana kuweza kujenga imani ya wamarekani kwa Kamala.
Mawazo yangu tu kwa kutazama numbers za kura