FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unakasirika nini mpaka kufikia kutukana bila mpango?Uislamu ni upumbavu wa Allah na Muhamnad. Yule aliyekuwa anapulizwa matakoni.
Weka hoja zako ujibiwe kwa hoja.
Qur'an 49:11. Enyi mlio amini! Wanaume wasiwadharau wanaume wenzao, wala wanawake wasiwadharau wanawake wenzao. Huenda hao wakawa bora kuliko wao. Wala msivunjiane hishima, wala msiitane kwa majina ya kejeli. Ni uovu kutumia jina baya baada ya kwisha amini. Na wasio tubu, hao ndio wenye kudhulumu. 11